ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hongereni kwa kampeni.
Twende kwenye hoja moja kwa moja,binafsi Sina tatizo na watumishi kuongezwa mishahara hiyo ni haki yao lakini ni vyema hoja Kama hii ikachagua majukwaa ya kuizungumzia.
Wafanyakazi hususani wa serikali wa kada zozote ni moja ya kundi ambalo jamii kubwa inaliona kuwa na maisha mazuri au ya nafuu maana ukiacha huo mshahara Hawa Wana fursa za mikopo kwa dhamana ya kazi zao na vimapato vya hapa na pale,ambapo kwa upande wa Pili wa shilingi Kuna kundi kuubwa Sana la vijana hawana kazi,wakulima,wavuvi,machinga na makundi mengine ya jamii wasio na kipato maalumu.Ni rai yangu kwa kua kundi hili la pili ni kubwa Sana na ndio kundi muamzi wa uchaguzi ni vyema sera zako zingejielekeza zaidi kwa Hawa kuliko watumishi.
Sio sawa kuzungumzia mishahara kwa kamii ambayo inaona mtu kuajiriwa ni kulamba bingo regardless of how much one is paid.Jikite kwenye sera za kulainisha ugumu wa maisha na kurahisisha biashara za watu wa kawaida,binafsi hata kwa observation yangu watu wa kawaida Wana Hali mbaya za maisha kuliko kuzungumzia wafanyakazi ,watu wataona Bora huyu huyu aliopo,narudia kusema Chadema msaidieni mgombea wenu kunadi sera kwa lugha rahisi Kama wafanyavyo wagombea wengine wa Upinzani maana kwa sasa anapata muitikio mkubwa zaidi kadiri siku zinavyosogea, Ila sio Kama wanasisiemu huwa wanasoma risala.Nawatakia kampeni yenye mafanikio
Twende kwenye hoja moja kwa moja,binafsi Sina tatizo na watumishi kuongezwa mishahara hiyo ni haki yao lakini ni vyema hoja Kama hii ikachagua majukwaa ya kuizungumzia.
Wafanyakazi hususani wa serikali wa kada zozote ni moja ya kundi ambalo jamii kubwa inaliona kuwa na maisha mazuri au ya nafuu maana ukiacha huo mshahara Hawa Wana fursa za mikopo kwa dhamana ya kazi zao na vimapato vya hapa na pale,ambapo kwa upande wa Pili wa shilingi Kuna kundi kuubwa Sana la vijana hawana kazi,wakulima,wavuvi,machinga na makundi mengine ya jamii wasio na kipato maalumu.Ni rai yangu kwa kua kundi hili la pili ni kubwa Sana na ndio kundi muamzi wa uchaguzi ni vyema sera zako zingejielekeza zaidi kwa Hawa kuliko watumishi.
Sio sawa kuzungumzia mishahara kwa kamii ambayo inaona mtu kuajiriwa ni kulamba bingo regardless of how much one is paid.Jikite kwenye sera za kulainisha ugumu wa maisha na kurahisisha biashara za watu wa kawaida,binafsi hata kwa observation yangu watu wa kawaida Wana Hali mbaya za maisha kuliko kuzungumzia wafanyakazi ,watu wataona Bora huyu huyu aliopo,narudia kusema Chadema msaidieni mgombea wenu kunadi sera kwa lugha rahisi Kama wafanyavyo wagombea wengine wa Upinzani maana kwa sasa anapata muitikio mkubwa zaidi kadiri siku zinavyosogea, Ila sio Kama wanasisiemu huwa wanasoma risala.Nawatakia kampeni yenye mafanikio