JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
sasa ndo hapati bora angekaa kimya,Lazima wamtake anyamaze maana jamaa yupo tayari hata kufa ilimradi awe amesema 🤣🤣
Asiposema nani atasema wakati wewe umekunjia mkia makalionisasa ndo hapati bora angekaa kimya,
Ni Abdul tu huyo kwa niaba ya mamake.
Akihojiwa na Katika Kipindi cha Dakika 45 cha ITV, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema “Sikuwahi kufuatwa na Mtu akaniambia anipe hela ili nisiwe na msimamo Fulani, safari hii nimefuatwa ndio maana imebidi nikemee hadharani.”
Bila kufafanua Watu au Mtu anayemzungumzia, Lissu amesema waliofanya hivyo walimfuata nyumbani kwake. Amesema “Kuna tatizo na linatakiwa kusemwa hadharani, hawakutaka niondoke CHADEMA walitaka nipunguze ukali, wanisaidie kuangaiangaika mfano sina gari…”
Lissu hajui kuweka siri, akipewa nchi ataweza kutunza siri za serikali?
Akihojiwa na Katika Kipindi cha Dakika 45 cha ITV, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema “Sikuwahi kufuatwa na Mtu akaniambia anipe hela ili nisiwe na msimamo Fulani, safari hii nimefuatwa ndio maana imebidi nikemee hadharani.”
Bila kufafanua Watu au Mtu anayemzungumzia, Lissu amesema waliofanya hivyo walimfuata nyumbani kwake. Amesema “Kuna tatizo na linatakiwa kusemwa hadharani, hawakutaka niondoke CHADEMA walitaka nipunguze ukali, wanisaidie kuangaiangaika mfano sina gari…”
Rushwa ni Siri ya serikali ya CCM?Lissu hajui kuweka siri, akipewa nchi ataweza kutunza siri za serikali?
Sifa ya kwanza kuwa CCM lazima uwe mla rushwa haswaCCM wanafikiri kila Mtu ni mla RUSHWA.
Unataka rushwa iwe siri?Lissu hajui kuweka siri, akipewa nchi ataweza kutunza siri za serikali?
Fedha za kuhonga anachotewa kwenye vote ya Ikulu hazina CAGNi Abdul tu huyo kwa niaba ya mamake.
Hapa aendelee hivi hiviNilishauri lianzishwe Jukwaa la Tundu Lissu, itasaidia sana
Ameisaidia sn hii nchiLazima wamtake anyamaze maana jamaa yupo tayari hata kufa ilimradi awe amesema 🤣🤣