mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Lisu hajawahi kusema ataondoa kodi alisema atabadili sheria ya kodi ili sheria ilenge kwenye haki ya mlipa kodi , Tax payers bill of right ni hilo tu hakusema atafuta kodi.
SERA YA KODI YA CHADEMA HII ,Fungua link hii.
Hicho ndicho alichosema kuhusu suala la kodi, si vizuri hata kidogo kumlisha maneno yako mtu.
Sera ya kodi iko clear kama alivyo isema.
Aidha, kuwapa wabunge kuamua juu ya maendeleo yao ina maana kuwapa wananchi maamuzi juu ya maendeleo yao.
Kila siku unasikia Rais anasema usipo mchagua fulani wa chama fulani sitaleta maendeleo kwenye Jimbo lenu. Ukiliachia bunge liamue hatima ya maendeleo.ya wananchi.itaondoa huu umangi meza wa Rais.
kama wameshindwa kumhoji mbowe amabye sio rais anataka awaaminishe wajinga gani anachokifikiria??
jambo baya sio kutousena ukweli,bali ni kuusema ukweli ambao hauna uhalisia.