Uchaguzi 2020 Tundu Lissu sitakuchagua hata useme nini

Hata shetani anaingia kanisani.
Baada ya kupasuka kwa pazia la hekalu, Mungu hakai Tena hekaluni.
Hekaluni kabaki shetani na mapepo yake.
Ndio maana yule aliyempiga mwenzake marisasi mengi, anayewabambukia watu makesi, aliyemuuua mama Yake Eric Kabendera kwa stress daima anashinda kanisani akitaka aombewe.
Huyu Ni mtu aliyekula michango yetu kwa wahanga wa tetemeko Bukoba
 
Bado hujui maana na madhumuni ya siasa za upinzani.
 
Wewe si nzi tu kama nzi wengine wa kijani hata sisi hatutaki kura yako fisi wewe
 
Maneno mengi umeandika in ugoro tu hakuna hata point yoyote zaidi ya mihemko tu,
 
HATA HIVYO SIKUSHANGAI WEWE NI MSANII WA FASIHI HIVYO HATA AKILI ZAKO ZIPO KISANII ZAIDI!!
 
HATA HIVYO SIKUSHANGAI WEWE NI MSANII WA FASIHI HIVYO HATA AKILI ZAKO ZIPO KISANII ZAIDI!!
 
Siku zote nilikuwa sipata majibu kwann sisi watz ni masikini na miaka inazid kwenda na umasikini haupungui Bali unazid kuongeza a,Jibu nililipata siku Lisu alipofafanua jins TRA inavyo wafukarisha watanzania na kuua uchumi was nchi,TRA na CCM ndio wanaotufanya tuwe masikini kias hiki,CCM CCM CCM ni lazima waondoke ili umasikini uishe,wenye akili wanaelewa ninachozungumza
 
Hongera kwa fasihi anaishi iliyoshiba. Watu kama nyie mko juu. Unatupa mshale ule ule kwa Njia nyingine maridhawa bila mtu mwingine kunyanyua kope.
 
Jamani, hii ni fasihi. Someni vizuri, mtaupata ujumbe uliojificha ndani ya hii fasihi.

Hongera kwa andiko zuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bule kabisa wewe! Yaani mimi nadhani maandishi haya yote yana maana kumbe ni pumba! Acha wenye fikira kubwa tumchague Lissu aisee.
Soma vizuri utamuelewa. Ni fasihi Andishi kufikisha ujumbe kwa njia nyingine ambayo adui anajua uko naye. Ha ha ha ha
 
Hii nchi imejaa mabwabwa, Sasa wewe ukishikishwa ukuta Kama wale vijana wa kwa njeka tanga ndo udhani kila mti Yuko Kama wewe
 
I will vote for him
 
Asante mwanafasihi, ila inabidi ulete uzi kuwaelezea watu nini maana ya fasihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…