Tundu Lisu ni sawa na Kisimati jini

Tundu Lisu ni sawa na Kisimati jini

Boi Manda

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2023
Posts
388
Reaction score
506
Tundu antipasi Lisu amekuwa mwiba na mkali kweli kweli kwenye siasa za Tanzania

Ukali wake huo mpaka rais wa nchi mama Samia Suluhu Hassani akaamuru SIMBA mmoja machachari mbugani kuitwa jina la Tundu Lisu

Kwa umachachari wake huo Tundu Lisu namfananisha na pombe kali inayoitwa "Kisimati Jini" pombe hii ni kali sana hivyo ukali wa Lisu unafanana na kisimati jini

Sitakuwa nimekosea nikimuta Lisu Kisimati Jini

Comasama Tundu Lisu
 
Tundu antipasi Lisu amekuwa mwiba na mkali kweli kweli kwenye siasa za Tanzania

Ukali wake huo mpaka rais wa nchi mama Samia Suluhu Hassani akaamuru SIMBA mmoja machachari mbugani kuitwa jina la Tundu Lisu

Kwa umachachari wake huo Tundu Lisu namfananisha na pombe kali inayoitwa "Kisimati Jini" pombe hii ni kali sana hivyo ukali wa Lisu unafanana na kisimati jini

Sitakuwa nimekosea nikimuta Lisu Kisimati Jini

Comasama Tundu Lisu
Uzi tayari....
 
Tundu antipasi Lisu amekuwa mwiba na mkali kweli kweli kwenye siasa za Tanzania

Ukali wake huo mpaka rais wa nchi mama Samia Suluhu Hassani akaamuru SIMBA mmoja machachari mbugani kuitwa jina la Tundu Lisu

Kwa umachachari wake huo Tundu Lisu namfananisha na pombe kali inayoitwa "Kisimati Jini" pombe hii ni kali sana hivyo ukali wa Lisu unafanana na kisimati jini

Sitakuwa nimekosea nikimuta Lisu Kisimati Jini

Comasama Tundu Lisu
Huyu Mwamba ameshakuwa Rais tangu kitambo tu. Tunasubiri Tume kutoka Mbinguni Imtangaze tu
 
Huyu ndiye mwanaume pekee mwenye uwezo wa kupigania mageuzi ya kweli Tanzania.
Na amenyooka kama rula, hahongeki!
Mbowe toka apewe ule msamaha na Samia kamwe hawezi tena kumponda Samia jukwaani hata awe na mapungufu ya wazi kabisa!!.
Sio mtu sahihi kuendelea kuiongoza CHADEMA kwakuwa anakosa uhalali kumkosoa Samia sababu ALIHONGWA ule msamaha wa kufutiwa kesi mahakamani!!.
 
Akifanyiwa figisu na Chadema, hivi hatuwezi kununua kachama kokote kaliko sajiriwa tukamsimika na kumumilikisha kweli?
 
Back
Top Bottom