tundu lisu ni mgonjwa wa akili, tumemsamehe
Tundu Lissu MJINGA
asiyetaka kuelimika, asiye na adabu, asiyetaka kukiri kosa hata
lililowazi. Unamsamehe vipi mtu kama huyu anayesema TANZANIA na
WATANZANIA hawapo duniani KIHALALI?
Tundu Lisu hajatuambia KITI cha TANGANYIKA kiliondokaje kule UNO.
KIliondolewa na hati hii ya MUUNGANO ya "kughushi"?
Tundu Lissu anatuambia Mwalimu hakuwa Mungu wala Malaika lakini
hatuambii pia kuwa Mwalimu hakuwa Shetani wala Luciferi.
Mwambieni Tundu Lissu asimame mle Bungeni akiri ujinga wake huo kama
alivyousambaza kwa nguvu zote mle mjengoni.
Tundu Lissu MJINGA asiyetaka kuelimika, asiye na adabu, asiyetaka kukiri kosa hata lililowazi. Unamsamehe vipi mtu kama huyu anayesema TANZANIA na WATANZANIA hawapo duniani KIHALALI?
Tundu Lisu hajatuambia KITI cha TANGANYIKA kiliondokaje kule UNO. KIliondolewa na hati hii ya MUUNGANO ya "kughushi"?
Tundu Lissu anatuambia Mwalimu hakuwa Mungu wala Malaika lakini hatuambii pia kuwa Mwalimu hakuwa Shetani wala Luciferi.
Mwambieni Tundu Lissu asimame mle Bungeni akiri ujinga wake huo kama alivyousambaza kwa nguvu zote mle mjengoni.
Tundu Lissu MJINGA asiyetaka kuelimika, asiye na adabu, asiyetaka kukiri kosa hata lililowazi. Unamsamehe vipi mtu kama huyu anayesema TANZANIA na WATANZANIA hawapo duniani KIHALALI?
Tundu Lisu hajatuambia KITI cha TANGANYIKA kiliondokaje kule UNO. KIliondolewa na hati hii ya MUUNGANO ya "kughushi"?
Tundu Lissu anatuambia Mwalimu hakuwa Mungu wala Malaika lakini hatuambii pia kuwa Mwalimu hakuwa Shetani wala Luciferi.
Mwambieni Tundu Lissu asimame mle Bungeni akiri ujinga wake huo kama alivyousambaza kwa nguvu zote mle mjengoni.
yule mzee alikuwa haambiliki. ndo maana hata sera yake ilikuwa "zidumu fikra SAHIHI za mwenyekiti wa chama".
Mimi nataka nikubaliane nawe,ila uniambia Tundu kakosea wap na hataki kukiri kosa la wazi kama unavyosema. Pili kafanya ujinga upi?
Huwezi kumtuhumu mtu kwa hisia,kila mtu anasema lissu kamtukana mwl,kakosea ila makosa hayo hayasemwi ni yapi,je kasema mwl ni mjinga,au mp.umbavu au vngnevyo. SEMENI MAKOSA YA LISU TUYAJUE. VINGINEVYO HUO NI UJUHA NA UNAFIKI.
Tundu Lisu kasema yafuatayo:Mimi nataka nikubaliane nawe,ila uniambia Tundu kakosea wap na hataki kukiri kosa la wazi kama unavyosema. Pili kafanya ujinga upi?
Huwezi kumtuhumu mtu kwa hisia,kila mtu anasema lissu kamtukana mwl,kakosea ila makosa hayo hayasemwi ni yapi,je kasema mwl ni mjinga,au mp.umbavu au vngnevyo. SEMENI MAKOSA YA LISU TUYAJUE. VINGINEVYO HUO NI UJUHA NA UNAFIKI.
Wadau.,naomba kufahamishwa tusi ambalo Tundu Lissu amemtukana Mwalimu Nyerere,maana nimekuwa nikiskia watu wakilalama na kumlaumu Lissu.
Mod nsomba usiunganishe uzi huu..ili tupate ukweli..
Haya ndiyo mawazo ya BAWACHA.Wadau.,naomba kufahamishwa tusi ambalo Tundu Lissu amemtukana Mwalimu Nyerere,maana nimekuwa nikiskia watu wakilalama na kumlaumu Lissu.
Mod nsomba usiunganishe uzi huu..ili tupate ukweli..
Sijawahi kuona mtu anaitwa lyimo yuko sawa.Tusi kubwa lisilovumilika ni lile la kutaarifu umma kuwa Mzee Jumbe amewekwa kizuizini hadi leo huko Mjimwema.
Tusi kubwa lisilovumilika ni lile la kutaarifu umma kuwa Mzee Jumbe amewekwa kizuizini hadi leo huko Mjimwema.
mkuu kwani ni maneno yake au ya jumbe?yeye si alinukuu kile ambacho wanzanzibari wanalalamika na jumbe mwenyeweTusi kubwa lisilovumilika ni lile la kutaarifu umma kuwa Mzee Jumbe amewekwa kizuizini hadi leo huko Mjimwema.
Nami nimefuatilia sana sijalipata lakini nimesikia wengi wakisema kuwa ni hili hapa: fuatilia clip hii https://www.youtube.com/watch?v=W2JsPyb683o.Wadau.,naomba kufahamishwa tusi ambalo Tundu Lissu amemtukana Mwalimu Nyerere,maana nimekuwa nikiskia watu wakilalama na kumlaumu Lissu.
Mod nsomba usiunganishe uzi huu..ili tupate ukweli..