Tundu Lisu: Kuna Uchafu wa Chadema nikiusema hapa Chama kitasambaratika na wote watakimbia!

Tundu Lisu: Kuna Uchafu wa Chadema nikiusema hapa Chama kitasambaratika na wote watakimbia!

Aache fix, hivi Msigwa angeziacha salama kweli hadi leo .maana alikuwa senior member wa Kamati Kuu.
 
Akishindwa atazisema tu maana anaenda kushughulikiwa na mshindi.
 
Tundu Lisu amesema yeye siyo Mropokaji ndio sababu Kuna Siri Kuu za Chadema na Uchafu wake amezihifadhi moyoni

Lisu amesema SIRI hizo alizisema Kwenye kamati Kuu na zimerekodiwa ila wanaogopa kuwaambia wanachama

Source Star tv
Tundu Lissu anaibatiza Tanzania kwa Ubatizo wa Moto
 
Tundu Lisu amesema yeye siyo Mropokaji ndio sababu Kuna Siri Kuu za Chadema na Uchafu wake amezihifadhi moyoni

Lisu amesema SIRI hizo alizisema Kwenye kamati Kuu na zimerekodiwa ila wanaogopa kuwaambia wanachama

Source Star tv
Sema tu kijana wetu, tutakupa ulinzi wa kutosha.
 
Tundu Lisu amesema yeye siyo Mropokaji ndio sababu Kuna Siri Kuu za Chadema na Uchafu wake amezihifadhi moyoni

Lisu amesema SIRI hizo alizisema Kwenye kamati Kuu na zimerekodiwa ila wanaogopa kuwaambia wanachama

Source Star tv
Endelea kubomoa chama nawe hupati kitu Cha ziada.
 
Back
Top Bottom