stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 259
- 483
Kwanza hana makandokando, anajua wathirisha hoja, anajua katiba yaani anajua anaochokifanya
Mwamba anajua
Mwamba anajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂huyu huyu aliyepinga kufufuliwa kwa ATCL, ujenzi wa stiegler gorge, standard gauge na kuhimiza tanzania tuwe na serikali 3 au mwingine?
mimi sina shida nae ila yeye ndiye mwenye shida ya kuondoa unafuu kweny maisha yangu jaribu kufikiri huo utitiri wa kodi ya kulisha serikali 3😂Exactly, ndiye huyo huyo na ndiye huyuhuyu!
Una matatizo naye?
Siasa ni fursa
Ila Lisu ana heka heka sana...Siasa ni fursa
Pamoja na kushonwashonwa mwili mzima Hakomi tu huyo mbaba .Ila Lisu ana heka heka sana...
Mambo yake aachiwe mwenyewe...Pamoja na kushonwashonwa mwili mzima Hakomi tu huyo mbaba .
Hivi Saivi hatembelei magongo!???
Akiii siasa ni vita pia
Weeee muda mwingine ashauriwe lo aneza kufa siku si zake ujue!Mambo yake aachiwe mwenyewe...
Tatizo bindamu wa siku hizi ni wabishi sana...Weeee muda mwingine ashauriwe lo aneza kufa siku si zake ujue!
Hatari sana
Tundu lisu sio mfano wa kuigwa kwasababu kanyamaza issue ya sativa kama vile sativa na watz hawakupiga kelele wakati yeye yupo ICU. imenisikitisha sana. kama hajasikia vile.Kwanza hana makandokando, anajua wathirisha hoja, anajua katiba yaani anajua anaochokifanya
Mwamba anajua
Sasa hiyo ATCL kwa mfano inatija ipi kwa Taifa kila mwaka hasara kwa mujibu wa CAG?Ipo haipo au kwako uwepo ni bora kuliko faida??Hiyo ni biashara au ma..tako?CCM akili zenu zinawafaa nyinyi tu.😂😂😂huyu huyu aliyepinga kufufuliwa kwa ATCL, ujenzi wa stiegler gorge, standard gauge na kuhimiza tanzania tuwe na serikali 3 au mwingine?
Tundu kasoma nje bachelor na mastersKwanza hana makandokando, anajua wathirisha hoja, anajua katiba yaani anajua anaochokifanya
Mwamba anajua
Tundu Lisu LLB kasoma university of Dar es Salaam hapo, sekondari Iboru. Masters ndio kasoma nje.Tundu kasoma nje bachelor na masters
Naona masters ilimsaidia sn pamoja na kukaa njeTundu Lisu LLB kasoma university of Dar es Salaam hapo, sekondari Iboru. Masters ndio kasoma nje.
Tija ya kwanza imeboresha na kukuza sekta ya anga kwa upana wake nnchini sehem nyingi zilizokua zimesahaulika sasa zinapata huduma hii kwa urahisi eg katavi nkSasa hiyo ATCL kwa mfano inatija ipi kwa Taifa kila mwaka hasara kwa mujibu wa CAG?Ipo haipo au kwako uwepo ni bora kuliko faida??Hiyo ni biashara au ma..tako?CCM akili zenu zinawafaa nyinyi tu.