Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

Nimesoma habari ya gazeti la Mwananchi kuhusu swala la Lissu kujiandaa na Urais 2020 hivyo kufanya idadi ya wagombea waliokwisha kutangaza nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya Chadema kinyume kabisa na miongozo ya chama hicho kwa watia nia wake kuwa wawili mpaka sasa yaani Lissu na Lowassa.

Miongozo ya CHADEMA inawataka watia nia wa Urais kutangaza nia hiyo mwaka mmoja kabla ya Uchaguzi mkuu ili kuepusha mpasuko ndani ya Chama. Aidha yuko Mbowe nae anataka kugombea Urais ila hatangazi ili apate nafasi ya kuwaengua wanaotangaza mapema wakati ukifika.

Kwa tunaomjua Lissu tunaamini kabisa kuwa hawezi kuwa kwenye nafasi kubwa kama Urais kwa sababu kubwa kuwa hayuko settled. Lissu anapaswa kuwa na chombo au mtu wa juu yake kumdhibiti. Lissu ni kama Lema, Wenje na sampuli hizo. Ni waongeaji, wakosoaji na wakitumwa kusemea jambo wana uwezo mkubwa wa kufanya.

Udhaifu wao mkubwa ni kwamba hawawezi kukaa kwenye kikao dakika 20 bila kutoka nje. Wako mbio mbio muda wote. Hawana ubunifu wao ni watekelezaji tu, ni watu wa visasi na makundi, wamekubuhu kwenye fitina hawa wote ndio walimpoteza Lytonga Mrema kwa kumgombanisha na wenzake akina Marando sasa wameshamgombanisha Mbowe na waliokuwa wapenzi wake akina Zitto, Dr. Slaa sasa wanataka Urais.

Dhambi kubwa ya Zitto na Dr Slaa CHADEMA ilikuwa ni kutangaza kugombea Urais. Waliosimamia mkakati wa kuvunja ndoto zao ni hawa vijana wa Lytonga Mrema waliotoka nae NCCR kwenda TLP halafu wakamtelekeza kule na kukimbilia CHADEMA. Kwasababu ni wabaguzi dhambi ile hawajawahi kuiacha ni sawa na kula nyama ya mtu.

Mimi binafsi namuunga mkono Lissu kuwa mwenyekiti wa CHADEMA kwa sababu ndio pekee ninayemuona ana ujasiri wa kupambana na Mbowe japo hana mkakati. Simuungi mkono kwa sababu yeye atakuwa mwenyekiti mzuri kuliko Mbowe la hasha ila atavunja mwiko na kufungua mlango uliofungwa miaka mingi wa kupokezana vijiti ndani ya CHADEMA.

Aidha Lissu atatoa changamoto kwa siasa za upinzani nchini na kuzinogesha. Nampa tahadhari Lissu kuwa kama amesharubuniwa na Mbowe kuwa ataachiwa Urais na yeye aachie uenyekiti ameshashindwa kabla ya kuanza.

Kwa sasa Lissu focus kwenye Uenyekiti wa CHADEMA kwanza Urais unakuja tu wenyewe.

Nakutakia uponaji wa haraka Kamanda
Foolish fool huna lolote.Wee wakala wa ibilisi unawezaje kumpangia nafas mtu ambaye mnatamani afe hata kesho!!Huu ni unafiki wa kishetani kabisa!!!By then huko CCM ulikohamia umwekwa kwenye chupa mpaka uwe mpedekezaji wa viongoz wa CHADEMA?Jinga kabisa wew
 
mwacheni Lissu...aendelee kujiuguza.Huyu bado ni mgonjwa...kutaja taja wagonjwa wakati mwingine sio jambo zuri hasa hasa kuwahusisha na siasa.
 
Ikiwa hapa JF hakuna ushabiki wa kivyama, kikabila na udini. Ndugu Benson analyses zako ziko vizuri sana, tena sana.

Kwa wale wanaomchukia Magufuli kwa uamuzi wake wa haraka ama kusema wazi wazi, basi wajue na Lissu ni kadhalika.

To represent us internationally zitto yuko juu sana na hana kiburi ni mtu wa watu na hatukani ovyo. Sio mtu wa visasi na sio mkabila.

Hata mie nitampa vote yangu

Hakuna na hajawahi kuwepo mtu ambaye ni mbobezi na mtaalamu wa mambo yote ktk maisha....

Uongozi ni kipaji cha kuweza ku - mobilize na kutumia talents zote zinazokuzunguka....

Si lazima Rais awe mchumi, mwanasheria, mwanadiplomasia, daktari nk

Kipaji hiki ndicho anachokikosa John Pombe maana kwake yeye kila kitu ni pombe tu!!
 
Kwa kuzingatia sifa kuu mbili tu muhimu Zitto ni zaidi ya Lissu kwa nafasi ya Urais Upinzani. Sifa zangu mbili ni

1. Ukomavu wa kisiasa
Zitto amekomaa kisiasa kuliko Lissu. Zitto amekabiliwa na misukosuko mingi ya kisiasa na amevuka yote.

2. Exposure (Kujua na kujulikana)
Zitto anajua mambo mengi sana. Anajulikana sana kitaifa na kimataifa. Ana network kubwa sana duniani na ndani ya Tanzania. Zitto ana deserve kuwa Rais na atamudu zaidi kuliko Lissu.

Lissu achukue Uenyekiti wa Chadema kwanza ndio awaze Urais
Mbona hukuwahi kulizungumzia hili jambo kabla,umesikia gazeti la mwananchi leo ndo unaandika pumba hapa.Lissu anawakosesha usingizi kweli.

Mwenye chuki huwa anaumia yeye.
 
Shida yetu hatuna uvumilivu ktk Uhuru wa kutoa mawazo. Juzi ilikuwa kwa CCM, leo nyinyi wapinzani wenyewe hamheshimiani ktk Uhuru wa kutoa.
 
Kwa kuzingatia sifa kuu mbili tu muhimu Zitto ni zaidi ya Lissu kwa nafasi ya Urais Upinzani. Sifa zangu mbili ni

1. Ukomavu wa kisiasa
Zitto amekomaa kisiasa kuliko Lissu. Zitto amekabiliwa na misukosuko mingi ya kisiasa na amevuka yote.

2. Exposure (Kujua na kujulikana)
Zitto anajua mambo mengi sana. Anajulikana sana kitaifa na kimataifa. Ana network kubwa sana duniani na ndani ya Tanzania. Zitto ana deserve kuwa Rais na atamudu zaidi kuliko Lissu.

Lissu achukue Uenyekiti wa Chadema kwanza ndio awaze Urais
Wewe dubwana mbona unahaha sana kuanzisha nyuzi leo? Unawashwawashwa sana hawajakukuna huko walikokufuga?
 
Kwa kuzingatia sifa kuu mbili tu muhimu Zitto ni zaidi ya Lissu kwa nafasi ya Urais Upinzani. Sifa zangu mbili ni

1. Ukomavu wa kisiasa
Zitto amekomaa kisiasa kuliko Lissu. Zitto amekabiliwa na misukosuko mingi ya kisiasa na amevuka yote.

2. Exposure (Kujua na kujulikana)
Zitto anajua mambo mengi sana. Anajulikana sana kitaifa na kimataifa. Ana network kubwa sana duniani na ndani ya Tanzania. Zitto ana deserve kuwa Rais na atamudu zaidi kuliko Lissu.

Lissu achukue Uenyekiti wa Chadema kwanza ndio awaze Urais
sawa
 
Hahahahahahahhahahahahaahhaa...........zito atagombea na lissu atagombea...ni haki yako
Ikiwa hapa JF hakuna ushabiki wa kivyama, kikabila na udini. Ndugu Benson analyses zako ziko vizuri sana, tena sana.

Kwa wale wanaomchukia Magufuli kwa uamuzi wake wa haraka ama kusema wazi wazi, basi wajue na Lissu ni kadhalika.

To represent us internationally zitto yuko juu sana na hana kiburi ni mtu wa watu na hatukani ovyo. Sio mtu wa visasi na sio mkabila.

Hata mie nitampa vote yangu
 
Kwa kuzingatia sifa kuu mbili tu muhimu Zitto ni zaidi ya Lissu kwa nafasi ya Urais Upinzani. Sifa zangu mbili ni

1. Ukomavu wa kisiasa
Zitto amekomaa kisiasa kuliko Lissu. Zitto amekabiliwa na misukosuko mingi ya kisiasa na amevuka yote.

2. Exposure (Kujua na kujulikana)
Zitto anajua mambo mengi sana. Anajulikana sana kitaifa na kimataifa. Ana network kubwa sana duniani na ndani ya Tanzania. Zitto ana deserve kuwa Rais na atamudu zaidi kuliko Lissu.

Lissu achukue Uenyekiti wa Chadema kwanza ndio awaze Urais
Ushauri kutoka lumumba
 
Kwa kuzingatia sifa kuu mbili tu muhimu Zitto ni zaidi ya Lissu kwa nafasi ya Urais Upinzani. Sifa zangu mbili ni

1. Ukomavu wa kisiasa
Zitto amekomaa kisiasa kuliko Lissu. Zitto amekabiliwa na misukosuko mingi ya kisiasa na amevuka yote.

2. Exposure (Kujua na kujulikana)
Zitto anajua mambo mengi sana. Anajulikana sana kitaifa na kimataifa. Ana network kubwa sana duniani na ndani ya Tanzania. Zitto ana deserve kuwa Rais na atamudu zaidi kuliko Lissu.

Lissu achukue Uenyekiti wa Chadema kwanza ndio awaze Urais
Rais gan wa TFF au.jamani tuwe makini wakati mwingine tunapokuja kutoa mawazo ambayo Yanagusa maslahi ya Taifa.who is Zitto by then.Mnataka kulipeleka wap Taifa hili
 
zitto anaweza.
Lissu huwa naona anaexposure nyembamba kwenye mambo ya kisheria zaidi.

Weakness zao wote, watunwa kigoma na Singida hasa wanaume huwa ni wabishi, hawakubali ya wengine hii nayo inaweza kulitia taifa hasara,
 
Kwa kuzingatia sifa kuu mbili tu muhimu Zitto ni zaidi ya Lissu kwa nafasi ya Urais Upinzani. Sifa zangu mbili ni

1. Ukomavu wa kisiasa
Zitto amekomaa kisiasa kuliko Lissu. Zitto amekabiliwa na misukosuko mingi ya kisiasa na amevuka yote.

2. Exposure (Kujua na kujulikana)
Zitto anajua mambo mengi sana. Anajulikana sana kitaifa na kimataifa. Ana network kubwa sana duniani na ndani ya Tanzania. Zitto ana deserve kuwa Rais na atamudu zaidi kuliko Lissu.

Lissu achukue Uenyekiti wa Chadema kwanza ndio awaze Urais
Kwa hiyo unataka Zito awe raisi kwa kumtoa Magufuli?
 
Haa haa haa [emoji16][emoji16][emoji16] na kweli yumo ndani ya shamba la karanga akidhani kajificha ndani ya shamba la miwa ya Kilombero ile mirefu mita tano kwenda juu...

Yaani anatudanganya mchana kweupe kabisa kuwa Zitto amekomaa zaidi kisiasa kuliko Tundu Lissu ......

Na eti Zitto amepitia misukosuko mikali na migumu zaidi ya kisiasa kuliko Tundu Lissu na yote eti kaipita.... Huyu ni wazi haijui historia ya watu wote wawili hawa i.e Zitto Kabwe na Tundu Lissu....

Risasi zaidi ya 40 pekee za SMG alizopigwa huyu bwana Tundu Lissu na bado aka - survive ni msukosuko unaofunika misukosuko ya mwanasiasa yeyote anayeitwa mwanasiasa Tanzania achilia mbali Zitto Kabwe bali hata waliowahi kuwepo na pengine watakaokuwepo...!!

Hili hata Zitto Kabwe mwenyewe anajua na kulitambua vyema kabisa na ni wazi akimsoma mleta mada kwa hoja yake hii, jamaa (Zitto) atacheka sana..... Sawa na kumlinganisha Yohana mbatizaji na Yesu Kristo Masihi!!
Hizo kesi tu alizonazo kisutu ni msukosuko tosha, plus risasi 37 za A.K na bado hawakuchukua roho yake, imefunika misukosuko yote
 
Back
Top Bottom