zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,930
Kama kupatana kwao kutaleta manufaa kwa wasanii ni jambo jema nadhani SUGU hajakurupuka. Tusubiri tamko rasmi.
Kijana mbona unamsumbuwa huyo Mzee alielala kwa kelele za JF?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kupatana kwao kutaleta manufaa kwa wasanii ni jambo jema nadhani SUGU hajakurupuka. Tusubiri tamko rasmi.
Mbona mi siwajui wote hao,huyo Sugu,Ruge na Nchimbi ndio akina nani,mi ndio kwanza nawasikia leo,wamepatanishwa wapi na walikosana nini na lini,pia kwanini???
Mkurugenzi wa Clouds Media Rugemalila Mutahaba (kulia) akimsikiliza
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi wakati akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini
Dar es Salaam kuhusiana na mikakati ya kufanya kazi kwa pamoja mara baada ya kumalizika kwa mgogoro baina yao
uliotokana na sababu za kimuziki uliodumu kwa muda wa miaka miwili.
Wapatanishi wa mgogoro huo ni Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Emmanuel Nchimbi na
Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lisu
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Emmanuel Nchimbi akiongea
na waandishi wa Habari leo jijini Dar es Salaam kuhusiana na kumalizika
kwa mgogoro wa miaka miwili uliotokana na sababu za kimuziki baina ya Mbunge wa Mbeya Mjini
Joseph Mbilinyi (Katikati) na Mkurugenzi wa Clouds Media Rugemalila Mutahaba (kulia).
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi wa
Clouds Media Rugemalila Mutahaba wakati akiongea na waandishi wa habari
safi sana.
Nini hatima ya vinega wenzake? Kwyo nyimbo za vinega zitaanza kupigwa wafu fm?