Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
1. Sijamsikia akisema lolote kuhusiana na kijana kutekwa, kupigwa risasi, na kutupwa Katavi National Park. Labda hajasikia au imekumbusha machungu ambayo hajapata nguvu ya kuzungumza hadi akae sawa. Nilitegemea kusikia akiongelea hili kwa sababu, ni kweli yeye alipigwa risasi ghafla na alihisi maumivu muda mrefu hadi kupona. Lakini mateso ya Sativa yalikuwa makubwa zaidi kwani alijua wanamuua ili awe chakula cha mamba na fisi, alitelekezwa porini hadi akajikokota na kufika kwa watu. Ni kitu kikubwa mno. Naamini kati ya watu waliosurvive to tell the tale ni TL na Sativa. Mlio karibu naye mshtueni kama hajasikia hili tukio.
Pia soma: Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na ‘watu wasiojulikana’
2. Alikuwa karibu sana na Msigwa, tunajua hajisikii vizuri kwa yale yanayoendelea kwenye chama chake, yeye sio mnafiki, siku zote amekuwa mkweli. Yeye ametelekezwa, hata hela kununua gari watu wamechangishwa na Mbowe hajahamasisha mchango.
Pia soma: Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
3. Ni lini TL, mwanasheria nguli, atatengeneza nyaraka na kwenda kufungua chama kipya kabla ya uchaguzi 2025? Aone kama Watanzania hawatamiminika kwake. Hivi TL anajielewa kwamba mioyo ya Watanzania wengi sana ipo pamoja naye na Watanzania wanamuelewa sana? Hivi analitambuaga hili? Anatambua kwamba Watanzania wengi sana wapo hata Chadema kwa sababu yake tu na sio kwa sababu ya wengine wowote? Kwa sababu anaeleweka, ana uwezo na hujenga hoja na hupiga kwenye mishoni tu, hapepesi macho. Ukiaminiwa namna hii na Watanzania, kinachomshinda kuanzisha chama kipya mapema ni nini ili kieleweke? Watu wafanye siasa za kweli, zisizo za kinafiki.
Mlio karibu naye mwambieni namsalimia.
Pia soma: Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na ‘watu wasiojulikana’
2. Alikuwa karibu sana na Msigwa, tunajua hajisikii vizuri kwa yale yanayoendelea kwenye chama chake, yeye sio mnafiki, siku zote amekuwa mkweli. Yeye ametelekezwa, hata hela kununua gari watu wamechangishwa na Mbowe hajahamasisha mchango.
Pia soma: Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
3. Ni lini TL, mwanasheria nguli, atatengeneza nyaraka na kwenda kufungua chama kipya kabla ya uchaguzi 2025? Aone kama Watanzania hawatamiminika kwake. Hivi TL anajielewa kwamba mioyo ya Watanzania wengi sana ipo pamoja naye na Watanzania wanamuelewa sana? Hivi analitambuaga hili? Anatambua kwamba Watanzania wengi sana wapo hata Chadema kwa sababu yake tu na sio kwa sababu ya wengine wowote? Kwa sababu anaeleweka, ana uwezo na hujenga hoja na hupiga kwenye mishoni tu, hapepesi macho. Ukiaminiwa namna hii na Watanzania, kinachomshinda kuanzisha chama kipya mapema ni nini ili kieleweke? Watu wafanye siasa za kweli, zisizo za kinafiki.
Mlio karibu naye mwambieni namsalimia.