Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
- Thread starter
-
- #41
Nitakupa pesa ya Nyerere mamaMimi Sina shida na pesa yako
Haya bwanaMimi Sina shida na pesa yako
Kwenye Urais hapo msipaguse tuna 99% ya kura CCM chama dumeSasa si ndiyo furaha yenu hiki kiherehere cha nini tena? Wakubwa wenu wanaojua kinachoendelea hawalali pacemaker inakaribia ku crush
Tundu lisu asake pesa kwanza, awe hata motivational speaker atatajirika sana yaani awe na uwezo wa kuishi popote Duniani kwa muda wowote bila kuchangiwa hapo ndipo ataweza, bila hvy mtamulaumu tu Mbowe uhai wa Chadema ni ubilionea wa Mbowe familia nzima matajiri hayana njaaMimi Sina shida na pesa yako
Hakuna lisilowezekana mkuu...Uchang
Uchange hela wewwe unaijua kampeni wewe
Acha kutudanganya.. mnajua hawezi kushinda.
Vipi ugeni hamuupati.. uchaguzi huu wa 2020? Chadrama wapenda pesa kwanza.. wananchi kwa list yenu.. ni mabaki tu.. Last but one..
Kama CHADEMA ni ya mabepari basi CCM ni ya majizi na majambazi.Tundu Lissu hajui kuwa chama cha CHADEMA kimeanzishwa na mabepari ya kichaga ambayo falsafa yao ni hela; yaani bila hela wewe ni takataka tu.
Tundu Lissu hawezi hata kwa dawa kupitishwa na chama chake kwa sababu hana hela na ukikosa hela hata kama ungeongea nini, wewe ni kapuku tu.
Chama hakiwezi ku-risk kutoa hela zake wakati kinajua kuwa hakishindi kwa hiyo kuna wakati inatakiwa Mbowe asilaumiwe hata kwa kumkaribisha Lowassa.
Pesa sabuni ya roho ndugu yangu
Dada utajua nini maana ya siasa na utajua Chadema ni Mali ya nani nadhani watu hamjui kutofautisha peremende na pipi
Sure. Lissu ni tajiri mkubwa kuliko serikali. Ana utajiri wa watu kwa kiwango cha kutisha, ndio maana walipotaka kumuua na kumnyima matibabu watu wakamchangia kuanzia damu hadi fedha kwa mabilioni na hakukwama hata siku moja.Lissu ni bilionea wa watu
Mbona yule anaye tembea na mabulungutu barabarani kugawa kama ingekuwa sabuni ya roho kwa nini roho yake haitakati na kuwa nyeupe?P
Pesa sabuni ya roho jamani tuache utani
Acha ukabila nguruwe wwTundu Lissu hajui kuwa chama cha CHADEMA kimeanzishwa na mabepari ya kichaga ambayo falsafa yao ni hela; yaani bila hela wewe ni takataka tu.
Tundu Lissu hawezi hata kwa dawa kupitishwa na chama chake kwa sababu hana hela na ukikosa hela hata kama ungeongea nini, wewe ni kapuku tu.
Chama hakiwezi ku-risk kutoa hela zake wakati kinajua kuwa hakishindi kwa hiyo kuna wakati inatakiwa Mbowe asilaumiwe hata kwa kumkaribisha Lowassa.
Naona hiki kiswahili ni cha mtu aliyeandika akiwa anakata gogo.
Nyie mtegee kushinda kwa nguvu ya dola na si kwa hoja/ushawishi.Acha kutudanganya.. mnajua hawezi kushinda.
Vipi ugeni hamuupati.. uchaguzi huu wa 2020? Chadrama wapenda pesa kwanza.. wananchi kwa list yenu.. ni mabaki tu.. Last but one..
Ulipotea nikadhani umerudi shule kujifunza kuandika, kumbe umeenda kupiga umalaya, umerudi hata uliyokuwa unaweza kuandika sasa hivi huwezi tena! Maana hapo naona furushi la maneno ya kiswahili, yasiyo na maana yoyote.
Nyie mtegee kushinda kwa nguvu ya dola na si kwa hoja/ushawishi.
Hivi hiki ni kiswahili au kiebrania mbona sielewi?Acha kutudanganya.. mnajua hawezi kushinda.
Vipi ugeni hamuupati.. uchaguzi huu wa 2020? Chadrama wapenda pesa kwanza.. wananchi kwa list yenu.. ni mabaki tu.. Last but one..
Ulipotea nikadhani umerudi shule kujifunza kuandika, kumbe umeenda kupiga umalaya, umerudi hata uliyokuwa unaweza kuandika sasa hivi huwezi tena! Maana hapo naona furushi la maneno ya kiswahili, yasiyo na maana yoyote.
Hivi hiki ni kiswahili au kiebrania mbona sielewi?