Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu amesema kuwa katika kutimiza ajenda ya "No Reform No Election' chama hicho kimelenga kuwajumuisha viongozi wa dini ili nao wawe sehemu ya mabadiliko ya kisiasa nchini ikiwamo mfumo wa uchaguzi.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Lissu amesema hayo alipokuwa jimbo la Kibamba Februari 21, 2025 katika kikao cha ndani.
"Mnaambiwa msishiriki kwenye mambo ya siasa, wakiiba uchaguzi wanawaita kwenda kuwaapisha, wanawaita kwenda kuwaombea ili muwape upako kwa wizi wao", amesema Lissu.
Soma, Pia
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Lissu amesema hayo alipokuwa jimbo la Kibamba Februari 21, 2025 katika kikao cha ndani.
"Mnaambiwa msishiriki kwenye mambo ya siasa, wakiiba uchaguzi wanawaita kwenda kuwaapisha, wanawaita kwenda kuwaombea ili muwape upako kwa wizi wao", amesema Lissu.
