The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Una mtu wa kukukodia ndege mpaka Nairobi, kisha Ubelgiji?Bila kutoana ngeu nchi hii ni ngumu kuiondoa CCM madarakani....jino Kwa jino Hadi tupate katiba mpya
Hizi sasa ndiyo siasa CCM wanazotaka , tumekuwa wastaarab,wapole na wavumilivu sana sasa yatosha. Tunamtaka Lissu awe Mwenyekiti na Heche Katibu Mkuu, tunalo jeshi la kutosha kupambana na CCM kwa staili wanayotaka, tulikosa kamanda tu wa kuongoza haya mapambano.Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA katika mkutano wake wa hadhara wilayani Tarime mkoani Mara amesema mwanachama atakayempigia simu akilalamika kwamba hawajamtangaza mgombea wao ambaye ameshinda, "nitakuuliza umewafanya nini? umempiga ngeu kiasi gani"
Soma pia: MARA: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
View attachment 3158344
Si mlikuwa mnampiga vita Mbowe aliyekuwa anapoza mapambano sasa tunakuja kivingine, jino kwa jino, jicho kwa jicho na chubuko kwa chubuko.Una mtu wa kukukodia ndege mpaka Nairobi, kisha Ubelgiji?
Aanze na nyie CCM watekaji, wauaji, wezi na wahujumu uchumiYeye mwenyewe zaidi ya mdomo mrefu, hawezi kuzikunja ngumi hata dakika 5.
Tume ya uchaguzi na sheria za uchaguzi ziweke kipengele ya kupiga marufuku mtu anayechochea jinai na mauaji asigombee kwa walau miaka mitano katika nafasi yoyote ile.
Safi kabisa hii ndiyo dawa yaoSi mlikuwa mnampiga vita Mbowe aliyekuwa anapoza mapambano sasa tunakuja kivingine, jino kwa jino, jicho kwa jicho na chubuko kwa chubuko.
kwahiyo wakati anayaongea hayo alikuwa anapiga kampeni au alikuwa ana hubiri. Maana kama hakuwa na mada yeyote kwa wapiga kura ndiyo mambo ya bom bom kabangi.Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA katika mkutano wake wa hadhara wilayani Tarime mkoani Mara amesema mwanachama atakayempigia simu akilalamika kwamba hawajamtangaza mgombea wao ambaye ameshinda, "nitakuuliza umewafanya nini? umempiga ngeu kiasi gani"
Soma pia: MARA: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Well said...Bila kutoana ngeu nchi hii ni ngumu kuiondoa CCM madarakani. Jino kwa jino Hadi tupate katiba mpya