Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli asitufanye wote wajinga, jipya ni kujenga uwanja na mbuga Chato

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli asitufanye wote wajinga, jipya ni kujenga uwanja na mbuga Chato

Wewe ndo hujui unazungumza nini! Sasa Magufuli unaweza mlinganisha na JK?
Tulimtaka bora kuliko JK sio hiki kituko tuko nacho, kuongea hajui, mjuaji, mbinafsi, mpenda misifa, mtu wa visasi, fisadi, asiye heshimu mawazo, hadhi na professional za watu, wa nini huyu??

Kumtusi JK si kwa sababu hatumpenda, tulitaka afanye zaidi ya alivyofanya na kiukweli alijaribu kwa kiwango chake.
Unampenda mtu, unatamani afanye makubwa zaidi na unamtusi ili aongeze bidii. Na sasa unamtusi Jpm. Nimekuelewa.
 
Ataonaje mkuu alikuwa Belgium akiuza sura, Huku nchi inasonga. Wakati anatoka KIA sijui alipita barabara gani mana hata fly over ya hakupita. Wapinzani wa bongo hawana tofauti na mtu mwenye gubu maneno tu.
Kweli kabisa alafu hao wapinzani awalipagi kodi wala nini?
 
haoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni?

akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
Lazima atumie udhaifu wa dhahiri uliopo, sasa akiongelea haya unayoyasema, JPM yeye ataongelea nn??
 
Hiyo nayo ni hoja hata imuumize kichwa mwana ccm!?, Trust me kwa hoja hizi ambazo hazina mashiko Chadema mnaendelea kujichimbia kaburi lenu wenyewe Tena mapema sana because hicho alicho kiongea TL hakuna mtanzania yoyote atakayekuwa twisted kwenye box la kura eti amchague dead Lissu.
Kumuita mtu hai dead ni ushetani wa kihutu!
Nawe ipo siku utakufa na kutupwa kwenye shimo la pembe nne tu.
 
Lissu akijipanga vizuri atapata kura nyingi sana, Maana JPM kaumiza wengi kila sector hakuna mwenye nafuu naye.. Lissu apunguze kumuattack akomae na namna gani atafanya tofauti na JPM waTZ watamuelewa sana..
 
chadema nichama cha wajinga wengi walioshindwa shule Sasa akili yakuongoza nchi mtatoa wapi
CCM wanajua utimam wa wana CDM Uzuri kabisa kuliko hata mimi!

Jiulize ni kwa nini JPM alifunga matangazo ya moja kwa moja Bungeni, kwa nini anaminya vyombo vya habari?

Eti ni kwa nini?!
 
seedfarm,

Tundu lisu haijelew na hatopata urais anatakiwa awe na hoja utatusaidia vip kuondokana na umaskin na changamoto zenu lakin inakua kama amepaniki na ana chuki ns uadui wa personal na magu maana analalama tu kila siku magu hiv magu vilee ukisema hajafanya kitu si sahihi hutakiw kua muongo kwamfano nidhamu kazin na matumiz mazur ya pesa za uma sasa kila kitu unapinga pinga tu kama punguani
Binafsi siko upande wowote ila jamaa atakuwa na chuki binafsi c bure.
 
Kosa kingine kwa Tundu lissu
Lissu hatakiwi kumshambulia Magufuli
Lissu anatakiwa atuambie atafanya Nini,kukomaa na Magufuli ni sawa na kuzidi kujipunguzia kura tu
Hivi kujenga hospital kubwa 69 sio maajabu
Kukarabati shule za sekondari ambazo haziguswa toka mkoloni si maajabu
Chadema mjipange sana na lissu wenu mtajikuta mmeishiwa maneno baada ya wiki moja tu toka kuanza kampeni
Sisi tunataka hivyo hivyo Magu katushambulia sana kwa kutuonea kwa miaka 5. Sasa tumempta mbabe wake.
Alituzimia Bunge kwa ubabe wake. Ametutungia Sheria mbovu za kikandamizaji kwa ubabe wake. Kwanini unataka tumuonee huruma??
 
Tundu Lissu akihutubia mamia ya wafuasi wa Chadema na wananchi wasio na itikadi ya chama chochote mkoani Dodoma ametoa hoja kali ambazo CCM hawana uwezo wa kuzijibu zaidi ya kupanic na kukimbilia kwenye vyombo vya habari viwahurumie wasirushe mikutano ya Tundu Lissu.

Mosi, amezungumza kuwa jipya na la ajabu kwenye utawala huu ni Rais kujenga uwanja mkubwa Chato wakati marais waliopita hawakufanya maajabu haya, amesisitiza Tundu Lissu.

Pili, ni kitendo cha Rais kupeleka mbuga Chato. Hili ni ajabu kuu ambalo halijawahi kufanyika amesisitiza Tundu Lissu.

Tatu, Lissu amesisitiza kuwa watu wamedhalilishwa, hasa viongozi wa serikali na akina Mama kwa kauli chafu zinazotolewa.

Lissu amesisitiza hii nchi sio kila mtu ni mjinga na unaweza kuwadanganya kirahisi. Kuna watu werevu na wanakwenda kuwaambia wananchi kwa miaka mitano madudu yaliyofanyika.

Je, haya maajabu ni kweli yamefanyika huko Chato?

Je, wakazi wa Lindi, Dodoma, Mbeya, Ruvuma, Arusha, Mtwara, Kilimanjaro mnafahamu maajabu haya ya huko Chato?

Kwa hoja hizi ambazo hata mimi sikuzijua kwa miaka mitano, sasa nimeamshwa usingizini.

Hoja haipigwi rungu, bali hujibiwa kwa hoja. Hii ni kauli ya Dkt Jakaya Kikwete

CCM oyeee oyeeee oyeeee, jibuni hoja hizo!
Mbona Toto Tundu amesahau mengine makubwa au anagua ugonjwa uitwao "selective amnesia".
 
Siyo issue ya umri ni welewa you... Sasa vitu vimerudi lazima tupongeze jitihada zilizovirudisha... Chadema miaka 28 haina hata ofisi yake binafsi sasa wanaubunifu gani mpaka wapewe nchi?? Kazi kupeana viti maalumu,kukosoa na kuzini. Wapotee huko matapeli wa kisiasa
Katika huo uelewa, ebu nieleweshe na mimi ni nani alivipoteza? Na kwa nini alivipoteza?
 
Kwa hiyo ndio sera ya kuwaambia wapiga kura ? Dah, kweli CHADEMA imefikia hapa ? Pengo la Dr Slaa halizibiki kamwe.
Tundu Lissu akihutubia mamia ya wafuasi wa Chadema na wananchi wasio na itikadi ya chama chochote mkoani Dodoma ametoa hoja kali ambazo CCM hawana uwezo wa kuzijibu zaidi ya kupanic na kukimbilia kwenye vyombo vya habari viwahurumie wasirushe mikutano ya Tundu Lissu.

Mosi, amezungumza kuwa jipya na la ajabu kwenye utawala huu ni Rais kujenga uwanja mkubwa Chato wakati marais waliopita hawakufanya maajabu haya, amesisitiza Tundu Lissu.

Pili, ni kitendo cha Rais kupeleka mbuga Chato. Hili ni ajabu kuu ambalo halijawahi kufanyika amesisitiza Tundu Lissu.

Tatu, Lissu amesisitiza kuwa watu wamedhalilishwa, hasa viongozi wa serikali na akina Mama kwa kauli chafu zinazotolewa.

Lissu amesisitiza hii nchi sio kila mtu ni mjinga na unaweza kuwadanganya kirahisi. Kuna watu werevu na wanakwenda kuwaambia wananchi kwa miaka mitano madudu yaliyofanyika.

Je, haya maajabu ni kweli yamefanyika huko Chato?

Je, wakazi wa Lindi, Dodoma, Mbeya, Ruvuma, Arusha, Mtwara, Kilimanjaro mnafahamu maajabu haya ya huko Chato?

Kwa hoja hizi ambazo hata mimi sikuzijua kwa miaka mitano, sasa nimeamshwa usingizini.

Hoja haipigwi rungu, bali hujibiwa kwa hoja. Hii ni kauli ya Dkt Jakaya Kikwete

CCM oyeee oyeeee oyeeee, jibuni hoja hizo!
 
Ati huyu.. anataka kuongoza nchi hii!!!.. mipasho mipasho ipo kwa damu yake. Yeye anataka kuongoza.. ili akae Ikulu.. kupiga mipasho kwa Mh. Magufuli.. anaonyesha ana wivu sana na mafanikio ya Magufuli.. wivu mubaya sana.. nyie munao mushangilia humu...
usimpe kura tuu, mpe na t.go kabisa kama unampenda sana!.
 
Jibu hoja we .....hv Ajuza wenu yuko wap nw
Ati huyu.. anataka kuongoza nchi hii!!!.. mipasho mipasho ipo kwa damu yake. Yeye anataka kuongoza.. ili akae Ikulu.. kupiga mipasho kwa Mh. Magufuli.. anaonyesha ana wivu sana na mafanikio ya Magufuli.. wivu mubaya sana.. nyie munao mushangilia humu.. ni basi tu hamuwezi badili gia angani.. humu ila rohoni kura kwa Magufuli.. tumewazoea.. 2010.. 2015.. [emoji2][emoji2][emoji2] si mukubali kwamba anawatia aibu.. nyie wafuasi wapenda maisha ya mukato.. aliyoziba Rais wenu mpendwa JPM.. yaani hana hata sera.. akiwongea ni upupwu tu anashusha.. BTW akimaliza mazoezi tarehe 27 Okitoba 2020.. atakwenda shangilia kumaliza ndoto ya kupiga michapo.. tumbo tu mbele.. tamaa ya kupenda kutawaliwa na mabeberu.

Magufuli 2020[emoji817]
 
Nategemea humu tuwe na hoja sio kelele na matusi. Sera njema ndio zitupe mwongozo wa Maendeleo. Hata hivyo CCM tunatakiwa kujibu hizo hoja sio kutukana. Kama huna hoja funga domo. NAWAFOKEA SASA.
 
Sifa moja kubwa sana kwa kiongozi wa kitaifa ni kuwaambia watu ukweli wote kadri ulivyo nao; ukishakuwa ni kiongozi anyehubiri ukweli wa kuchagua ma vile vile kuweka uwongo, unakuwa unaaingiza nchi matatizoni sana.

Nataka kuongelea hili la swala la mbuga. Kama kweli Lissu alikuwa hajui kuwa hifadhi za Akagera, Burigi, Bihalamuro, Kimisi, Lubondo na Maisome zilikuwapo tangu miaka ya sitini inawezekana kabisa haijui nchi hii au ni mptotoshaji tu.

Mwishoni mwa miaka ya themanini niliwahi kutembelea wanafunzi wa engineering waliokuwa PT pale Chato Ginnery, na baada ya hapo nikatembelea mbuga ya Bihalamuro na Burigi kabla ya kurudi Bukoba kupanda ndege ya kurudi Mwanza. Mtu huyu anazungumza vitu gani?

wanasheria wamefundishwa kuwa makini na maneno yao lakini yeye anaonekana kuongea lolote linalokuja mdomoni bila hata kupitia ubongoni mwake. Nawashauri watu walioko karibu yake wamdhibiti maneno anayotoa kwani mengine yanaweza kumwonyesha kabisa kuwa yuko out of touch.

Anaweza kuongea swala la uwanja wa ndege ingawa nalo lina majibu yake ambayo yanahitaji kutolewa na serikali; lakini siyo mbuga ambazo zilikuwepo siku nyingi sana.
 
haoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni?

akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
Reli gani unayosema wewe? Ndege zimefanya nini? Kwanza tunajiendesha kwa hasara na wananchi wa kawaida ndege hawajui, watu hawali dodoma wala reli ,vituo vya afya bila dawa ni jengo tu. Sio wote ni wajinga
 
Fatilia viongozi wa mageuzi kina Mohammad rajah Al mahtoom, Putin, J. zemin nk. Hakunaga maendeleo bila kuumia, Kama mwanaume ulitahiriwa Kama mwanamke Alizaa basi hujua hilo!! Chamuhimu malengo ya JPM ni Tanzania yamaendeleo tena yakasi
Unaongea dunia ys zamani .
Dunia ya sasa imebadirika
 
Huon kilichofanyika
Wewe ndio umeanza kulialia kuwa "Lissu badala ya kusema atafanya nini kuumaliza umaskini" nikakuuliza kwahiyo hakuna kilichofanyika miaka 5 kuufuta huo umaskin ambao wataka Lissu aufute???
 
Back
Top Bottom