Uchaguzi 2020 Tundu punguza kunadi sera ya mishahara kwa wafanyakazi mbele ya watu masikini

Hata mfanyakazi akiongezwa mara mbili ya mshahara wake,hawezi kuwatosheleza hao wategemezi. Kila mtegemezi anahitaji mafanikio yake binafsi..
Angeongeza halafu isitosheleze hakuna ambaye angemlaum. Miaka 5 nil! Hakya Mungu oktoba 28 patanuka.
 
Unabwabwaja matusi au unajibu hoja? Ndo hivyo mkuu Mimi ni msomi huna Cha kunifundisha kwenye uchumi,watu dizaini yako ni sawa na akina Magu wanajiamlia kufanya chochote ilimradi hisia na ndoto aluzoota mwisho wa siku mambo yanamuendea mrama
Wasomi lazima wasikilizwe na tofauti yangu na wewe ni kwamba Mimi naitambua hadhira lengwa wewe hujui Ila unapanua domo la matusi tu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ eti mi msomi huna cha kuniambia. Dah Kamuulize mwenzako mwakyembe mwenye degree NNE. Kacharazwa bakora na LA saba mchana kweupeee. Nyie ndio mnawafanya waliosoma wadharaulike na misifa yenu ya nshomile.
Sisi tunataka end product sio hizo mi degree zenu minne. Uko typical Mwakyembe au ni wewe nini mkuu😱. Alisema ivo ivo eti nimesoma hamniambii kitu. Watu wamemweka pembeni.
Neno kima sio tusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…