johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kutoka Buza na Kwa MtogoleSubiri mambumbumbu ya kizayoni yaje
Msingi wa Utekaji ni kuswap Mateka na Wafungwa wa kipalestinaUnashindaje vita wakat umepoteza idadi kubwa ya wananchi, mali na umeharibu uchumi wa nchi yako
Sema hivi israel haijatimiza marengo yake ila sio imeshindwa vita
Iv kati ya israel na hamas na wananchi wa gaza nani kapoteza sana
Israel kapoteza wanajeshi na kiasi flan cha pesa
Ila wananchi wa gaza na serikal ya hamas wamepoteza kila kitu Mali,uhai,afya,elimu,uchumi na kila kitu kinachofanya maisha ya binadam kua rahisi
Hamas kashinda vita aisee,kwa namna navyoona uchangamfu wao wakati wakikabidhi mateka na upole wa Israel wakati wakikabidhi mateka naona kabisa Hamas ndo mshindi dhidi ya Mazayuni.Once again uislam umeshinda dhidi ya makafiri.Takbir.......Msingi wa Utekaji ni kuswap Mateka na Wafungwa wa kipalestina
Msingi wa Vita ni Israel kuokoa Mateka bila kuswap
Nani Mshindi hapo?
Kuunga mkono hamas inatosha kumfanya kuwa mtu aliyelaamiwaNakumbuka namna Tundu Lisu alivyoufafanua mgogoro wa Palestine na Israel kupitia Hamas na IDF na kusoma mwishoni Hamas wataibuka Washindi
Na Kweli Hamas ni Washindi Kwa sababu Israel imetii kuachilia Wafungwa wa kipalestina Ili mateka Wao waachiwe Kwa ratio ya Muisrael 1 : Wafungwa 30
Sabato Njema
Wenye vicheko ni magaidi kilo kiko kwa raia waliouliwa na makazi yao kuwa vifusiHamas kashinda vita aisee,kwa namna navyoona uchangamfu wao wakati wakikabidhi mateka na upole wa Israel wakati wakikabidhi mateka naona kabisa Hamas ndo mshindi dhidi ya Mazayuni.Once again uislam umeshinda dhidi ya makafiri.Takbir.......
Kaunga mkono HAKIKuunga mkono hamas inatosha kumfanya kuwa mtu aliyelaamiwa
Na hao HAMAS uwezo wao wa kuwateka wa Israel umefika mwisho?Unashindaje vita wakat umepoteza idadi kubwa ya wananchi, mali na umeharibu uchumi wa nchi yako
Sema hivi israel haijatimiza marengo yake ila sio imeshindwa vita
Iv kati ya israel na hamas na wananchi wa gaza nani kapoteza sana
Israel kapoteza wanajeshi na kiasi flan cha pesa
Ila wananchi wa gaza na serikal ya hamas wamepoteza kila kitu Mali,uhai,afya,elimu,uchumi na kila kitu kinachofanya maisha ya binadam kua rahisi
Zaidi ya watu 100,000 wa gaza wameuawa au kujeruhiwa so ata wakibadilishana wafungwa 100 kwa mateka 10 bado israel kashinda na bado israel anauwezo wa kurudi gaza na kuwashika tena hao wafungwa ama kuwauwa kabsa
Nakumbuka namna Tundu Lisu alivyoufafanua mgogoro wa Palestine na Israel kupitia Hamas na IDF na kusoma mwishoni Hamas wataibuka Washindi
Na Kweli Hamas ni Washindi Kwa sababu Israel imetii kuachilia Wafungwa wa kipalestina Ili mateka Wao waachiwe Kwa ratio ya Muisrael 1 : Wafungwa 30
Sabato Njema
Unamaanisha kuwa hao wafungwa wa kiparestina wana thamani ya hao watu zaidi ya 100,000 waliokufa??Msingi wa Utekaji ni kuswap Mateka na Wafungwa wa kipalestina
Msingi wa Vita ni Israel kuokoa Mateka bila kuswap
Nani Mshindi hapo?
Watu 100,000 wasio WanajeshiUnamaanisha kuwa hao wafungwa wa kiparestina wana thamani ya hao watu zaidi ya 100,000 waliokufa??
Hao wafungwa wa kiparestina wana thamani wa uharibifu wa mji wa Gaza ulioharibiwa vibaya.....
Sasa mnapigania nchi waje kuishi watu gani ikiwa wananchi wanauwawa.....??Watu 100,000 wasio Wanajeshi