Tundu Lissu, unda Tume ya kuponya majeraha ya uchaguzi wa mwenyekiti

Tundu Lissu, unda Tume ya kuponya majeraha ya uchaguzi wa mwenyekiti

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Hongereni na poleni na kazi ya kutafuta mkate wa kila siku. Leo nimefikilia sana in deep, juu uchaguzi wa CHADEMA, bila shaka uchaguzi ule umeacha vidonda na makovu makubwa kwa upande wa wale walioshindwa.

Tundu Lissu unda tume ya watu wenye hekima, busara, ushawishi wa kisiasa, kifedha, nk, wakiwemo viongozi wa kidini, wafanyabiashara, watu mbalilmbali, ili wakutane na Mbowe, na viongozi wa kanda waliokuwa upande wake Mbowe kwa ajili ya kujenga CHAMA cha CHADEMA.

CHAMA cha siasa mtaji wake mkuu ni watu, bila watu CHAMA kinakufa.

NB lakini pia washawishi mkutano mkuu, kuwaseheme wale wabunge 19 , HAWA pia ni mtaji mzuri wa CHAMA. Usipuuze ushauli huu!

Lengo nikuunganisha nguvu, ya pamoja I'li kukijenga CHAMA, la mwisho sio kwa umuhimu, usikaze sana kuhusu watu wanaotaka kujiunga na CHAMA hata hao wanachama wa zamani, kila binadamu anamapungufu yake, so tuvumiliane tunapokosea.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 
Hapana,

TL wants to prove something he cant..

Aachwe hivyo hivyo na kina Rose Mayemba na Kina Hilda..

Hiyo arrogance wanayoonyeshwa team FAM na kina Libe na SyW ni ya juu sana kwa mtu yeyote kuvumilia...

Tuache CDM mpya izaliwe.
 
Hongereni na poleni na kz ya kutafuta mkate wa kila siku. Leo nimefikilia sana in deep, juu uchaguzi wa chadema, bila shaka uchaguzi ule umeacha vidonda na makovu makubwa kwa upande wa wale walio shindwa.

Tundu Lisu unda tume ya watu wenye hekima ,busara, ushawishi wa kisiasa, kifedha, nk, wakiwemo viongozi wa kidini, wafanyabiashara, watu mbalilmbali, I'li wakutane na mh Mbowe, na viongozi wa kanda walio kuwa upande wake mbowe kwa ajili ya kujenga CHAMA cha chadema.

CHAMA cha siasa mtaji wake mkuu ni watu, bila watu CHAMA kinakufa.

NB lakini pia washawishi mkutano mkuu, kuwaseheme wale wabunge 19 , HAWA pia ni mtaji mzuri wa CHAMA. Usipuuze ushauli huu! Lengo nikuunganisha nguvu,ya pamoja I'li kukijenga CHAMA, la mwisho sio kwa umuhimu, usikaze sana kuhusu watu wanaotaka kujiunga na CHAMA hata hao wanachama wa zamani, kila binadamu anamapungufu yake, so tuvumiliane tunapokosea.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Yaani awasahame covid19 ambao walikipeleka chama mahakamani kwa tamaa yao ya ulaji? Kwa tabia hiyo si kila mwanachama anaweza kukihujumu chama kisha akasubiria kusamehewa karibu na uchaguzi?

Unataka iundwe ya kumbembeleza Mbowe na genge lake, ni kwamba Mbowe alitegemea kufia kwenye uenyekiti? Mbowe na genge lake walikuwa wanaongea kwa mbwembwe ukishinswa hakuna kuhama chama, sasa wameshindwq mnataka wabembelezwe ili iweje? Wasisitzie hakuna kuhama chama kama kauli mbiu yao.
 
Angeshinda Mbowe ingekuaje??.

Unajua kumuelewa LISSU inahitaji jambo Moja tu.

1-Usitangulize masilahi mbele.... wanaomfagilia Mbowe wameumia sana sababu Mbowe aliowapa kuishi mazingira ya kuishi, Hawa sio Wazalendo Kwa Nchi yao, Wala masuala ya Nchi hayawasumbui na sio kipaumbele Chao.


LISSU anapambania Masilahi ya kimfumi ya NCHI .


Kwa Ufupi, LISSU AKANYAGIE HAPOHAPO!!

LISSU HAWEZI KUWAFATA AWAAMBIE BANA NIMEWASAMEHE ENYI COVID 19, HAWEZ FATA WAFUASI WA MBOWE AWAMBIE JAMAN NAWAOMBA MJIRUDI .


BALI COVI-19, WAFUASI WA MBOWE NDIO WANAOTAKIWA KUMFATA LISSU, KUOMBA MARIDHIANO NA SASA WAELEWE WAKO KWENYE SIASA MPYA NA HAWANA BUDI KWENDA NAZO.


KUENDELEA KUSHUPAZA SHINGO KWA WAFUASI WA MBOWE, NI INSUBORDINATION KWA LISSU.


NA KAMA WATAENDELEA, NI AMA HUKO MBELE LISSU AWAFUTE UANACHAMA, AU AWATENGE NA ATUMIE WALE WANAOMKUBALI.
 
Hapana,

TL wants to prove something he cant..

Aachwe hivyo hivyo na kina Rose Mayemba na Kina Hilda..

Hiyo arrogance wanayoonyeshwa team FAM na kina Libe na SyW ni ya juu sana kwa mtu yeyote kuvumilia...

Tuache CDM mpya izaliwe.
Wewe bwasheee, TL na Timu yake hamna ambaye pale ana Roho ya kisasi kama unavyojaribi kuionyesha.

Ukweli ni Kua, Wafuasi wa MBOWE ndio wanaojitenga na hawataki kumpa LISSU ushirikiano.

Tuliwaona, tuliwasikia wakila viapo "Mwenyekiti utabaki kua MTU muhimu kwangú".

Tunajua , lengo la Team FAM ni kumkwamisha TL ila HAWATOWEZA.
 
Hapana,

TL wants to prove something he cant..

Aachwe hivyo hivyo na kina Rose Mayemba na Kina Hilda..

Hiyo arrogance wanayoonyeshwa team FAM na kina Libe na SyW ni ya juu sana kwa mtu yeyote kuvumilia...

Tuache CDM mpya izaliwe.
Mbowe kama Raila Odinga dadeki 😂
 
Hapana,

TL wants to prove something he cant..

Aachwe hivyo hivyo na kina Rose Mayemba na Kina Hilda..

Hiyo arrogance wanayoonyeshwa team FAM na kina Libe na SyW ni ya juu sana kwa mtu yeyote kuvumilia...

Tuache CDM mpya izaliwe.
Acheni kujipa umuhimi msiokuwa nao, kama mmekula hela za ccm fanyeni juu chini mzirudishe sio kutaka mpewe umuhimu msiokuwa nao. Kabla ya uchaguzi ilikuwa Lisu atashindwa kwenye uchaguzi maana hajajiandaa. Matokea yametoka kinyume na porojo zenu, saa hii mnaleta nogwa. Mbowe kashindwa kihalali hivyo akae kwa kitulia. Akiamua kununa hiyo ni kimpango wake.
 
Wewe bwasheee, TL na Timu yake hamna ambaye pale ana Roho ya kisasi kama unavyojaribi kuionyesha.

Ukweli ni Kua, Wafuasi wa MBOWE ndio wanaojitenga na hawataki kumpa LISSU ushirikiano.

Tuliwaona, tuliwasikia wakila viapo "Mwenyekiti utabaki kua MTU muhimu kwangú".

Tunajua , lengo la Team FAM ni kumkwamisha TL ila HAWATOWEZA.
Tena Lisu na viongozi wenzake wawaweke mbali kabisa hao team Mbowe maana ndio wataingia kuvujisha mipango ya chama kwa lengo la kuhujumu uongozi mpya.
 
IMG_20250218_204423.jpg


Machawa wa Lissu wanaendeleza vijembe. Ni wapuuzi sana chama kinawafia mkononi.
 
Acheni kujipa umuhimi msiokuwa nao, kama mmekula hela za ccm fanyeni juu chini mzirudishe sio kutaka mpewe umuhimu msiokuwa nao. Kabla ya uchaguzi ilikuwa Lisu atashindwa kwenye uchaguzi maana hajajiandaa. Matokea yametoka kinyume na porojo zenu, saa hii mnaleta nogwa. Mbowe kashindwa kihalali hivyo akae kwa kitulia. Akiamua kununa hiyo ni kimpango wake.
Mambo ya umuhimu unaleta wewe..

Huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu, tunasubir maandamano...

Akitoboa hiki kilima na hilo genge la njaa kali yeye ni mwanaume..
 
Wewe bwasheee, TL na Timu yake hamna ambaye pale ana Roho ya kisasi kama unavyojaribi kuionyesha.

Ukweli ni Kua, Wafuasi wa MBOWE ndio wanaojitenga na hawataki kumpa LISSU ushirikiano.

Tuliwaona, tuliwasikia wakila viapo "Mwenyekiti utabaki kua MTU muhimu kwangú".

Tunajua , lengo la Team FAM ni kumkwamisha TL ila HAWATOWEZA.
Karibu siku 30 sasa embu nipe Ahadi moja ya mwana Tanu iliyotekelezwa au iliyopo kwenye progress mkuu?

Lema amekuwa motivational speaker...

Tuwategemee kina Hilda, Rose Mayemba na kina Kaswahili au Nimo😃
 
Hongereni na poleni na kz ya kutafuta mkate wa kila siku. Leo nimefikilia sana in deep, juu uchaguzi wa chadema, bila shaka uchaguzi ule umeacha vidonda na makovu makubwa kwa upande wa wale walio shindwa.

Tundu Lisu unda tume ya watu wenye hekima ,busara, ushawishi wa kisiasa, kifedha, nk, wakiwemo viongozi wa kidini, wafanyabiashara, watu mbalilmbali, I'li wakutane na mh Mbowe, na viongozi wa kanda walio kuwa upande wake mbowe kwa ajili ya kujenga CHAMA cha chadema.

CHAMA cha siasa mtaji wake mkuu ni watu, bila watu CHAMA kinakufa.

NB lakini pia washawishi mkutano mkuu, kuwaseheme wale wabunge 19 , HAWA pia ni mtaji mzuri wa CHAMA. Usipuuze ushauli huu! Lengo nikuunganisha nguvu,ya pamoja I'li kukijenga CHAMA, la mwisho sio kwa umuhimu, usikaze sana kuhusu watu wanaotaka kujiunga na CHAMA hata hao wanachama wa zamani, kila binadamu anamapungufu yake, so tuvumiliane tunapokosea.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Asiogope wala kuona haya wala aibu kutumia falsafa ya 4Rs za Dr Samia Suluhu Hassan,

MARIDHIANO ndio tiba kamili mbadala ya kuponya makovu na majeraha mabaya sana yaliyowapata viongozi na wafuasi wa chadema kabla na baada ya uchaguzi wa ndani ya chama hicho 🐒
 
Tena Lisu na viongozi wenzake wawaweke mbali kabisa hao team Mbowe maana ndio wataingia kuvujisha mipango ya chama kwa lengo la kuhujumu uongozi mpya.
Hawez kujitenga na 47% ya party coccus mzee .

Huu ushauri mnaompa ni desastor..

Fikiria mwaka huu amepata wabunge let say 40..

Wote wagome kuchangia harakati za chama kama alivyokuwa anafanya yeye...

Pen is better than a sword
 
Hapana,

TL wants to prove something he cant..

Aachwe hivyo hivyo na kina Rose Mayemba na Kina Hilda..

Hiyo arrogance wanayoonyeshwa team FAM na kina Libe na SyW ni ya juu sana kwa mtu yeyote kuvumilia...

Tuache CDM mpya izaliwe.
Unaona wivu eti.
 
Pesa za kuipa hiyo tume atoe nani, au utawalipa wewe?
 
Hongereni na poleni na kz ya kutafuta mkate wa kila siku. Leo nimefikilia sana in deep, juu uchaguzi wa chadema, bila shaka uchaguzi ule umeacha vidonda na makovu makubwa kwa upande wa wale walio shindwa.

Tundu Lisu unda tume ya watu wenye hekima ,busara, ushawishi wa kisiasa, kifedha, nk, wakiwemo viongozi wa kidini, wafanyabiashara, watu mbalilmbali, I'li wakutane na mh Mbowe, na viongozi wa kanda walio kuwa upande wake mbowe kwa ajili ya kujenga CHAMA cha chadema.

CHAMA cha siasa mtaji wake mkuu ni watu, bila watu CHAMA kinakufa.

NB lakini pia washawishi mkutano mkuu, kuwaseheme wale wabunge 19 , HAWA pia ni mtaji mzuri wa CHAMA. Usipuuze ushauli huu! Lengo nikuunganisha nguvu,ya pamoja I'li kukijenga CHAMA, la mwisho sio kwa umuhimu, usikaze sana kuhusu watu wanaotaka kujiunga na CHAMA hata hao wanachama wa zamani, kila binadamu anamapungufu yake, so tuvumiliane tunapokosea.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
naunga mkono hoja!。
p
 
Hawez kujitenga na 47% ya party coccus mzee .

Huu ushauri mnaompa ni desastor..

Fikiria mwaka huu amepata wabunge let say 40..

Wote wagome kuchangia harakati za chama kama alivyokuwa anafanya yeye...

Pen is better than a sword
Kabla ya uchaguzi mlikuwa na story hizi hizi sijui Mbowe ana idadi kubwa ya wajumbe, yako wapi? Ameshindwa kihalali, jengeni chama vinginevyo kaeni pembeni kwa kutulia. Labda kama mlitaka Mbowe afie kwenye hicho kiti.
 
Hapana,

TL wants to prove something he cant..

Aachwe hivyo hivyo na kina Rose Mayemba na Kina Hilda..

Hiyo arrogance wanayoonyeshwa team FAM na kina Libe na SyW ni ya juu sana kwa mtu yeyote kuvumilia...

Tuache CDM mpya izaliwe.
Uko sahihi
 
Back
Top Bottom