Parvovirus
JF-Expert Member
- May 24, 2020
- 268
- 188
Burigi chato ilikuwa ni game reserve yeyet kaipa hadhi kuwa national park na nyingine tano ..... Jamaa ameaim kutanua utalii kwa mikoa ambayo haikuwa na utalii kabisa... Translocating animals sion kwamba ni shida..... Kama mnaijua kitulo national park ilikuwa na ndege na maua tu ila wameintroduce wanyama now...... Jamaa inawezekana akawa hajui hata tuna new parks.Ni mlopokaji tu hana haiba ya uraisi bora angetulia zake tu huko huko kwa mabeberu ndo kuna mfaha hatuache tujenge Tanzania yetu
Ni umeme kias gan unatoka kidatu au nyumba ya Mungu.... Na je new hydropower itakuwa na technologia ile ilee ya zamani au ni mpya na umememe umekuwa mwingi zaid.
Kuna hospital mpya ya kanda ya mtwara kubwa kweli. Kuna mrad mkubwa wa maji Arusha
Idadi ya watalii iliongezeka japo aliongeza kodi na nyie cdm mkamtishia watalii hawatakuja kwa kodi kubwa mbona walikuja. Na leo still wanakuna japo dunia inajanga la corona stil wanaiamin Tanzania sababu kuna rais anaethubutu.
Mwambie tundu atuambie ataifanyia nn hii nchi sio kumpaka mtu matope most of the Tanzanians saw what magu did for them wapo weng wanampenda na watamchagua.
Sio kumuita mtu msomi kila mtu ni msomi katika nyanja yake. Mtu kasoma hkl yake dah watu wamepiga nuclear physics huko, watu tumesoma degree ngumu kama veterinary medicine ila tumetulia wala hatuinui mikia.