Tundu Lissu: Siku zote kupoteza mtu 'Calibre' ya Dkt. Slaa ni hasara. Agoma kujibu kama Mbowe anatosha nafasi ya uenyekiti

Tundu Lissu: Siku zote kupoteza mtu 'Calibre' ya Dkt. Slaa ni hasara. Agoma kujibu kama Mbowe anatosha nafasi ya uenyekiti

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Tundu Lissu amehojiwa na Dar 24 na miongoni mwa maswali ni faida ya ujio wa Edward Lowassa iliyosababisha kumpoteza katibu mkuu.

Lissu amekiri ilikuwa hasara kubwa kumpoteza mtu 'Calibre' ya Dkt. Slaa na kudai Dkt. Slaa alikuwa katibu wao mzuri sana lakini amekataa Lowassa kuwa sababu ya Slaa kuondoka pamoja na kushindwa kuisema hadharani sababu halisi.

Kuhusu kutosha au kutotosha kwa Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe... Lissu alizunguka mbuyu na kushindwa kujibu swali hilo akidai ni wanachama wanaoamua na si yeye.

 
SAUTI IKO CHINI SANA, ALL IN ALL NAOTEGEMEA MBOWE NA LISU WAKOSANE, MUENDE MJIZIKE MAPEMA MAANA HILO HALIPO
Sauti iko sawa mkuu, labda device yako
 
Halafu kuna mataahira kutoka Chadema yanamtukana Dr. Slaa
 
Nakumbuka ni Lissu ndie alituambia Dr. Slaa alifichwa ndani na mke wake baada ya ujio wa Lowassa, na kama ameshindwa kuisema hadharani hiyo sababu nyingine, ndio haeleweki kabisa, kwani anaficha kitu gani?

Nikiangalia trend ya Dr. Slaa siku hizi, ni kama ameanza kurejewa na akili, na haya majibu ya Lissu kumhusu Dr. Slaa ni kama kumpamba, inawezekana kuna "mchezo" unaendelea chini ya carpet.

Najua Lissu anajua anategwa kwenye hizi interviews anazofanya kila siku, sasa kuliko kukwepa mitego na kutengeneza sintofahamu nyingine, ningemshauri akae chini na viongozi wenzake, wajue namna nzuri ya kufanya.

Kwasababu inavyoonekana, ni kama CCM wamekosa hoja za kuwaambia wananchi kwenye mikutano ya hadhara, ndio maana wako kimya, sasa wanachofanya ni kutafuta makosa kwenye mahojiano ya Lissu ili wazushe kuna mgogoro Chadema.
 
Ukweli mtupu huyu Jamaa yuko vizuri sana kichwani
Lissu amekiri ilikuwa hasara kubwa kumpoteza mtu 'Calibre' ya Dkt. Slaa na kudai Dkt. Slaa alikuwa katibu wao mzuri sana lakini amekataa Lowassa kuwa sababu ya Slaa kuondoka pamoja na kushindwa kuisema hadharani sababu halisi.
 
Tundu Lissu amehojiwa na Dar 24 na miongoni mwa maswali ni faida ya ujio wa Edward Lowassa iliyosababisha kumpoteza katibu mkuu.

Lissu amekiri ilikuwa hasara kubwa kumpoteza mtu 'Calibre' ya Dkt. Slaa na kudai Dkt. Slaa alikuwa katibu wao mzuri sana lakini amekataa Lowassa kuwa sababu ya Slaa kuondoka pamoja na kushindwa kuisema hadharani sababu halisi.

Kuhusu kutosha au kutotosha kwa Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe... Lissu alizunguka mbuyu na kushindwa kujibu swali hilo akidai ni wanachama wanaoamua na si yeye.

Anaweka akiba ya maneno mambo yakienda mrama baina yake na mwenyekiti?

Tundu kama Makamu mwenyekiti hawezi kusema Mbowe mwenyekiti wake anafaa au hafai.

Tundu ana influence kubwa so anaweza kuamua maamuzi ya wanachama.
He is so inteligent
 
Nakumbuka ni Lissu ndie alituambia Dr. Slaa alifichwa ndani na mke wake baada ya ujio wa Lowassa, na kama ameshindwa kuisema hadharani hiyo sababu nyingine ndio haeleweki kabisa, kwani anaficha kitu gani?

Najua Lissu anajua anategwa kwenye hizi interviews anazofanya kila siku, sasa kuliko kukwepa mitego na kutengeneza sintofahamu nyingine, ningemshauri akae na viongozi wenzake wajue namna ya kufanya..

Inavyoonekana, ni kama CCM wamekosa hoja za kuwaambia wananchi kwenye mikutano ya hadhara, sasa wanachofanya ni kutafuta makosa kwenye mahojiano ya Lissu ili wazushe kuna mgogoro Chadema,
Mkuu, kuna kipindi nimeanza kuwa na shauku kubwa moyoni mwangu kwamba, unafaaa sana kuwa kiongozi mkubwa katika hii nchi,

Haujawahi kuwa mnafiki! Unasimamia ukweli hata kama unakereka kwa wengine! Watu aina yenu ni wachache saana na nadra mno katika dunia hii ya leo yenye kujikomba komba ili kukwepa lawama

Mungu akuinue mkuu
 
Nakumbuka ni Lissu ndie alituambia Dr. Slaa alifichwa ndani na mke wake baada ya ujio wa Lowassa, na kama ameshindwa kuisema hadharani hiyo sababu nyingine ndio haeleweki kabisa, kwani anaficha kitu gani?

Nikiangalia trend ya Dr. Slaa siku hizi, ni kama ameanza kurejewa na akili, na haya majibu ya Lissu kumhusu Dr. Slaa ni kama kumpamba, inawezekana kuna "mchezo" unaendelea chini ya carpet.

Najua Lissu anajua anategwa kwenye hizi interviews anazofanya kila siku, sasa kuliko kukwepa mitego na kutengeneza sintofahamu nyingine, ningemshauri akae chini na viongozi wenzake, wajue namna nzuri ya kufanya..

Kwasababu inavyoonekana, ni kama CCM wamekosa hoja za kuwaambia wananchi kwenye mikutano ya hadhara, sasa wanachofanya ni kutafuta makosa kwenye mahojiano ya Lissu ili wazushe kuna mgogoro Chadema,
😅😅😅😅kwamba hao waandishi wanatumwa na Ccm?
 
Back
Top Bottom