Tundu Lissu sasa ni muda muafaka wa kumkataa Msigwa sababu ameungana na chama kilichokuumiza wewe na Watanzania wasio na hatia

Tundu Lissu sasa ni muda muafaka wa kumkataa Msigwa sababu ameungana na chama kilichokuumiza wewe na Watanzania wasio na hatia

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Hellow!

Wanachadema wameshakuelewa,

Umeeleweka Kwa watanganyika,

Ni muda sasa wa kuvunja urafiki na uhusiano na ndugu Msigwa ikiwa hatokubali kurudi CHADEMA.

Ndugu huyo, kwa kujiunga na tawala, tayari ni adui wako kimfumo sababu chama alichopo sasa kimeshiriki kukuumiza wewe na Watanzania wengi wasio na hatia.

Mwisho wa siku, Lissu akishinda uenyekiti na kufanikiwa kuianza safari ya matumaini, kamwe Msigwa hawezi Toka hadharani kukuunga mkono na kumwacha mgombea wa chama chake CCM,maana mfumo unazuia Hilo Kutokea.

Ushauri: Toka hadharani umkatae, mwambie tusijuane ikiwa Bado ataendelea kubaki chama hicho.

Ni hayo tu,


Karibuni 🙏
 
Hellow!

Wanachadema wameshakuelewa,

Umeeleweka Kwa watanganyika,

Ni muda sasa wa kuvunja urafiki na uhusiano na ndugu Msigwa ikiwa hatokubali kurudi CHADEMA.

Ndugu huyo, kwa kujiunga na tawala, tayari ni adui wako kimfumo sababu chama alichopo sasa kimeshiriki kukuumiza wewe na Watanzania wengi wasio na hatia.

Ushauri: Toka hadharani umkatae, mwambie tusijuane ikiwa Bado ataendelea kubaki chama hicho.

Ni hayo tu,


Karibuni 🙏
Maana hakuna urafki wa Nuru na Giza
 
Maana hakuna urafki wa Nuru na Giza
Haupo na hatokuwepo,

Kuungana na watu wasiotaka Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi Kisha useme una Imani na Lissu aliyeko CDM huo ni unafiki wa kiwango Cha juu,

Akemee RUSHWA ndani ya chama chake kwanza.
 
Msigwa atoke hadharani kupinga kuminywa HAKI ya Wana CCM kuchukua fomu ya kugombea Urais iliyotamkwa kikatiba kabisa.

Yaani ikiwa ni mzalendo, asiwe chawa, aendelee mapambano ya DEMOKRASIA ndani ya CCM.

By the way, Lissu akishinda uenyekiti, Yeye kimfumo atanufaika nn, akiendelea ataonekana ni pandikizi.
 
Hongera Kwa ushindi,

DEMOKRASIA imeshinda,

Tanganyika imeshinda,
 
Back
Top Bottom