LGE2024 Tunduma: Mgombea wa CHADEMA aliyeuawa baada ya kuvamiwa nyumbani kwake Azikwa

LGE2024 Tunduma: Mgombea wa CHADEMA aliyeuawa baada ya kuvamiwa nyumbani kwake Azikwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Malipo nihapahapa duniani wakati wa Magufuli mlisema maneno mengi mno kuonyesha alikuwa katili mno zaidi ya Idi Amin dictator, Sijui huyu mnamsemaji maana Magufuli aliwapola tu lakini hakuua mtu lakini huyu sio kuwapora tu na kuwaua na kawaua,endeleeni na 4R zenu tu,mle kuku kwa mrija maana dhalimu wenu hayupo 😆😂🤣.
Huyu bibi ni katili haswa hafai
 
Back
Top Bottom