Pre GE2025 Tundu Lissu: Tunawakaribisha Watanzania wote wajiunge na CHADEMA, Jambo la wengi ni Jambo la Mungu

Pre GE2025 Tundu Lissu: Tunawakaribisha Watanzania wote wajiunge na CHADEMA, Jambo la wengi ni Jambo la Mungu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Hotuba ya kuchoma kumoyo kutoka kwa Tundu Lissu.

Mh Mwenyekiti wa Chadema amewaomba kwa unyenyekevu watanzania wote wajiunge na Chama hiki kinachotetea Haki za Taifa.

Amemaliza kwa kusema Jambo la Mungu ni jambo la wengi na penye haki Taifa linainuliwa.

Hata hivyo amewaomba vyama vyote vya upinzani kuunganisha nguvu kudai Mazingira huru ya Uchaguzi na kuepuka kupeleka wagombea wao kuuawa, kuteswa na hata kuibiwa kura kama ilovyokuwa kwa miaka kadhaa.
 
Hotuba ya kuchoma kumoyo kutoka kwa Tundu Lissu.

Mh Mwenyekiti wa Chadema amewaomba kwa unyenyekevu watanzania wote wajiunge na Chama hiki kinachotetea Haki za Taifa.

Amemaliza kwa kusema Jambo la Mungu ni jambo la wengi na penye haki Taifa linainuliwa.

Hata hivyo amewaomba vyama vyote vya upinzani kuunganisha nguvu kudai Mazingira huru ya Uchaguzi na kuepuka kupeleka wagombea wao kuuawa, kuteswa na hata kuibiwa kura kama ilovyokuwa kwa miaka kadhaa.
Habari hizi zinaenea dunia nzima kwa kwa kasi sana
 
Kwanini Mkuu? Laana zipo. Tazama huyo mtoa comment
Mwana chadema wezesha chama chako changia uonyeshe uzalendo wa kweli, na siyo kubwabwaja maneno mengi,

----->>>Changia ku-support harakati CHADEMA.Jina litasema M-Pesa "CHADEMA HQ" : 0744-446969
Shida ya chadema wanaongea sana halafu kila mtu ni mjuzi na kichwa ngumu.
 
Back
Top Bottom