johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
View attachment 2513554
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema yeye na Mwenyekiti wake Mbowe wako vizuri kuliko wakati mwingine wowote.
Lissu amesema hata alipokutana na Rais Samia kule Ubelgiji alimweleza wazi kuwa atarudije nyumbani ilhali Mwenyekiti wake yuko magereza, ndipo Rais akalifanyia kazi.
Lissu amesisitiza kuwa wanatarajia yeye na Mbowe wakosane basi watasubiri sana.
Source: ITV
Sabato njema!
Prof Lipumba amechoka kiukweliUmewakumbusha wenzako kuwa mna jambo lenu Magomeni?
View attachment 2513555
Au ndiyo kusema si Jilala Country Mtambuka wote mmemtelekeza kipenzi chenu ila Lissu au Chadema tu anayewakosesha usingizi?
Kila mwenye akili timamu analijua hilo !!View attachment 2513554
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema yeye na Mwenyekiti wake Mbowe wako vizuri kuliko wakati mwingine wowote.
Lissu amesema hata alipokutana na Rais Samia kule Ubelgiji alimweleza wazi kuwa atarudije nyumbani ilhali Mwenyekiti wake yuko magereza, ndipo Rais akalifanyia kazi.
Lissu amesisitiza kuwa wanatarajia yeye na Mbowe wakosane basi watasubiri sana.
Source: ITV
Sabato njema!
Acha Hizo Wewe!Mbowe aliagiza kupigwa Risasi kwa Tundu lisu mjini Dodoma
Hampendi kusikia ukweli. Tundu Lisu alipigwa Risasi na wahuni wasio na mafunzoAcha Hizo Wewe!
Uliwaona kupitia CCTV?Hampendi kusikia ukweli. Tundu Lisu alipigwa Risasi na wahuni wasio na mafunzo
Muulize dereva wa lisuUliwaona kupitia CCTV?
Kumbe mliojiapiza kuwagombanisha mpo humuhumu JF. Sasa Lissu anasema kamwe hamtaweza.Mbowe aliagiza kupigwa Risasi kwa Tundu lisu mjini Dodoma
Ndo maana mwenye Akili huko CCM, Mheshimiwa Rais Dr Samia, anawaitaga Watu kama Wewe Machawa!Mbowe aliagiza kupigwa Risasi kwa Tundu lisu mjini Dodoma
Bisheni sana ukweliNdo maana mwenye Akili huko CCM, Mheshimiwa Rais Dr Samia, anawaitaga Watu kama Wewe Machawa!
MaaView attachment 2513554
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema yeye na Mwenyekiti wake Mbowe wako vizuri kuliko wakati mwingine wowote.
Lissu amesema hata alipokutana na Rais Samia kule Ubelgiji alimweleza wazi kuwa atarudije nyumbani ilhali Mwenyekiti wake yuko magereza, ndipo Rais akalifanyia kazi.
Lissu amesisitiza kuwa wanatarajia yeye na Mbowe wakosane basi watasubiri sana.
Source: ITV
Sabato njema!
Maana yake nini,unajua Jo,vichwa viwili vinavyo charge sawa vimejikuta pamoja na ndio siri ya chama pendwa kwa wananchi wa Tanzania,hata vigagula wote wanaungana kuona ni jinsi gani walishusha chama hiki,ila walisha nyoosha mikono kubwa hawawezi😂View attachment 2513554
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema yeye na Mwenyekiti wake Mbowe wako vizuri kuliko wakati mwingine wowote.
Lissu amesema hata alipokutana na Rais Samia kule Ubelgiji alimweleza wazi kuwa atarudije nyumbani ilhali Mwenyekiti wake yuko magereza, ndipo Rais akalifanyia kazi.
Lissu amesisitiza kuwa wanatarajia yeye na Mbowe wakosane basi watasubiri sana.
Source: ITV
Sabato njema!
Tunachotakiwa tujifunze ni kuwa Rais Samia Suluhu ni Rais wa watanzania wote na sio Rais wa chama kwaiyo Lissu ni mtanzania ndio maana Rais Samia Suluhu alimuhakikishia usalama watanzania tuna bahatiu sana kuwa na kiongozi anaejali usalama wa wananchi wakeView attachment 2513554
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema yeye na Mwenyekiti wake Mbowe wako vizuri kuliko wakati mwingine wowote.
Lissu amesema hata alipokutana na Rais Samia kule Ubelgiji alimweleza wazi kuwa atarudije nyumbani ilhali Mwenyekiti wake yuko magereza, ndipo Rais akalifanyia kazi.
Lissu amesisitiza kuwa wanatarajia yeye na Mbowe wakosane basi watasubiri sana.
Source: ITV
Sabato njema!
Wenzakp wapo Milembe, wewe upo JF! Zingatia maelekezo ya madaktari. La sivyo, utaendelea kuwa ulivyo.Mbowe aliagiza kupigwa Risasi kwa Tundu lisu mjini Dodoma