LGE2024 Tundu Lissu: Ukinipigia simu kwamba hawajamtangaza mgombea wetu ambaye ameshinda, nitakuuliza umewafanya nini? Umempiga ngeu kiasi gani?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA katika mkutano wake wa hadhara wilayani Tarime mkoani Mara amesema mwanachama atakayempigia simu akilalamika kwamba hawajamtangaza mgombea wao ambaye ameshinda, "nitakuuliza umewafanya nini? umempiga ngeu kiasi gani"
Soma pia: MARA: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024

Your browser is not able to display this video.

 
Yeye mwenyewe zaidi ya mdomo mrefu, hawezi kuzikunja ngumi hata dakika 5.

Tume ya uchaguzi na sheria za uchaguzi ziweke kipengele ya kupiga marufuku mtu anayechochea jinai na mauaji asigombee kwa walau miaka mitano katika nafasi yoyote ile.
 
Hizi sasa ndiyo siasa CCM wanazotaka , tumekuwa wastaarab,wapole na wavumilivu sana sasa yatosha. Tunamtaka Lissu awe Mwenyekiti na Heche Katibu Mkuu, tunalo jeshi la kutosha kupambana na CCM kwa staili wanayotaka, tulikosa kamanda tu wa kuongoza haya mapambano.
 
Yeye mwenyewe zaidi ya mdomo mrefu, hawezi kuzikunja ngumi hata dakika 5.

Tume ya uchaguzi na sheria za uchaguzi ziweke kipengele ya kupiga marufuku mtu anayechochea jinai na mauaji asigombee kwa walau miaka mitano katika nafasi yoyote ile.
Aanze na nyie CCM watekaji, wauaji, wezi na wahujumu uchumi
 
kwahiyo wakati anayaongea hayo alikuwa anapiga kampeni au alikuwa ana hubiri. Maana kama hakuwa na mada yeyote kwa wapiga kura ndiyo mambo ya bom bom kabangi.
 
Mahali popote wapiga kura wakiwa na uhakika msimamizi wa uchaguzi ameharibu uchaguzi, tandika huyo msimamizi fimbo za kutosha. Hiyo imesaidia sana maeneo mengi.

Kule Lumbila na Makonde, wananchi waliwacharaza fimbo za kutosha watendaji walioengua wagombea mpaka waliokolewa na polisi toka Kyela. Kesho yake waliletwa watendaji wapya, na majina yote ya walioenguliwa kwa hila, yalirudishwa. Hiyo ndiyo lugha pekee ambayo hawa hayawani wanaielewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…