LGE2024 Tundu Lissu: Uchaguzi huu umeisha na sasa tujipange upya na turudi kwenye hoja za msingi ikiwemo Katiba Mpya na Mfumo huru wa uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara Tundu Lissu amesema katika uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka huu 2024 umekishwa kikubwaa watapigania wagombea waliobaki tu lakini huu kifupi umekwisha.

Aidha amesema sasa na wanapaswa kujipanga upya na kurudi na hoja za msingi kama Katiba mpya, Mfumo uhuru wa uchaguzi, Tume uhuru, Demokrasia, na Haki.

Soma Pia:

Your browser is not able to display this video.
 
Aibu
 

Attachments

  • b3a34e7e631270a9e73fdd13db687369.mp4
    3.6 MB
  • watermark-51a3cc01acd06eefe8d1d23a20c76918_0.jpeg
    516.2 KB · Views: 5
Sura Al-Ma’idah, Aya 8

Mwenyezi Mungu anasema:

"Enyi mlioamini! Kuweni wenye kusimama kwa haki kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, mtoapo ushahidi. Wala chuki yenu kwa watu isikufanyeni kutokutenda haki. Tendeni haki, kwani huko ndio kunako ucha Mungu..."
(Qur'an 5:8)
 
Aibu
 

Attachments

  • b3a34e7e631270a9e73fdd13db687369.mp4
    3.6 MB
  • watermark-51a3cc01acd06eefe8d1d23a20c76918_0.jpeg
    516.2 KB · Views: 6
Inahuzunisha sana,kumbe nipo sahihi kwa kutokijiandikisha kwenye daftari la wapiga kura!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…