Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Mungu hamtupi mja wake, kwa jinsi ambavyo vichaa wamemdhalilisha baba wa taifa, Marehemu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere(R.I.P) kwa kumtukana tena tukiwa hatunaye duniani, hakika SERIKALI tatu hata kama ikitokea miujiza zikawepo lazima Marehemu atapigana kufa na kupona waasisi wake walaaniwe.

Vita hiyo ya baba wa taifa dhidi ya wanaodhani kubaki kwao hapa duniani na yeye kutangulia mbele za haki ni ticketi tosha ya kumdhihaki, kudhihaki muundo wa serikali aliouacha lazima mshindi atakuwa Marehemu tu.

Watu kutoka kona mbalimbali za Tanzania wakiwemo viongozi wa dini, wasomi na makundi mbalimbali waliojitokeza hadharani kulaani dhihaka dhidi ya baba wa Taifa ni majemadari wa vita hiyo wakiongozwa na Marehemu mwenyewe Baba wa taifa.

Tusubiri tu tuone mwisho wa kulalama kwa hawa wanaojiita jeshi la waasi lililosubiri Kamanda Nyerere atoweke duniani ndo wajitokeze kama nyoka alivyojitokeza kule kwenye bustani ya hedeni na kuwadanganya ADAM na HAWA, nyoka huyo akifikiri Mungu hayupo.

Hawa watatambaa na tumbo kama nyoka, ni suala la muda


 
Mungu hamtupi mja wake, kwa jinsi ambavyo vichaa wamemdhalilisha baba wa taifa, Marehemu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere(R.I.P) kwa kumtukana tena tukiwa hatunaye duniani, hakika SERIKALI tatu hata kama ikitokea miujiza zikawepo lazima Marehemu atapigana kufa na kupona waasisi wake walaaniwe.

Vita hiyo ya baba wa taifa dhidi ya wanaodhani kubaki kwao hapa duniani na yeye kutangulia mbele za haki ni ticketi tosha ya kumdhihaki, kudhihaki muundo wa serikali aliouacha lazima mshindi atakuwa Marehemu tu.

Watu kutoka kona mbalimbali za Tanzania wakiwemo viongozi wa dini, wasomi na makundi mbalimbali waliojitokeza hadharani kulaani dhihaka dhidi ya baba wa Taifa ni majemadari wa vita hiyo wakiongozwa na Marehemu mwenyewe Baba wa taifa.

Tusubiri tu tuone mwisho wa kulalama kwa hawa wanaojiita jeshi la waasi lililosubiri Kamanda Nyerere atoweke duniani ndo wajitokeze kama nyoka alivyojitokeza kule kwenye bustani ya hedeni na kuwadanganya ADAM na HAWA, nyoka huyo akifikiri Mungu hayupo.

Hawa watatambaa na tumbo kama nyoka, ni suala la muda tu.


Nyerere alisema "Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano",vichaa wakasema Zanzibar ni nchi.
Nyerere alisema "Azimio la Arusha ni mkombozi wa Watanzania",vichaa wakasema Azimio la Arusha linaharibu nchi.
Nyerere alisema "ccm si mama yangu wala baba yangu",vichaa wanang'ang'ania ccm.
Nyerere aliacha Nchi moja serikali mbili lakini hakuacha Nchi mbili serikali mbili.
Nyerere kama anasema kwenye nchi ya wafu,basi anawalilia vichaa hawa.
 
Bwa mdogo hatofika mbali.Huyu kilaza hajui yeye asingekuwa bungeni kama sio kazi. Ya Mwalimu

Hiyo ni hoja ya kijinga sana. Mbona mimi na wewe atujafika bungeni?
Mambo hutendeka kwasababu Mungu amependa tu na sio Nyerere.
 
Hiki kipindi ni cha muda lakini nilikuwa sijakisikiliza, leo nimekisikiliza na kuanzia saa moja na dakika nane ya video hii Tundu Lissu anafunguka na kusema, "kuna mengi sana mabaya aliyoyafanya Nyerere".

Msikilize Tundu akimwaga radhi kuhusu Nyerere kuanzia saa moja na dakika nane:

Swali langu; Tundu Lissu, Nyerere atakuwaje mtakatifu kama hajafanywa "Mungu Mtu"?
 
Last edited by a moderator:
Hiki kipindi ni cha muda lakini nilikuwa sijakisikiliza, leo nimekisikiliza na kuanzia saa moja na dakika nane ya video hii Tundu Lissu anafunguka na kusema, "kuna mengi sana mabaya aliyoyafanya Nyerere".

Msikilize Tundu akimwaga radhi kuhusu Nyerere kuanzia saa moja na dakika nane:

[video]https://youtu.be/1m8IRbqFnb0[/video]

Swali langu; Tundu Lissu, Nyerere atakuwaje mtakatifu kama hajafanywa "Mungu Mtu"?

Nani kakwambia nyerere ni mungu?Akili zingine hizi
 
Sio kwa ajili Tundu Lissu kasema, bali ni kweli Nyerere sio mungu mtu, ni makosa makubwa kumpigia magoti Nyerere huku tukijua fika kuwa baadhi ya falsafa zake zimetubebesha mzigo mkubwa na mzito sana hadi leo.

Hata hili likatiba linalotulia mapesa yetu chungu mzima ni kutokana na makosa yake ya kutokuiingiza misingi ya azimio la arusha kwenye katiba.
 
Jamani nyerere twa mupa heshima 1.kwa 7babu ni mwasisi 2. aliongoza jingaz 3 aliongoza watu wachache 4 alikuwa na maamuz
 
Lissu alipotafuta umaarufu kupitia jina la Mwalimu. Huyu jamaa ni very arrogant
 
Sio kwa ajili Tundu Lissu kasema, bali ni kweli Nyerere sio mungu mtu, ni makosa makubwa kumpigia magoti Nyerere huku tukijua fika kuwa baadhi ya falsafa zake zimetubebesha mzigo mkubwa na mzito sana hadi leo.

Hata hili likatiba linalotulia mapesa yetu chungu mzima ni kutokana na makosa yake ya kutokuiingiza misingi ya azimio la arusha kwenye katiba.

Wanaofikiri Nyerere ni "Mungu Mtu" hawatakuelewa, wanadhani Nyerere hajawahi kufanya makosa.
 
Hiki kipindi ni cha muda lakini nilikuwa sijakisikiliza, leo nimekisikiliza na kuanzia saa moja na dakika nane ya video hii Tundu Lissu anafunguka na kusema, "kuna mengi sana mabaya aliyoyafanya Nyerere".

Msikilize Tundu akimwaga radhi kuhusu Nyerere kuanzia saa moja na dakika nane:

[video]https://youtu.be/1m8IRbqFnb0[/video]

Swali langu; Tundu Lissu, Nyerere atakuwaje mtakatifu kama hajafanywa "Mungu Mtu"?

Wacha mihemuka we bimkubwa,nyerere hajawa mtakatifu
 
Back
Top Bottom