Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Tanzania haiwezi kuishi bila dunia ila dunia inaweza kuishi bila Tanzania

Kwahiyo huoni Korea kaskazini kushirikiana na Urusi na Uchina ndiyo inathibitisha point ya TAL

Kwani ushirikiano ni nini mleta hoja?

Mujombha Elitwege una lipi la kusema kuhusu hili
Kwani yeye anavosema magufuli kaitenga tanzania na marafiki wetu wa ulaya na marekani ni kwamba hatuna nchi tunazoshirikiana nazo ? Rafiki siyo lazima awe marekani, uwingereza au ujerumani, tunaweza hata kushirikiana nchi za afrika kwa afrika na tukasonga mbele nnavyoamini mimi
 
Watz na ccm yenu mnashindwa kutengeneza hata toothpick tu halafu mnajilinganisha na North Korea. Pumbavuuu
[emoji23][emoji23][emoji23] kama unadhani hii nchi inaharibiwa na CCM basi umechelewa mno broo....you must think Critically
 
Wewe ni moron kabisa Tena slug head! All years in power as CCM mlikuwa wapi kufanya hayo? Unakuja na porojo za juma na uledi hapa yaani toka muanze kuweka viongozi wenu madarakani mnakuja na uongo mpya ! Now we are tired
 
Usidhani wote mburula humu! Corona tumeishinda kwa kuwa hatupimi tungeendelea kupima ungeona maajabu!! Kwanza naamini ni immunity zetu tu!!
Hatupimi? Tumepima mpaka mapapai mkuu, tukagundua janja janja zilizopo kwenye hii corona, hao wanaopima pima mbona kila siku wanahaha... wakat bongo daladala zinajaza kama kawa sasaiv tena without masks na maisha yanaenda kama kawa. Funguka duniani maigizo mengi
 
Kuna mtu anataka kuishi bila majirani..kwamba yeye na familia yake ati wanajiweza...wakati 80% ya wanafamilia hao wanakula nusu mlo kwa siku, yaani kipato cha kaya dola 2 hadi 3 kwa siku.
Unamzungumzia Magufuli ?
 
Hoja yako ni msingi mkuu....ila mimi ninachopinga kwa lisu, si kweli kwamba Tanzania imejitenga na Marafiki iliyokuwa nayo....alichofanya magufuli ni kujitenga na marafiki ambao walikuwa ni wanyonyaji na wala si kweli kuwa mpaka sasa tumebaki bila rafiki....mfano : Tangu mwaka 1999 tumekuwa tukiibiwa dhahabu, tukidanganywa kwamba ni mchanga unaenda kuchenjuliwa nje ya nchi sijui japan,,, alivoingia magu akapiga marufuku wachenhjulie hapa hapa....kama hawataki wasepe wakate tu na uhusiano kama wanataka maana huu ni urafiki wa kijambazi kabisa , nafikir umenielewa aina ya urafiki ninaoumaanisha
 
Closed economy = command economy ?
 
Dunia inategemea rasilimali zilizojaa Afrika, ova
 
Mkuu hapa nimekuelewa vizuri mno, big up for that, hasa pale kwenye kuihusu china yani ni mbinu nzuri mno ya kuendelea na nafikiri ndo vision ya magufuli ,[emoji123]
 
Dogo we mbona bado unakaa kwa shemeji yako. Akili zako umeziazima wapi?
Una akili za kijinga mkuu kubali tu hilo!

Hivi kwa akili hizi za Lisu tuatanza lini kujitegemea?
 
Kwanza kabisa, serikali ya Magufuli haijajitenga na nchi za magharibi - hivyo kujadili huu uzi ni basi tu! Maana Lissu anaongopa kuhusu jambo hilo. Juzi juzi balozi wa marekani amewasilisha vitambulisho vyake kwa JPM. Pia nchi nyingi za EU zina wawakilishi wao hapa nchini.
Usilinganishe Korea/Cuba na Tanzania. Alichofanya JPM ni kutojipendekeza kwa wazungu kama viongozi wengi wa Afrika wanavyofanya. Lissu akipewa uraisi ataturudisha nyuma enzi za Mobutu na maraisi wengi wa nchi za Francophone.
 
Hizi akili ndio wakikuwa nazo kina Lisu kipindi hicho cha corona kwamba bila wazungu tz tutaangamia wote.
 
Kuna mtu anataka kuishi bila majirani..kwamba yeye na familia yake ati wanajiweza...wakati 80% ya wanafamilia hao wanakula nusu mlo kwa siku, yaani kipato cha kaya dola 2 hadi 3 kwa siku.
Hakuna mtu anaeweza kuishi bila majiran ila kuna majirani wa kuchagua siyo kila jirani mwema kwako, nafikiri umenielewa [emoji41][emoji41][emoji41]
 
Well Said, na mpaka leo bado hawaamini kuwa hakuna korona TZ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…