Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli asitufanye wote wajinga, jipya ni kujenga uwanja na mbuga Chato

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli asitufanye wote wajinga, jipya ni kujenga uwanja na mbuga Chato

Tundu Lissu akihutubia mamia ya wafuasi wa Chadema na wananchi wasio na itikadi ya chama chochote mkoani Dodoma ametoa hoja kali ambazo CCM hawana uwezo wa kuzijibu zaidi ya kupanic na kukimbilia kwenye vyombo vya habari viwahurumie wasirushe mikutano ya Tundu Lissu.

Mosi, amezungumza kuwa jipya na la ajabu kwenye utawala huu ni Rais kujenga uwanja mkubwa Chato wakati marais waliopita hawakufanya maajabu haya, amesisitiza Tundu Lissu.

Pili, ni kitendo cha Rais kupeleka mbuga Chato. Hili ni ajabu kuu ambalo halijawahi kufanyika amesisitiza Tundu Lissu.

Tatu, Lissu amesisitiza kuwa watu wamedhalilishwa, hasa viongozi wa serikali na akina Mama kwa kauli chafu zinazotolewa.

Lissu amesisitiza hii nchi sio kila mtu ni mjinga na unaweza kuwadanganya kirahisi. Kuna watu werevu na wanakwenda kuwaambia wananchi kwa miaka mitano madudu yaliyofanyika.

Je, haya maajabu ni kweli yamefanyika huko Chato?

Je,wakazi wa Lindi, Dodoma, Mbeya, Ruvuma, Arusha, Mtwara, Kilimanjaro mnafahamu maajabu haya ya huko Chato?

Kwa hoja hizi ambazo hata mimi sikuzijua kwa miaka mitano, sasa nimeamshwa usingizini.

Hoja haipigwi rungu, bali hujibiwa kwa hoja. Hii ni kauli ya Dkt Jakaya Kikwete

CCM oyeee oyeeee oyeeee, jibuni hoja hizo!
Nimetafuta sana hiyo hotuba nashukuru nimeipata ni nzuri amejaribu kuelezea vitu vingi kwa muda na kafanikiwa ujumbe uko wazi
Shida moja CDM wajipange kuratibu hizi hotuba zake ziwafikiaje wananchi maana naona tunatumia nguvu kuzipata naona kuna nguvu nyingi zinatumika kuzuia Habari zisisikike
 
Tundu Lissu akihutubia mamia ya wafuasi wa Chadema na wananchi wasio na itikadi ya chama chochote mkoani Dodoma ametoa hoja kali ambazo CCM hawana uwezo wa kuzijibu zaidi ya kupanic na kukimbilia kwenye vyombo vya habari viwahurumie wasirushe mikutano ya Tundu Lissu.

Mosi, amezungumza kuwa jipya na la ajabu kwenye utawala huu ni Rais kujenga uwanja mkubwa Chato wakati marais waliopita hawakufanya maajabu haya, amesisitiza Tundu Lissu.

Pili, ni kitendo cha Rais kupeleka mbuga Chato. Hili ni ajabu kuu ambalo halijawahi kufanyika amesisitiza Tundu Lissu.

Tatu, Lissu amesisitiza kuwa watu wamedhalilishwa, hasa viongozi wa serikali na akina Mama kwa kauli chafu zinazotolewa.

Lissu amesisitiza hii nchi sio kila mtu ni mjinga na unaweza kuwadanganya kirahisi. Kuna watu werevu na wanakwenda kuwaambia wananchi kwa miaka mitano madudu yaliyofanyika.

Je, haya maajabu ni kweli yamefanyika huko Chato?

Je,wakazi wa Lindi, Dodoma, Mbeya, Ruvuma, Arusha, Mtwara, Kilimanjaro mnafahamu maajabu haya ya huko Chato?

Kwa hoja hizi ambazo hata mimi sikuzijua kwa miaka mitano, sasa nimeamshwa usingizini.

Hoja haipigwi rungu, bali hujibiwa kwa hoja. Hii ni kauli ya Dkt Jakaya Kikwete

CCM oyeee oyeeee oyeeee, jibuni hoja hizo!
Duh!
By paskali
 
Katika Marais wote waliotangulia hakuna Rais aliyemuweka mpwa wake kuwa Paymaster General. Haya ndiyo mapya ya utawala wa awamu ya tano.
Aliyekuwa Governor wa BOT Nyirabu aliteuliwa na Mwl.Nyerere na hiyo benki kuu iliungua akiwa gavana. Sishangai JPM kumteua paymaster general ndio siasa za Tanzania.
 
haoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni??
akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali

Maendeleo ya Vitu na Maendeleo ya watu ni vitu tofauti
Kazi nzuri ya kutekeleza miradi aliyobuni Kikwete na akuitafutia pesa
Credits za mradi aliousimamia kwa juhudi zake ni wa Rufiji Huu ni wa zamani Lakini ukiacha Nyerere aliyekaribia kuujenga mwaka 1980 yeye ndie kapambana kutekeleza

Ajifunze kukubali kusifia na wenzake sio kusema huko nyuma hakuna kilichofanyika
 
Tundu Lissu akihutubia mamia ya wafuasi wa Chadema na wananchi wasio na itikadi ya chama chochote mkoani Dodoma ametoa hoja kali ambazo CCM hawana uwezo wa kuzijibu zaidi ya kupanic na kukimbilia kwenye vyombo vya habari viwahurumie wasirushe mikutano ya Tundu Lissu.

Mosi, amezungumza kuwa jipya na la ajabu kwenye utawala huu ni Rais kujenga uwanja mkubwa Chato wakati marais waliopita hawakufanya maajabu haya, amesisitiza Tundu Lissu.

Pili, ni kitendo cha Rais kupeleka mbuga Chato. Hili ni ajabu kuu ambalo halijawahi kufanyika amesisitiza Tundu Lissu.

Tatu, Lissu amesisitiza kuwa watu wamedhalilishwa, hasa viongozi wa serikali na akina Mama kwa kauli chafu zinazotolewa.

Lissu amesisitiza hii nchi sio kila mtu ni mjinga na unaweza kuwadanganya kirahisi. Kuna watu werevu na wanakwenda kuwaambia wananchi kwa miaka mitano madudu yaliyofanyika.

Je, haya maajabu ni kweli yamefanyika huko Chato?

Je,wakazi wa Lindi, Dodoma, Mbeya, Ruvuma, Arusha, Mtwara, Kilimanjaro mnafahamu maajabu haya ya huko Chato?

Kwa hoja hizi ambazo hata mimi sikuzijua kwa miaka mitano, sasa nimeamshwa usingizini.

Hoja haipigwi rungu, bali hujibiwa kwa hoja. Hii ni kauli ya Dkt Jakaya Kikwete

CCM oyeee oyeeee oyeeee, jibuni hoja hizo!

Kama una nia ya Lissu awe Rais wa Serikali ya awamu ya Sita, wewe na washambiki/wafuasi wake, mpeni/mfikisheni ushauri ufuatao:-
1) Arekebishe lugha anayotumia kuwasilisha hoja zake, kutoka ya matusi na kimahakamahakama na kuwa ya kisiasa.
2) Aheshimu mamlaka, kwa kauli na matendo yake, ili akiingia madarakani naye aheshimiwe.
3) Rais Magufuli amesimamia vizuri utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi wa chama chake. Yawezekana kuna mapungufu. Haya yabainishwe ni ya Sera (zilivyoainishwa kwenye Ilani) au ya utendaji wake. Kumlawaumu Magufuli, kwa ujumla, ni upofu wa uhalisia ambao unaweza kumgharimu Lissu na kundi lake. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe
4) Serikali ya awamu ya tano imefanya mambo mengi ya maendeleo, katika kipindi kifupi, ikilinganishwa na awamu zilizotangulia. Marais wastaafu na viongozi wengi Afrika na duniani kote, wanakiri hivyo hadharani. Ni kiongozi "mpumbavu" na "lofa" tu ndiye anaweza kusimama hadharani na kukebehi. Lissu akiendekeza lawama na kejeli dhidi ya Magufuli, hakuna shaka wananchi hawatasita kumwajibisha kwa kura.
5) Amekaa nje ya Tanzania kwa kipindi kirefu wakati mengi yamefanyika, hivyo afanye tathmini kabla ya kukurupuka kwa lawama na ahadi ambazo anaamini ni mpya, zitampa kukubalika na wapiga kura wakati hana jinsi ya kuthibitisha utekelezaji wake.
6) Akumbuke M/Kiti wa chama chake anatuhumiwa kufisadi fedha ya chama, ikiwa ni pamoja na ruzuku, kiasi cha kushindwa kujenga ofisi na kuwalipa wafanyakazi haki zao. Je, atawezaje kukabili na kubadili ufisadi huo wa "Boss" wake akiingia Ikulu?
7) Anaamini anapambana na CCM tu, je, amejiandaaje kwa ushindani wa wagombea Urais wa vyama vingine? Hadi sasa hajaonesha nia thabiti ya ushirikiano ikizingatiwa kuwa Uchaguzi Mkuu, 2015 CHADEMA ilivuna ushindi kupitia UKAWA na baadaye kuwatosa washirika wake. USALITI kamwe siyo mtaji katika maisha.
 
Kwa miaka mitano kakopa trilioni ngapi?
Kwa miaka mitano CHADEMA imepokea ruzuku mabilioni mangapi? Wamezifanyia nini cha kuonesha jamii ya walipa kodi? Je, wakipewa nchi wataweza kufanya nini? Toeni boriti kwenye jicho lenu kwanza
 
Hela za kulipa madai ya wafanyakazi hakuna, ila za kujenga uwanja wa ndege Chato zipo!!
Hela za kujenga ofisi za Chama zinatumika kwa ulevi wa kupindukia, nani kati ya viongozi wawili hao wa kuaminika?
 
Tundu Lissu akihutubia mamia ya wafuasi wa Chadema na wananchi wasio na itikadi ya chama chochote mkoani Dodoma ametoa hoja kali ambazo CCM hawana uwezo wa kuzijibu zaidi ya kupanic na kukimbilia kwenye vyombo vya habari viwahurumie wasirushe mikutano ya Tundu Lissu.

Mosi, amezungumza kuwa jipya na la ajabu kwenye utawala huu ni Rais kujenga uwanja mkubwa Chato wakati marais waliopita hawakufanya maajabu haya, amesisitiza Tundu Lissu.

Pili, ni kitendo cha Rais kupeleka mbuga Chato. Hili ni ajabu kuu ambalo halijawahi kufanyika amesisitiza Tundu Lissu.

Tatu, Lissu amesisitiza kuwa watu wamedhalilishwa, hasa viongozi wa serikali na akina Mama kwa kauli chafu zinazotolewa.

Lissu amesisitiza hii nchi sio kila mtu ni mjinga na unaweza kuwadanganya kirahisi. Kuna watu werevu na wanakwenda kuwaambia wananchi kwa miaka mitano madudu yaliyofanyika.

Je, haya maajabu ni kweli yamefanyika huko Chato?

Je,wakazi wa Lindi, Dodoma, Mbeya, Ruvuma, Arusha, Mtwara, Kilimanjaro mnafahamu maajabu haya ya huko Chato?

Kwa hoja hizi ambazo hata mimi sikuzijua kwa miaka mitano, sasa nimeamshwa usingizini.

Hoja haipigwi rungu, bali hujibiwa kwa hoja. Hii ni kauli ya Dkt Jakaya Kikwete

CCM oyeee oyeeee oyeeee, jibuni hoja hizo!
Hyo makubwa wanayotuaminisha nayo ni yepi ukiachilia Dar,DODOMA NA CHATO wapi kwingine tza wanayo ya kujivunia na utawala huu
 
Tundu Lissu akihutubia mamia ya wafuasi wa Chadema na wananchi wasio na itikadi ya chama chochote mkoani Dodoma ametoa hoja kali ambazo CCM hawana uwezo wa kuzijibu zaidi ya kupanic na kukimbilia kwenye vyombo vya habari viwahurumie wasirushe mikutano ya Tundu Lissu.

Mosi, amezungumza kuwa jipya na la ajabu kwenye utawala huu ni Rais kujenga uwanja mkubwa Chato wakati marais waliopita hawakufanya maajabu haya, amesisitiza Tundu Lissu.

Pili, ni kitendo cha Rais kupeleka mbuga Chato. Hili ni ajabu kuu ambalo halijawahi kufanyika amesisitiza Tundu Lissu.

Tatu, Lissu amesisitiza kuwa watu wamedhalilishwa, hasa viongozi wa serikali na akina Mama kwa kauli chafu zinazotolewa.

Lissu amesisitiza hii nchi sio kila mtu ni mjinga na unaweza kuwadanganya kirahisi. Kuna watu werevu na wanakwenda kuwaambia wananchi kwa miaka mitano madudu yaliyofanyika.

Je, haya maajabu ni kweli yamefanyika huko Chato?

Je,wakazi wa Lindi, Dodoma, Mbeya, Ruvuma, Arusha, Mtwara, Kilimanjaro mnafahamu maajabu haya ya huko Chato?

Kwa hoja hizi ambazo hata mimi sikuzijua kwa miaka mitano, sasa nimeamshwa usingizini.

Hoja haipigwi rungu, bali hujibiwa kwa hoja. Hii ni kauli ya Dkt Jakaya Kikwete

CCM oyeee oyeeee oyeeee, jibuni hoja hizo!

Hayo maendeleo ya tanzania yalitakiwa yawekwe wapi na wapi yasiwekwe?

Je anapotoka raisi wa nchi hapo hapahitaji maendeleo kwa kuwa sio ndani ya nchi?

Hao watu wa chato huyo tundu lisu hataenda kuwaomba kura?

Je siku akifika hapo chato atawambia wao hawastahili kuwa na kiwanja wala maendeleo kwa sababu sio watanzania?

Je hao watu wa chato hawahitaji kuendelezwa kwa kuwa hawana hadhi?

Je huko kungine palipo na viwanja au vinajengwa wao ni wa maana kuliko chato?

Tundu bado anakwama na atakwama saana
Kama atapenda kutumia maneno ya mashabiki wake kwenye Sera, hatatoboa hata kura laki tano.
 
Kuna mahali mna kosea.. Nimesoma enzi za Mwalimu JK na kumaliza kipindi cha Mwinyi chuo. Kwa taarifa yenu nyie vijana, tulikuwa tuna tumia dawati moja watu wawili. Na tuna kula shule. Mwalimu wakati huo hakuwahi kuchimba madini. Tulisomwshwa na kahawa, katani, pamba na korosho. Utalii haukuwepo, madini hayakuchimbwa na wazazi wetu hawaku lipishwa ada zetu. Vyuoni na sekondari tukisafirishwa na serikali. Kwa kitu walivho kiita warrant.
Vyuoni tulipewa hadi sabuni za kufua na kuogea. Juu ya hayo tulipewa na allowances kila mwezi.
Leo kuna madini, kuna watalii mnajidai kuna ndege ambapo hata mimi nilipanda ndege wakati wa Mwalimu tena kwa warrant bado watoto hawana madawati, wanakaachini, hakuna madarasa wanakaa chinibya miti. Vyuo hamuwapi pesa japo ni mikopo. Bado mnawanyanyasa nayo. Hakuna ajira. Na mnawakebehi wasitegemee ajira wakati nyie mnapeana ajira kichama.. Hebu tuache ushabiki wa kujaza matumbo ya famila.. Tuwaze kukitumikia Taifa la Tanzania. Mahali JPM amekosea mwambieni alikosea, huo ndio uzalendo.. Sio kumpamba uongo..
Population ya kipindi hicho na sasa iko sawa? Mahitaji ya leo na miaka hiyo
Kuna mahali mna kosea.. Nimesoma enzi za Mwalimu JK na kumaliza kipindi cha Mwinyi chuo. Kwa taarifa yenu nyie vijana, tulikuwa tuna tumia dawati moja watu wawili. Na tuna kula shule. Mwalimu wakati huo hakuwahi kuchimba madini. Tulisomwshwa na kahawa, katani, pamba na korosho. Utalii haukuwepo, madini hayakuchimbwa na wazazi wetu hawaku lipishwa ada zetu. Vyuoni na sekondari tukisafirishwa na serikali. Kwa kitu walivho kiita warrant.
Vyuoni tulipewa hadi sabuni za kufua na kuogea. Juu ya hayo tulipewa na allowances kila mwezi.
Leo kuna madini, kuna watalii mnajidai kuna ndege ambapo hata mimi nilipanda ndege wakati wa Mwalimu tena kwa warrant bado watoto hawana madawati, wanakaachini, hakuna madarasa wanakaa chinibya miti. Vyuo hamuwapi pesa japo ni mikopo. Bado mnawanyanyasa nayo. Hakuna ajira. Na mnawakebehi wasitegemee ajira wakati nyie mnapeana ajira kichama.. Hebu tuache ushabiki wa kujaza matumbo ya famila.. Tuwaze kukitumikia Taifa la Tanzania. Mahali JPM amekosea mwambieni alikosea, huo ndio uzalendo.. Sio kumpamba uongo..
Population ya kipindi hicho na sasa iko sawa?
Mahitaji wa kipindi hicho na sasa yapo sawa?
Mlikuwa na shule ngapi kipindi hicho na sasa zipo ngapi? Ili tujue namna ya kufanya licha ya kutolewa elimu tuboreshe zaidi?
Wazazi wako walilipa kodi kuiwezesha serikali kuhudumia wananchi wake kipindi hicho? Au ndio ilitegemea hissani kila kitu kukuhudumia wewe na wenzako?
Watumishi walilipwa mishahara kutoka vyanzo vipi vya mapato? Misaada au kodi ya mtanzania?

Kumbuka taifa linakuwa na mahitaji yanaongezeka na mifumo ya uendeshaji lazima ibadilike baba angu, kukwepa madeni lazima UNYWE MAJI YA KUTOSHA Mzee wangu

Hitimisho JPM ana mapungufu yake kama wengine lakn kafanya KAZI KUBWA SANA kuiweka tanzania ijulikane kimataifa haijalishi kwa mazuri au mabaya😂😂😂😂
 
Mataga Bwana sijui wakoje:-

Lissu ametaja maajabu aliyofanya magufuli ni :-

1. Kujenga Mbuga ya wanyama Burigi Chato hilo ndio jipya halijawahi kufanywa na watangulizi wake.

2. Kujenga Uwanja wa ndege Chato maana hakuna hata rais aliyepita zaidi yake aliyejenga uwanja wa ndege kwao.

3. Kudhalilisha wanawake,wasichana,mabinti,wamama,shangazi,mabibi tena hadharani ,hayo hayajawahi "kufaniziwa" na watangulizi wake.

Nyongeza nyingine:-

4. Kununua Midege na manunuzi hewa bila kupitishwa na bunge.

5.Kutopandisha mishahara kwa miaka mi5 ya wafanyakazi wa umma.

6.Japo alipunguza wafanyakazi hewa ,mishahara hewa , warsha,semina ,makongamano lakini Malipo ya mishahara katika awamu yake ni makubwa kuliko hapo nyuma ambapo kulikuwa na vyote alivyoviondoa.

7. Kazuia matibabu nje lakini awamu yake ndio inayoongoza kwa gharama za matumizi ya matibabu ya viongozo nje.


Mambo ni mengi sana hayo ni machache ngoja kampeni zianze kwanza.
Samahani hivi national park inajengwa asee..... Fanya uchunguz kabla ujaandika basi ile ilikuwa game reserve imepandishwa na kuwa national park tuu.... Kama nyerere national park ilivyotokea under selous game reserve.... Na nyingine nne
 
Hili la ujenzi wa Airport Chato hata Mimi sikuwa na taarifa zake labda lilikuwa katika Ilani ya uchaguzi ya CCM.

Kuhusu mbuga ya Wanyama sidhani kama ni kweli TANAPA watatueleza vizuri Sisi tunajua zipo hifadhi za Ruha,Tarangire,Manyara,Serengeti..... Hii Mbuga ya Chato ilizaliwa lini na mpaka sasa watalii wangapi wameshaitembelea.

Haya mambo yalifanywa Mobutu Kuku Wazabanga Ngedu miongo mingi iliyopita kamwe haiwezekani kufanywa na kiongozi wa karne hii.Lissu anatudanganya mchana kweupe.
Unaijua burigi game reserve hiyo ndo imepandishwa hadhi na kuwa burigi national park ubaya uko wapi... Nyingine mbili zipo kagera huko na nyerere national park from selous game reserve..... Kwa. Mbuga ni mpaka wazungu tuu ndo waende kuna watanzania watatembelea na ni uhifadhi pia
 
Ninamkumbuka marehemu mzee kingunge alisema ""huyu alistahili kuwa mnyampala wa Barabara na si vinginevyo"" sasa yametimia.
😂😂😂😂 Mungu amlaze mahala pema, haya maneno kila nikiyaona nachekaga sana.
 
seedfarm,

Tundu lisu haijelew na hatopata urais anatakiwa awe na hoja utatusaidia vip kuondokana na umaskin na changamoto zenu lakin inakua kama amepaniki na ana chuki ns uadui wa personal na magu maana analalama tu kila siku magu hiv magu vilee ukisema hajafanya kitu si sahihi hutakiw kua muongo kwamfano nidhamu kazin na matumiz mazur ya pesa za uma sasa kila kitu unapinga pinga tu kama punguani
Kwahiyo unaamini bado kuna umasikini nchini??? si mnasema hii nchi tajiri??? sasa hiyo miaka 5 iliyopita mmefanya nini??
 
Hivi yule mume aliyelipa mahali ya jogoo keshahamia chato??!!
 
Kuna wengine uraisi utabakia Kama ndoto kwao, baada ya kuelezea sera zako umekaa kupiga porojo, majungu hayana nafas katika zama hizi, jikite kwenye sera pls otherwise you will loose to the point you can't imagine, hata nafas ya pili unaweza ukaisikia kwenye bomba Kama sera Ndio magufuli, repeating the same issues over time inafika Mahala unachosha hadhira
 
Back
Top Bottom