Tunduma mzunguko wa biashara upo kawaida bhana tuache kudanganyana,kwanza wazambia na wacongo weng wananyooka dar tofaut na zaman,halafu Kwacha imeshuka kishenzi saizi Yan Kwacha 100 ni sawa na 10200 au 10300
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunduma mzunguko wa biashara upo kawaida bhana tuache kudanganyana,kwanza wazambia na wacongo weng wananyooka dar tofaut na zaman,halafu Kwacha imeshuka kishenzi saizi Yan Kwacha 100 ni sawa na 10200 au 10300
Wewe ni mfanyabiashara?.Ishu ya Kwacha kushuka ni suala la muda tu!,Tunduma ni lango la SADC hivi hulijui hilo?,Shauri yako kalia hapo.Tunduma mzunguko wa biashara upo kawaida bhana tuache kudanganyana,kwanza wazambia na wacongo weng wananyooka dar tofaut na zaman,halafu Kwacha imeshuka kishenzi saizi Yan Kwacha 100 ni sawa na 10200 au 10300
Tunduma kuwa lango la SADC haijaanza leo,ndio mm ni mfanyabiashara,nnauzoefu na tunduma huu mwaka wa 12Wewe ni mfanyabiashara?.Ishu ya Kwacha kushuka ni suala la muda tu!,Tunduma ni lango la SADC hivi hulijui hilo?,Shauri yako kalia hapo.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Hahaha hivi vitu vingine vya kukaa kimya asee hivi tunduma unaifananiaha na mafinga iliyojengeka upande mmoja yenye idadi ndogo ya watu kuliko halmashauri zote za miji ya nyanda za juu kisini muwe mnazunguka kidogo kwenye miji yani mafinga bado ndogo mno huwezi hata kulinganisha na makambako ni kubwa mno mafinga ukitoka changalawe hadi kinyanambo c km 14 mji umemaliza na umejengeka upande mmoja tu sehemu nyingine ni eneo la jeshi acheni story za kuhadithiwaMAFINGA TCTunduma kuwa lango la SADC haijaanza leo,ndio mm ni mfanyabiashara,nnauzoefu na tunduma huu mwaka wa 12
Watu wanavolinganisha ukuaji wa miji ni muhimu kuzingatia geographical position imekaaje mfano kahama ni flat land sawa na mji wa makambako huwezi linganisha na tunduma Kuna vimilima vingi au mafinga KAHAMA MCKahama sijawai kufika,ila kulingana na sensa iliyopita ni kwamba idadi ya watu ni 453654,yani ujumlishe idadi ya mafinga na tunduma halafu uongeze tena laki moja na sehemu.Kwa mapato ya halmashauri ya wilaya ni ya pili kwa Tanzania,ya kwanza kinondoni,yapili kahama yatatu mafinga