Uchaguzi 2020 Tundu punguza kunadi sera ya mishahara kwa wafanyakazi mbele ya watu masikini

Uchaguzi 2020 Tundu punguza kunadi sera ya mishahara kwa wafanyakazi mbele ya watu masikini

Hata mfanyakazi akiongezwa mara mbili ya mshahara wake,hawezi kuwatosheleza hao wategemezi. Kila mtegemezi anahitaji mafanikio yake binafsi..
Angeongeza halafu isitosheleze hakuna ambaye angemlaum. Miaka 5 nil! Hakya Mungu oktoba 28 patanuka.
 
Dah 🤭 yaani zama hizi akitokea kima akiniambia yeye ni msomi ndio namuona bogus kweli aisee. Samahani lkn kama nitakuboa nimeona niwe muwazi katika hili.
Yaani ulivyosema tu wewe ni msomi umeni turn off, frankly speaking. Napata picha yaani nabishana na Mwigulu Nchemba, nabishana na profesor Lipumba nabishana na profesor yule majalalaaa. All these plus kima wote wajiitao wasomi useless kabisa kwa taifa letu hili linalo race to the bottom like nobody's business.
Kwa taarifa yako wasomi wako wengi siku hizi na wanatuharibia tu na kwa sauti ya chini Mimi mwenye naweza kuwa kwenye hilo group lakini naonesha humility tu.
Khaaaaaa yaani umentoa kwenye mada mpaka njaa inaniuma sasa.
Unabwabwaja matusi au unajibu hoja? Ndo hivyo mkuu Mimi ni msomi huna Cha kunifundisha kwenye uchumi,watu dizaini yako ni sawa na akina Magu wanajiamlia kufanya chochote ilimradi hisia na ndoto aluzoota mwisho wa siku mambo yanamuendea mrama
Wasomi lazima wasikilizwe na tofauti yangu na wewe ni kwamba Mimi naitambua hadhira lengwa wewe hujui Ila unapanua domo la matusi tu
 
Unabwabwaja matusi au unajibu hoja? Ndo hivyo mkuu Mimi ni msomi huna Cha kunifundisha kwenye uchumi,watu dizaini yako ni sawa na akina Magu wanajiamlia kufanya chochote ilimradi hisia na ndoto aluzoota mwisho wa siku mambo yanamuendea mrama
Wasomi lazima wasikilizwe na tofauti yangu na wewe ni kwamba Mimi naitambua hadhira lengwa wewe hujui Ila unapanua domo la matusi tu
😂😂😂😂😂😂😂😂 eti mi msomi huna cha kuniambia. Dah Kamuulize mwenzako mwakyembe mwenye degree NNE. Kacharazwa bakora na LA saba mchana kweupeee. Nyie ndio mnawafanya waliosoma wadharaulike na misifa yenu ya nshomile.
Sisi tunataka end product sio hizo mi degree zenu minne. Uko typical Mwakyembe au ni wewe nini mkuu😱. Alisema ivo ivo eti nimesoma hamniambii kitu. Watu wamemweka pembeni.
Neno kima sio tusi.
 
Back
Top Bottom