Jifunze kuandika kwa kiswahili mbona simple tu.Tabu yenu hamujui kufikiria nje ya boksi.. munaonyesha munapenda lishwa na kijiko hadi kwa koo.. hamujui kuwa na yale mumeyajua na kuunga.. mupo kama kila kitu mutu arudie rudie tu..
Muna tabu kubwa.. poleni na hao wenzako mupo bomuuu.. hamuko wajanja kabisaaa
Hahahahah labda amekuwa mkewe anajua kabisa jamaa hana helaNigrastratatract kukosa pesa kwa Lissu kukuume wewe kwani wewe ni hawara?
Jifunze kuandika kwa kiswahili mbona simple tu.
Aliwekwa kinyumba na Daudi Albert BashiteUlipotea nikadhani umerudi shule kujifunza kuandika, kumbe umeenda kupiga umalaya, umerudi hata uliyokuwa unaweza kuandika sasa hivi huwezi tena! Maana hapo naona furushi la maneno ya kiswahili, yasiyo na maana yoyote.
Omba toba.. kwa kuandika yasiyonihusu
Halafu meza panadol.. mimi nitachezesha kichwa yenu humu.. anza kulia kabisa.. hamunibabaishi.. na bado.. lia kabisa.. kumekucha..
Unatujia hapa na kiswahili ya Kenya utanyooka tuu[emoji3][emoji3][emoji3]
Sasa munajuta.. mlikosa fanya hayo awamu hii.. mukawa wadandiaji tu wa kusubiri Serikali haswa Mh. Magufuli wanasema nini.. mumekuwa vituko.. hadi tukajua.. wakati wa kusikia wadaku nyie ni upi..
2020 KUMEKUCHAAAAAAAAAA
[emoji851][emoji851][emoji851]coco- bhana sasa kila mmoja akiandika lugha yake tutaelewana kweli.Fundisha mimi basi.. [emoji3][emoji3][emoji3] kama vile ni lugha lazima muntu ajue.. jivunie lugha ya kabila lako kwanza..
[emoji851][emoji851][emoji851]coco- bhana sasa kila mmoja akiandika lugha yake tutaelewana kweli.
Kama uko tayari kufundishwa sema ila kuna ada kidogo[emoji41]
Hasa yule mkaazi wa BurigiBoxer za wakubwa huko zimeshalowa Mkuu maaana wasiyemtaka ndio huyuuu hapaa..
Go Lissu Gooo.
Njozi za kisulisuli kwenye mkeka wa lumumba wakati mkihemea bk7Wagombea wote wa Chadema hawana fedha ndio maana wamemualika Membe!
Vizuri umecheka.. haya nukuu yale naandika.. chaji ya ada andika humo humo.. nitajifunza hivyo.. sawa mwalimu.. utafikiri ulipata somo ya kiswahili 99.9% kwa mitihani ya Taifa. 😀
Mambo long time my dearAcha kutudanganya.. mnajua hawezi kushinda.
Vipi ugeni hamuupati.. uchaguzi huu wa 2020? Chadrama wapenda pesa kwanza.. wananchi kwa list yenu.. ni mabaki tu.. Last but one..
Wewe ni mzishi sana, Slaa alikuwa na pesa gani?Tundu Lissu hajui kuwa chama cha CHADEMA kimeanzishwa na mabepari ya kichaga ambayo falsafa yao ni hela; yaani bila hela wewe ni takataka tu.
Tundu Lissu hawezi hata kwa dawa kupitishwa na chama chake kwa sababu hana hela na ukikosa hela hata kama ungeongea nini, wewe ni kapuku tu.
Chama hakiwezi ku-risk kutoa hela zake wakati kinajua kuwa hakishindi kwa hiyo kuna wakati inatakiwa Mbowe asilaumiwe hata kwa kumkaribisha Lowassa.
Naona takataka za lumumba zimefufuka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha kutudanganya.. mnajua hawezi kushinda.
Vipi ugeni hamuupati.. uchaguzi huu wa 2020? Chadrama wapenda pesa kwanza.. wananchi kwa list yenu.. ni mabaki tu.. Last but one..
Anaupotezaje?Lissu anapoteza muda wake,hawezi kupitishwa hata iweje
Hivi hawa Watanzania wenzetu kama ni kweli Watanzania, wanaishi wapi? Greenland ? au Actic Cycle? Kama Lowasa ilifanyika Kampeni nzito nchi nzima kitu gani kinampendelea Tundu Lisu? au ushabiki maadazi?TL wala hahitaji kampeni kubwa
Slaa alikuwa ana hela gani?Mbona alipewa nafasi kugombea?Umeandika upuuzi mtupu,propaganda mfu!Tundu Lissu hajui kuwa chama cha CHADEMA kimeanzishwa na mabepari ya kichaga ambayo falsafa yao ni hela; yaani bila hela wewe ni takataka tu.
Tundu Lissu hawezi hata kwa dawa kupitishwa na chama chake kwa sababu hana hela na ukikosa hela hata kama ungeongea nini, wewe ni kapuku tu.
Chama hakiwezi ku-risk kutoa hela zake wakati kinajua kuwa hakishindi kwa hiyo kuna wakati inatakiwa Mbowe asilaumiwe hata kwa kumkaribisha Lowassa.
Wagombea wote wa Chadema hawana fedha ndio maana wamemualika Membe!
Lissu ni bilionea wa watu
Huwa nampenda Sana huyu baba kwakweli tunatamani aje hata huku kwetu Congo atufungue Tanzania mmepewa bahati Sana
Namfuatiliaga sana huyu baba askofu kwa kweli ana karama na Mungu yuko pamoja na yeye na pia ni nationalist haswaa. Siku za nyuma alikuwa anawasuport cdm ila baada ya kugundua cdm ni matapeli hataki hata kuwasikia, ndo hao wanajitahidi kumpaka sifa mbaya bila kujua kuwa wanapambana na mungu mwenyewe.
Huwezi kupambana na mungu ukashinda hata siku moja
Gwajima ni mchawi na mwizi na mtaji wake ni wajinga