Tundu Lissu ndio turufu pekee tuliyobaki nayo Watanzania. Tusipomwelewa itakuwa ndio point of no return kama nchi

Tundu Lissu ndio turufu pekee tuliyobaki nayo Watanzania. Tusipomwelewa itakuwa ndio point of no return kama nchi

Escrowseal1

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2014
Posts
4,618
Reaction score
4,605
binafsi nilianza kumfuatilia mh Antipus Tundu Lissu kipindi alipoasis neno Dictator uchwara. kutokana na performance na siasa za mwendazake sikukubaliana na Tundu japo neno Dictator uchwara na madhara yaliyompata baadae wengi wetu nikiwemo mimi tulianza kuwa sensitive na kila alilofanya Tundu.

niliendelea kumfuatilia akiwa ughaibuni na taratibu sikupenda kukosa baadhi ya online discussions zake ,hasa alipojikita kutoa elimu ya uraia na mambo mengi yanayohusu katiba, Historia ya nchi yetu pamoja na mambo mengi sana yanayohusu sheria.Baada ya kugundua hilo niliandika kumuomba msamaha humu humu mtandaoni japo anaweza akawa hana habari kwani nilianza kumwelewa japo mwanzo sikumwelewa kabisa.

watanzania wengi walikuwa katika kundi kama langu. naamini wengi anaowafikia kwa sasa walishabadirisha mitazamo yao kama nilivyo mimi ila bahati nzuri sina uhaba wa kifurushi unlike watanzania wengi wenzangu hivyo nilimwelewa akiwa bado yuko ubelgig na ndo maana nilimuomba radhi mapema. na namuombea aendelee kuwafikia watanzania wengi kwa njia yoyote inayowezekana ili wapate kumwelewa kama mimi nilivyomwelewa.

Nimemwelewa huyu mh Antipus kiasi kwamba naanza kulemewa na msongo wa mawazo kwani nikimsikiliza how genuine the gentleman is na nikawaza ni watanzania wangapi bado wapo kwenye kundi nililokuwemo ama kwa kutopata ujumbe wake au kwa kuamua kuwa chawa forever nahsi maumivu makubwa.

Nadiriki kusema Tundu Antipus Lissu ni mwanasiasa aliyetokea kwa mara ya pili baada ya mwalimu nyerere kwa mambo mawili.

Moja; kuelimisha jamii

Tundu ni mwalimu ; Si watanzania wa sasa ama wa miaka kadhaa iliyopita waliojali kuelimisha jamii baada ya mwalimu nyerere. watanzania wengi almost hundred percent wamenyimwa elimu ama kwa maksudi na watawala ama na mifumo kwa kutokujua na ndo maana tuko hivi sisi watanzania. its naked truth kwamba watanzania tuko hivi kwa sababu ya hilo. binafsi naumia nakata tamaa kuona level watu kufanywa chawa haijalishi wamesoma ama hawajasoma , Tatizo lingine ni namna wengi wenye nafasi zao wanavyoweza kuwanunua watu na watu wakauza utu kwa sababu ya ujinga.

mbili. Being Genuine kwa lugha ya kuja na dream liner being Genuine is to demonstrate a strong moral and ethical code and their actions align with their stated beliefs and values. baada ya kumfuatilia huyu mwamba sina mwanasiasa hata mmoja kwa sasa ninaeweza kumfananisha na Tundu . nimemwangalia akiongelea Rushwa ambayo viongozi wa sasa hata neno lenyewe wanaliogopa hata kulitaja .msimamo wake juu ya wanachama wenzake na wasio wenzake juu ya neno Rushwa kwa kumwangalia kama alivyotuasa Mwalimu binafsi naamini kuwa the gentleman is genuine na sina wa kumlinganisha baada ya mwalimu.jambo lingine linanipa msongo wa mawazo ni wangapi wanamwelewa na hivi tulivyo kwa sasa watanzania.

Mwisho tusipomwelewa Tundu watanzania tujiandae kukanyaga the point of no return. kwa wale waliosoma physics watanielewa kwenye elasticity maana yake nini .

Eid Mubarack samahanini punctuation yangu nimekosa muda wa ku proof read.
 
Anaeleweka Sana Kwa Wananchi Wa Tanzania
Hata Akiwa Dodoma Alipofafanua Kuhusu Katiba Na Viongozi Wa Chama Dollar Hawakuweza Kutoa Jibu Ila Wananchi Wakapata Elimu Tele
 
Hakuna mtu asiyemwelewa Tundu Lisu, hata Madam Samia anamwelewa Tundu Lisu, shida ni ubinafsi, maslahi, uchama na kukosa u Zalendo.
Kabisa.
Anaeleweka.
Tundu hatoweza mikiki mikiki ya Uraisi.

PTSD kwa wahanga wa kupigwa risasi sio mchezo, usimwombee hataadui yako- itatugharimu kifedha kwa sababu za matibabu yake. Therapy yake ni ghali.
 
binafsi nilianza kumfuatilia mh Antipus Tundu Lissu kipindi alipoasis neno Dictator uchwara. kutokana na performance na siasa za mwendazake sikukubaliana na Tundu japo neno Dictator uchwara na madhara yaliyompata baadae wengi wetu nikiwemo mimi tulianza kuwa sensitive na kila alilofanya Tundu.

niliendelea kumfuatilia akiwa ughaibuni na taratibu sikupenda kukosa baadhi ya online discussions zake ,hasa alipojikita kutoa elimu ya uraia na mambo mengi yanayohusu katiba, Historia ya nchi yetu pamoja na mambo mengi sana yanayohusu sheria.Baada ya kugundua hilo niliandika kumuomba msamaha humu humu mtandaoni japo anaweza akawa hana habari kwani nilianza kumwelewa japo mwanzo sikumwelewa kabisa.

watanzania wengi walikuwa katika kundi kama langu. naamini wengi anaowafikia kwa sasa walishabadirisha mitazamo yao kama nilivyo mimi ila bahati nzuri sina uhaba wa kifurushi unlike watanzania wengi wenzangu hivyo nilimwelewa akiwa bado yuko ubelgig na ndo maana nilimuomba radhi mapema. na namuombea aendelee kuwafikia watanzania wengi kwa njia yoyote inayowezekana ili wapate kumwelewa kama mimi nilivyomwelewa.

Nimemwelewa huyu mh Antipus kiasi kwamba naanza kulemewa na msongo wa mawazo kwani nikimsikiliza how genuine the gentleman is na nikawaza ni watanzania wangapi bado wapo kwenye kundi nililokuwemo ama kwa kutopata ujumbe wake au kwa kuamua kuwa chawa forever nahsi maumivu makubwa.

Nadiriki kusema Tundu Antipus Lissu ni mwanasiasa aliyetokea kwa mara ya pili baada ya mwalimu nyerere kwa mambo mawili.

Moja; kuelimisha jamii

Tundu ni mwalimu ; Si watanzania wa sasa ama wa miaka kadhaa iliyopita waliojali kuelimisha jamii baada ya mwalimu nyerere. watanzania wengi almost hundred percent wamenyimwa elimu ama kwa maksudi na watawala ama na mifumo kwa kutokujua na ndo maana tuko hivi sisi watanzania. its naked truth kwamba watanzania tuko hivi kwa sababu ya hilo. binafsi naumia nakata tamaa kuona level watu kufanywa chawa haijalishi wamesoma ama hawajasoma , Tatizo lingine ni namna wengi wenye nafasi zao wanavyoweza kuwanunua watu na watu wakauza utu kwa sababu ya ujinga.

mbili. Being Genuine kwa lugha ya kuja na dream liner being Genuine is to demonstrate a strong moral and ethical code and their actions align with their stated beliefs and values. baada ya kumfuatilia huyu mwamba sina mwanasiasa hata mmoja kwa sasa ninaeweza kumfananisha na Tundu . nimemwangalia akiongelea Rushwa ambayo viongozi wa sasa hata neno lenyewe wanaliogopa hata kulitaja .msimamo wake juu ya wanachama wenzake na wasio wenzake juu ya neno Rushwa kwa kumwangalia kama alivyotuasa Mwalimu binafsi naamini kuwa the gentleman is genuine na sina wa kumlinganisha baada ya mwalimu.jambo lingine linanipa msongo wa mawazo ni wangapi wanamwelewa na hivi tulivyo kwa sasa watanzania.

Mwisho tusipomwelewa Tundu watanzania tujiandae kukanyaga the point of no return. kwa wale waliosoma physics watanielewa kwenye elasticity maana yake nini .

Eid Mubarack samahanini punctuation yangu nimekosa muda wa ku proof read.
Tundu Lissu wasiomwelewa ni Mafisadi, wezi, wauza mali za nchi na maswahiba wa wazungu na waarabu kwa sasa.
 
Kabisa.
Anaeleweka.
Tundu hatoweza mikiki mikiki ya Uraisi.

PTSD kwa wahanga wa kupigwa risasi sio mchezo, usimwombee hataadui yako- itatugharimu kifedha kwa sababu za matibabu yake. Therapy yake ni ghali.
Unaumia ukiwa Wapi Kaka?
 
Hakuna mtu asiyemwelewa Tundu Lisu, hata Madam Samia anamwelewa Tundu Lisu, shida ni ubinafsi, maslahi, uchama na kukosa u Zalendo.
Siasa za uchama na itikadi ndiyo tatizo la nchi hii kwa sasa likikolezwa na Ubinafsi,uroho wa madaraka na kusaka utajiri. Lissu anajitahidi kujinasua na hayo angalau kwa hatua hii tuliyonayo,wana siasa wengine na viongozi wa dini no!
 
Siasa za uchama na itikadi ndiyo tatizo la nchi hii kwa sasa likikolezwa na Ubinafsi,uroho wa madaraka na kusaka utajiri. Lissu anajitahidi kujinasua na hayo
Lissu ni Mwanasiasa pekee ameonesha hana uroho wa madaraka wala tamaa ya mali.

He is pure. Na historia inamlinda.
 
Unaumia ukiwa Wapi Kaka?
Wewe kichaa kweli. Anaeumia Tundu Lissu unanisingiza mimi ndie ninaye umia. Anatia huruma na PTSD yake. Uzuri hakuna kura za Huruma 2025 atapelekeshwa ma viwewe vyake mpaka aombe po.

Karibu, nipo Singida.
 
Hakuna mtu asiyemwelewa Tundu Lisu, hata Madam Samia anamwelewa Tundu Lisu, shida ni ubinafsi, maslahi, uchama na kukosa u Zalendo.
Usitusemee watz wote bhn ..me mbona simuelewi namuona muongo muongo asiefaa kupewe nchi ,kila mtu anamtazamo wake binafsi naona samia mpk 2030 anafaa
 
Kinachoturudisha nyuma ni vyama vya siasa, ifike muda WAZALENDO kama tundu lisu , Luhaga mpina, Jaji warioba na wengine waungwe MKONO na Kila raia mwenye Nia njema...
 
Back
Top Bottom