johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nakumbuka namna Tundu Lisu alivyoufafanua mgogoro wa Palestine na Israel kupitia Hamas na IDF na kusoma mwishoni Hamas wataibuka Washindi
Na Kweli Hamas ni Washindi Kwa sababu Israel imetii kuachilia Wafungwa wa kipalestina Ili mateka Wao waachiwe Kwa ratio ya Muisrael 1 : Wafungwa 30
Sabato Njema
Na Kweli Hamas ni Washindi Kwa sababu Israel imetii kuachilia Wafungwa wa kipalestina Ili mateka Wao waachiwe Kwa ratio ya Muisrael 1 : Wafungwa 30
Sabato Njema