Pre GE2025 Tundu Lissu: Mimi sina maslahi binafsi kwenye Ubunge wa Viti Maalum CHADEMA!

Pre GE2025 Tundu Lissu: Mimi sina maslahi binafsi kwenye Ubunge wa Viti Maalum CHADEMA!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lissu kachukua risk kibwa sana, endapo ataangukia PUA basi safari yake kisiasa itakuwa imefikia mwisho rasmi maana sidhani ataendelea kuwa CDM kwa namna alivyo haribu hali ya hewa.
Tofauti na mwenzake ambaye atabakia katika chama kama mjumbe wa kamati kuu wa kudumu endapo naye akiangukia pua.
Ukiangalia hapa utaona Lissu kaingia kwa miguu yote miwili yaani liwalo na liwe kitu ambacho wataalamu wa siasa wanaita ni hatari sana kwa maisha yake ya kisiasa yajayo endapo kura zikipelea.

Ni sawa na kuuza nyumba afu hela zote unaweka mkeka!! ukitiki wewe ni milionea ila ukibuma mzee shughuli.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu anasema yeye hana maslahi binafsi Kwenye Ubunge wa Viti maalumu

Unaweza ukaiona ni kauli Nyepesi Lakini imebeba Ujumbe mzito sana

Kuna wakati Spika Ndugai alionya bungeni endapo Chadema itaendelea na Rushwa za ngono Kwenye uteuzi wa Wabunge wa Viti maalumu basi angemjulisha rasmi Msajili wa Vyama Vya siasa Kwa hatua zaidi

Ahsanteni sana 😄

Pia soma
- Uchaguzi 2025 - Lissu: Tutaweka ukomo Ubunge Viti Maalum isiwe kikundi cha wale wale miaka yote
Yafaa viti maalum VIFUTWE ni kudhalilisha wanawake tu.
 
Akiwa kamati ya maamuzi ulitaka aache dada yake?

Chadema walikuwa viongozi wanagawana viti maalumu kila mmoja anampa wake

Lisu pia naye alijigawia wake Wengine wakiwapa hawara zao yeye akampa dada yake

Hilo la kujifanya yeye msafi sio kweli kwenye hilo la viti maalumu
Ndesamburo alimpa mwanae Lucy Owenya na mkwewe Grace Kiwhelo 😂😂

Mbowe akampa Joyce Mkya aka Miss Bunge

Zitto akamgawia dadake 😄

Hapo ni Mbowe tu ndiye hakuendekeza undugu🐼😂😂
 
Lissu kachukua risk kibwa sana, endapo ataangukia PUA basi safari yake kisiasa itakuwa imefikia mwisho rasmi maana sidhani ataendelea kuwa CDM kwa namna alivyo haribu hali ya hewa.
Tofauti na mwenzake ambaye atabakia katika chama kama mjumbe wa kamati kuu wa kudumu endapo naye akiangukia pua.
Ukiangalia hapa utaona Lissu kaingia kwa miguu yote miwili yaani liwalo na liwe kitu ambacho wataalamu wa siasa wanaita ni hatari sana kwa maisha yake ya kisiasa yajayo endapo kura zikipelea.

Ni sawa na kuuza nyumba afu hela zote unaweka mkeka!! ukitiki wewe ni milionea ila ukibuma mzee shughuli.
Unadhani Tundu Lisu alianzia siasa Chadema kama akina Pambalu 😂😂😂
 
Lissu kachukua risk kibwa sana, endapo ataangukia PUA basi safari yake kisiasa itakuwa imefikia mwisho rasmi maana sidhani ataendelea kuwa CDM kwa namna alivyo haribu hali ya hewa.
Tofauti na mwenzake ambaye atabakia katika chama kama mjumbe wa kamati kuu wa kudumu endapo naye akiangukia pua.
Ukiangalia hapa utaona Lissu kaingia kwa miguu yote miwili yaani liwalo na liwe kitu ambacho wataalamu wa siasa wanaita ni hatari sana kwa maisha yake ya kisiasa yajayo endapo kura zikipelea.

Ni sawa na kuuza nyumba afu hela zote unaweka mkeka!! ukitiki wewe ni milionea ila ukibuma mzee shughuli.
Kuchukua maamuzi magumu ni kwa yule jasiri na dhamira ya kile anachokitetea.

Ukiwa kwenye siasa kwa maslahi binafsi utafikiria risk sababu kwako siasa ni taaluma, ndio means ya kusurvive kwako. Ukiwa unasukumwa na dhamira ya kukomesha uovu, kukemea na kukomesha rushwa, hila nepotism etc, huna sababu ya kuogopa risk.

Binadamu ni mtumwa wa dhamira yake, kwa matendo utajua dhamira ya Lissu ni nini, ila kwa nyie mnaomsapoti mfanyabiashara Mbowe ambaye sasa anafanya biashara ya maridhiano huku watu wake wanatekwa na kuuliwamfano Soka, Sativa na Ali Kibao mtaogopa risk
 
labda ( tundu lisu) akueleze pia dadake aliitwa christina lisu nafikiri alipataje uviti maalumu ?
Alikua na Msc ya Economics kutoka makerere. Alikua na vigezo na alikaa muhula mmoja tu 2010-15 na akapisha. This aligns na maono ya lissu kuwa mtu asikae vipindi vingi bungeni kwa kiti maalum
 
Alikua na Msc ya Economics kutoka makerere. Alikua na vigezo na alikaa muhula mmoja tu 2010-15 na akapisha. This aligns na maono ya lissu kuwa mtu asikae vipindi vingi bungeni kwa kiti maalum
Hawa jamaa wanajitahidi kudiscredit kila kitu anachofanya Lissu to ni avail, dalili za desperation
 
2015 alimuondoa mbona akasema agombee jimboni. Hakuendelea 2015-2020. Na hili amelisema wazi kwenye interview zote kuwa anapinga viti maalum akae miaka mingi.
Issue ni kuwa alimpa

Mbona hakuwapa dada wa wengine akampa dada yake

Alimuondoa akiwa keshalamba mamilioni ya bunge
Mtaji tosha kumsaidia dada yake wa kuanzia maisha
 
Issue ni kuwa alimpa

Mbona hakuwapa dada wa wengine akampa dada yake

Alimuondoa akiwa keshalamba mamilioni ya bunge
Mtaji tosha kumsaidia dada yake wa kuanzia maisha
Kumpa ina maana hakuwa na qualification za kupata ubunge? Na hoja zake ni kuwa kwanza ukomo na ikiwezakana wakagombee ubunge kwani wanaweza.

Kumuweka na kumuondoa unamaanisha hakuwa na qualification?
 
Alikua na Msc ya Economics kutoka makerere. Alikua na vigezo na alikaa muhula mmoja tu 2010-15 na akapisha. This aligns na maono ya lissu kuwa mtu asikae vipindi vingi bungeni kwa kiti maalum

inabadilisha nini? bado bila ya kakake (tundu lisu) asingepata huo uviti maalumu, au yuko peke yake tanzagiza nzima mwenye hivyo vigezo? hiyo ni preaching water and drinking wine …
 
Issue ni kuwa alimpa

Mbona hakuwapa dada wa wengine akampa dada yake

Alimuondoa akiwa keshalamba mamilioni ya bunge
Mtaji tosha kumsaidia dada yake wa kuanzia maisha
Aliyeshauri Christina aombe Ubunge wa Viti maalumu ni Mzee Mengi na Ndesamburo

Nakumbuka Mwalimu mmoja wa Tambaza alishauriwa aombe pia na Mama mmoja alikuwa ITV akiitwa Mngodo

Wakuu wa Chadema walihitaji Elimu na Maarifa ya Hawa akina mama Bungeni

Ndio sababu shujaa Magufuli alilia Kwenye msiba wa Christina pale Karimjee

Happy New Year
 
Back
Top Bottom