Tundu Lissu ni mfano wa kuigwa kwa wanasiasa wa upinzani

Tundu Lissu ni mfano wa kuigwa kwa wanasiasa wa upinzani

Tija ya kwanza imeboresha na kukuza sekta ya anga kwa upana wake nnchini sehem nyingi zilizokua zimesahaulika sasa zinapata huduma hii kwa urahisi eg katavi nk
Pili ufufuaji wake umechangia pakubwa sekta ya utalii n.k
Swali la kizushi kwako ulishawah hata tumia usafiri huu b4 &after?
Sasa si muutangazie umma lengo ni huduma tu na siyo biashara,kuliko kututangazia kila mwaka kupitia CAG kwamba Shirika limepata hasara?!Mimi napanda fisi sijawahi kuwazia ndege za ma CCM nyie.
 
Sasa si muutangazie umma lengo ni huduma tu na siyo biashara,kuliko kututangazia kila mwaka kupitia CAG kwamba Shirika limepata hasara?!Mimi napanda fisi sijawahi kuwazia ndege za ma CCM nyie.
Je serikali ipo kutoa huduma au kifanya biashara kwa watu wake?
 
Sasa si muutangazie umma lengo ni huduma tu na siyo biashara,kuliko kututangazia kila mwaka kupitia CAG kwamba Shirika limepata hasara?!Mimi napanda fisi sijawahi kuwazia ndege za ma CCM nyie.
Je serikali ipo kutoa huduma au kifanya biashara kwa watu wake?
 
mimi sina shida nae ila yeye ndiye mwenye shida ya kuondoa unafuu kweny maisha yangu jaribu kufikiri huo utitiri wa kodi ya kulisha serikali 3😂

Lissu pia anapinga utitiri wa kodi zinazoumiza wananchi. Kuhusu serikali 3, Tume ya Warioba ilipendekeza namna bora ya kuendesha serikali hizo kwa gharama nafuu.
 
mimi sina shida nae ila yeye ndiye mwenye shida ya kuondoa unafuu kweny maisha yangu jaribu kufikiri huo utitiri wa kodi ya kulisha serikali 3😂
Hiyo yake sio shida.

Huo utakuwa wajibu wake

Wewe fanya wajibu wako. Mwamini, mpe kura yako, mfanye kuwa Rais wa nchi hii

The rest, mwachie maana huo ndiyo wajibu anaopaswa kuutenda baada ya Mungu kuutunza uhai wake pamoja na risasi zaidi 16 kuingia mwilini mwake!
 
Back
Top Bottom