Ndio mkataba kati yao na wananchi,Wanayo ilani,kwani wewe unaitaka ilani ya CHADEMA?
Aibu kubwa sana kwa mgombea wa Chadema anasikiliza hoja za wafuasi wake wa JF! Mfano wanamuambia eti kujenga SGR si lolote si kitu hata mkoloni alijenga reli. Yeye anakurupuka na kuongea upuuzi kama huu majukwaani! Yaani hajui umuhimu wa mradi wa SGR ukikamilika!
Tundu hana sera, anafuata maelekezo ya waliomtuma hao wazungu, kwao mpaka leo mpirani mashabiki hawaendiIpi iyo??? Wapi Lissu kasema ataweka lockdown???
Ndio mkataba kati yao na wananchi,
Sasa kama yenu iko vichwani kwenu, mkiwa wehu na ilani inaehuka?
Washabiki wa chadema twambieni hicho kifungu kuhusu madini kinasemaje mkishaweak rehani?
Mbona mnakwepa kukiweka hapa kama mnajiamini?
Habari wana jamvi,
Nimekuwa nikifuatilia mikutano yote ya CHADEMA, mara nyingi wanakuja na hadithi mpya na nyingi zinatungwa na washabiki wao hapa JF kisha mgombea anapanda nazo jukwaani...
Tundu hana sera, anafuata maelekezo ya waliomtuma hao wazungu, kwao mpaka leo mpirani mashabiki hawaendi
Yaaanii wanatia huruma, utasikia Leo wanaponda ujenzi wa miundombinu ya maendeleo, kesho wakiamuka kivingine, utasikia wanasema eti nao watajenga na kufufua viwanda. Yaaanii hatujui wanamalengo gani na taifa hili.
Kwani yule waziri aliekuwa anatembea na ilani ilimsaidia kufanya nini iliyokuwemo ndani yake? zaidi ya hujuma ? ilani ipo kwao waaminio kwayoHabari wana jamvi,
Nimekuwa nikifuatilia mikutano yote ya CHADEMA, mara nyingi wanakuja na hadithi mpya na nyingi zinatungwa na washabiki wao hapa JF kisha mgombea anapanda nazo jukwaani...
Ilani ya Chadema 2020 hii hapaHabari wana jamvi,
Nimekuwa nikifuatilia mikutano yote ya CHADEMA, mara nyingi wanakuja na hadithi mpya na nyingi zinatungwa na washabiki wao hapa JF kisha mgombea anapanda nazo jukwaani...
Tatizo wafuasi wa chizi Lissu akili zenu sawa na za n'g.o.m.b.e tuWazungu Hawana muda wa kumtuma mtu, kama wakitaka tuhangaike si wanazuia tu arv, condom na madawa? Yan hapo tu tunakufa wote kwa miaka michache
Kwahyo nanyie mnatapatapa kama sisi?Nyie viwanda vyenu 100 kwa kila mkoa viko wapi?
Kwahyo nanyie mnatapatapa kama sisi?
Tatizo wafuasi wa chizi Lissu akili zenu sawa na za n'g.o.m.b.e tu
Dogo Ulikuwa hujazaliwa mkapa aliposema ilani ya ccm haitekelezeki, Tangu wakati huo mpaka Leo ilani ya ccm haijawahi tekelezwaHabari wana jamvi,
Nimekuwa nikifuatilia mikutano yote ya CHADEMA, mara nyingi wanakuja na hadithi mpya na nyingi zinatungwa na washabiki wao hapa JF kisha mgombea anapanda nazo jukwaani...
HAWANA ILANI CHADEMA au CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO.
WANA LAANA BADALA YA ILANI.
Kumbe mnajitambua kuwa bado mnaitwa UPINZANI? endeleeni hivohivo. Sisi ni chama tawala hadi mwisho wa dunia.Ngoja upinzani ukiingia tutawapima