Tundu Lissu ni mfano wa kuigwa kwa wanasiasa wa upinzani

Sasa si muutangazie umma lengo ni huduma tu na siyo biashara,kuliko kututangazia kila mwaka kupitia CAG kwamba Shirika limepata hasara?!Mimi napanda fisi sijawahi kuwazia ndege za ma CCM nyie.
 
Sasa si muutangazie umma lengo ni huduma tu na siyo biashara,kuliko kututangazia kila mwaka kupitia CAG kwamba Shirika limepata hasara?!Mimi napanda fisi sijawahi kuwazia ndege za ma CCM nyie.
Je serikali ipo kutoa huduma au kifanya biashara kwa watu wake?
 
Sasa si muutangazie umma lengo ni huduma tu na siyo biashara,kuliko kututangazia kila mwaka kupitia CAG kwamba Shirika limepata hasara?!Mimi napanda fisi sijawahi kuwazia ndege za ma CCM nyie.
Je serikali ipo kutoa huduma au kifanya biashara kwa watu wake?
 
mimi sina shida nae ila yeye ndiye mwenye shida ya kuondoa unafuu kweny maisha yangu jaribu kufikiri huo utitiri wa kodi ya kulisha serikali 3πŸ˜‚

Lissu pia anapinga utitiri wa kodi zinazoumiza wananchi. Kuhusu serikali 3, Tume ya Warioba ilipendekeza namna bora ya kuendesha serikali hizo kwa gharama nafuu.
 
mimi sina shida nae ila yeye ndiye mwenye shida ya kuondoa unafuu kweny maisha yangu jaribu kufikiri huo utitiri wa kodi ya kulisha serikali 3πŸ˜‚
Hiyo yake sio shida.

Huo utakuwa wajibu wake

Wewe fanya wajibu wako. Mwamini, mpe kura yako, mfanye kuwa Rais wa nchi hii

The rest, mwachie maana huo ndiyo wajibu anaopaswa kuutenda baada ya Mungu kuutunza uhai wake pamoja na risasi zaidi 16 kuingia mwilini mwake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…