Uchaguzi 2020 Tundu Lissu sio Mzee Lowassa, asipuuzwe!


Tofauti zipo nyingi saaana kamanda!

Lisu ni Mkenya ana damu ya kikenya mwilini mwake iliyomuokoa maisha yake, Ile aliyowekewa ya watanzania pale DODOMA general Hospital Kabla hawajamrusha kwenda kwao Kenya kuwekewa damu ya maana ilikuwa upuuzi tu. damu ya kitanzania haingeweza kuokoa maisha ya Mkeya wetu.

Lisu pia tofauti na akina Dr Slaa na Lowasa ni kwenye msimamo wake juu ya USHOGA. Hili kaahidi makamanda wakae tayari kabisaaaa!

Pia Lisu hataki maendeleo ya vitu - kama kusambaza umeme vijijini, kujenga mahospitali, mabarabara, reli.
Kwa sababu hayo hayana maana kwa wananchi. maendeleo ya watu ni kuandamana, kushinda mnabishanabishana na kuruhusiwa kuropokaropoka.

Tundu lisu hapendi kabisa kutumia ndege kurukaruka juu. ndege ni maendeleo ya vitu.
Yeye kama ni ndege inabidi ziwe labda za kwao Kenya au Waethipia zilizomleta. Lakini za Tanzania ni maendeleo ya vitu tu.

Ni ujinga kabisa kumlinganisha Lisu na Lowasa na Dr Slaa. Kwa sababu ni kweli kabisa wametofautiana saaaana!

Kweli kabisa Tundu Lisu yupo tofauti sana
 
MBONA TAYARI WAMESHAMTUMIA MEMBE KUPUNGUZA NGUVU ZA UPINZANI kwa kugawa kura zao. Mtu wa kitengo usimuamini hata siku mwenga
Hule ni mtego wametegwa NEC pale mmoja akienguliwa snasimamiswa mmoja wakipita wote membe anamuachia lisu aendelee na gurudumu
 
Chipukizi wakipita hapa lazima mapovu yawatoke
Ukweli utabaki palepale
 
Mara hii lazima mukachukuwe mbinu mpya kwa jecha maana zile za kubadilisha matoke kura za mpinzani mukampa magu tushazijua Mara hii hakuna goli la mkono la bda mufunge goli la matako
 


Mkuu ulichoongea ni kweli kabisa,

Hofu kuu ni kuwa, Hao waliojiandikisha ambao nafikiri unadhani wengi ni wanachama wa CCM wanaweza kubadili akili kutokana na ushawishi wa Lisu.

Hivi ukiulizwa, ni kwa nini Lisu hapewi airtime kwenye Media unaweza ukajibuje?

Kinana na Magufuli sio wajinga kuwaambia watu kuwa hakuna uchaguzi rahisi, pia magufuli kusema bado hajashinda unadhani yeye ni mjinga.

Siasa haipo hivyo Mkuu.

Siasa ni nafasi, ndio maana Lisu ananyimwa nafasi.

Siasa inahitaji Platform, usishangae Lisu kuwekewa vizuizi kwenye Platform za vyombo vya habari.

Wapiga kura ni kama wanawake, unaweza kutoa mahari na kuoa usimuoe akaoa mwingine.

Usichukulie rahisi, ungekuwa wewe ndio MAGUFULI ungeelewa nazungumzia nini.

Pia ungekuwa umewahi kugombea kwenye siasa ungeelewa nazungumzia nini.

Waulize wanasiasa wao watakuambia
 
Mimi nona mara hii NEC vikao vitakuwa virefu kuliko vya CC CCM. Kuna uwezekano wa MNEC kutekwa kama JECHA siku ya kutangaza majina ya wagombea!
 
Mimi nona mara hii NEC vikao vitakuwa virefu kuliko vya CC CCM. Kuna uwezekano wa MNEC kutekwa kama JECHA siku ya kutangaza majina ya wagombea!
Nakama washachoka amani ya nchi hii wasije kujaribu hicho kitu
 
Lissu anazijua swagga za vijana, kuanzia kuongea, kuvaa, kunyoa na hata nguvu ya kuhimili jukwaa achilia mbali ujasiri na uhimili wa risasi 16, anajua rika linalohitaji mabadiliko, hapo itabidi siku 60 zijazo Rais avae jinsi aingie dimbani kupambania kombe[emoji23]
 
"Mimi ningekuwa ndio CCM, ningehakikisha Tundu Lisu hapitishwi na NEC, pengine hiyo ndio ingekuwa Figisu figisu"

Figisu za nini mtu wamemwaga damu yake hadharani amemhululumu ubunge wake halafu ati wewe unakuja na ushauriwa wa kuzidi kudhulumu watu waachiwe wapige siasa kisha tuachiwe sisi we ye nchi uamuae
 
Kumbe ndio nyinyi iliyokua mukilazimisha apelekwe muhimbili kumbe mukammalize kwa sumu kama mulivo mpa mangula
Kulikuwa na haja gani ya kummalizia Muhimbili wakati palepale Dodoma Hospital angemaliziwa kiulaini tu?
 
Hoja hizi ndio za kumshinda Lisu, My friend Elimu kweli ni muhimu sana.

Yaani mtu akibadilishiwa damu ya mzungu anakuwa mzungu. Hahahah!

Hujui hata namna damu inavyozalishwa, hujui habari ya seli, hujui habari ya vinasaba, yaani daah!
 

Attachments

  • 117687785_329434121561815_3431804114110385707_n.mp4
    520.5 KB
Acha tu Nikupe hongera umechambua vizuri sana ujue kila siku nasema ccm yetu haina watu wenye kijenga hoja zaidi ya unafiki tu watu hawezi kuongea ukweli
Lazima asifie sifie hata pasipo faa dunia imebadilika sana kijana wa 2015 sio huyu wa Leo
Na ukijifanya kusema ikweli wanakuita mpizani Leo hii pole pole sio yule wa katiba mpya ni mwongine kabisa
Moyo wa upendo
Moyo usio na hila
Siasa zitapita Tanzania itabaki
 
Ongeza moja "doa la ufisadi" hii agenda ilitumika sana kuudidimiza upinzani lakini pamoja na hayo watu kwa kuichoka ccm walipiga mamiliono ya kura ya rais na kuongeza idadi ya wabunge,sasa hoja hii haipo kwa Lissu watamnyong'onyeza vipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Ningekushauri uende kwanza shule, kisha ukimaliza uje ujadili mambo makubwa.

Mimi nikisema ni Mzungu, nitakuwa mzungu kweli?
Mimi nikisema ni Simba, nitakuwa simba kweli?

Kiswahili ni moja ya masomo yanayofundishwa shuleni.

tafuta mada isemayo mitindo ya Lugha.

Ukitoka hapo uje usome ulichokuwa umeandika.
 


Mkuu nimetoa hoja nyingi, nimekuambia Lisu anajua kushawishi,

Nimekuuliza unaweza kukisia sababu inayopelekea Lisu asirushwe hewani kwenye vyombo vya haabari?
 
Analysis nzuri ila hapo pa kumwengua TL kuwa mgombea, hapo umepata zero.

Kitakachotokea, athari yake ni aheri wagombea wa CCM kushindwa uchaguzi.

Not to put more, lakini ujue kuwa Dunia imekwishaamua juu ya watawala, kinachosubiriwa ni uthibitisho tu. Ulichokisema, yaani kumwengua TL ni kati ya wanachosubiriwa wafanye.

Wanasubiriwa kwenye ncha 4. Ni salama zaidi kwa watawala kuzikwepa hizo ncha 4 kuliko kuiparamia mojawapo. Dunia haipo na watawala bali ipo na wanaotetea demokrasia, uhuru na haki.

Mark my words.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umuengue ili iweje watulie kama wananyolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…