LGE2024 Tunduma: Mgombea wa CHADEMA aliyeuawa baada ya kuvamiwa nyumbani kwake Azikwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hotuba ya Mwenyekiti wa Chadema Jimbo la Tunduma, Boniface Mwakabanje, Aliyoitoa kwenye Maziko ya Mgombea wa Uenyekiti wa chama chake yaweza kuwa ndio hotuba bora ya Mazishi yatokanayo na Mauaji ya kisiasa Nchini Tanzania.



Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee roho ya Marehemu huyu, Amina

Bali sisi wengine tunaamini kwamba kwa vile Mungu si Athumani Basi kila Ubaya Utalipwa
 
Saa100 atakufa kifo kibaya!
Hii laana na vifo vya wasio na hatia ,hatatoka salama
 
Hotuba nzuri inasaidia nini!??
 
Haya yote yana mwisho
 
Malipo nihapahapa duniani wakati wa Magufuli mlisema maneno mengi mno kuonyesha alikuwa katili mno zaidi ya Idi Amin dictator, Sijui huyu mnamsemaji maana Magufuli aliwapola tu lakini hakuua mtu lakini huyu sio kuwapora tu na kuwaua na kawaua,endeleeni na 4R zenu tu,mle kuku kwa mrija maana dhalimu wenu hayupo πŸ˜†πŸ˜‚πŸ€£.
 
Atavuna anachopanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…