Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Tunduma inakuwezesha kufanya biashara na Zambia na Malawi ndani ya saa chache kwa kutumia baisikeli.Nimefika Tunduma jana nikashangaa sana imekuwaje hii sehemu ikafananishwa na eneo kama Kahama.
Tunduma haifiki hata nusu ya Mafinga. Huu mji upo too local na umejengwa kiholela. Nyumba nyingi ni duni sana.
Naweza kusema pia Mafinga ni robo tatu ya Kahama maana angalau pale pana viwango.
Umeandika 🚮🚮🚮Nimefika Tunduma jana nikashangaa sana imekuwaje hii sehemu ikafananishwa na eneo kama Kahama.
Tunduma haifiki hata nusu ya Mafinga. Huu mji upo too local na umejengwa kiholela. Nyumba nyingi ni duni sana.
Naweza kusema pia Mafinga ni robo tatu ya Kahama maana angalau pale pana viwango.
Wewe ni mshabiki hivyo hauleti mantiki.Umeandika 🚮🚮🚮
Usifananishe Tunduma na vitu vya kisengerema
utakuwa umefikishwa tunduma nyingine, ila ile ninayoifahamu mimi haujafika. au ulifika stand ukageuza. siku nyingien omba wenyeeji wakutembeze.Nimefika Tunduma jana nikashangaa sana imekuwaje hii sehemu ikafananishwa na eneo kama Kahama.
Tunduma haifiki hata nusu ya Mafinga. Huu mji upo too local na umejengwa kiholela. Nyumba nyingi ni duni sana.
Naweza kusema pia Mafinga ni robo tatu ya Kahama maana angalau pale pana viwango.
Nimezunguka sana nikiwa na private transport.utakuwa umefikishwa tunduma nyingine, ila ile ninayoifahamu mimi haujafika. au ulifika stand ukageuza. siku nyingien omba wenyeeji wakutembeze.
Wapi ulikozunguka sana wewe nyumbu wa Kanda ya Ziwa.Nimezunguka sana nikiwa na private transport.
Mji unajieleza wewe unataka mantiki gani?Wewe ni mshabiki hivyo hauleti mantiki.
Lumumba wamekufanya umekuwa shabiki shabiki.Wapi ulikozunguka sana wewe nyumbu wa Kanda ya Ziwa.
Nimesema acha kulinganisha Tunduma na vitu vya kijinga
Sahihi kabisaNimefika Tunduma jana nikashangaa sana imekuwaje hii sehemu ikafananishwa na eneo kama Kahama.
Tunduma haifiki hata nusu ya Mafinga. Huu mji upo too local na umejengwa kiholela. Nyumba nyingi ni duni sana.
Naweza kusema pia Mafinga ni robo tatu ya Kahama maana angalau pale pana viwango.
Mafinga Huwa naona Kuna hali flani ya maisha,yani miundombinu,huduma za jamii na ubora wa maisha,afu pande zote mji umeshona kuanzia changarawe mpaka kinyanambo humo,hemu ongezea nyama hapo kwenye kulinganisha na tdmKuna tofauti Kati ya mji ulliojengeka na mji wenye mishe mishe.
Mafinga my home is beautiful council. Mafinga watu wamejenga jamani
Inawezekana,maana kuanzia sogea mpaka mwaka naona papo rafu,angalau kule mpemba,chapwa na mataifaniTunduma ni mji wa kibiashara, kwenye upangaji wa mji walikosea tangu manzoni. Mzunguko wa pesa ni mkubwa sana
Bro tunduma sio kwamba imechangamka muda wote,ni ukosefu tu wa miundombinu unafanya magari kubanana pale Kilimanjaro mpaka kisimani,kibiashara tunduma Ipo kawaida kama sehem nyengine tu labda za magendo,ila kwa mpangilio wa mji na standard ya maisha nahisi mafinga wanaizidi tundumaSijui unaongelea nini, labda Kama unaongelea mpangilio wa nyumba, lakini kufananisha mafinga na Tunduma kibiashara, fanya utafiti tena, mji wa Tunduma umechangamka muda wote