Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Joined last Sunday , ndio maana huna adabumnashambulia kitugani nyie manyumbu hadi freeman awaongoze kwenye hayo mashambulizi?
Hii mioyo yao ndio hii iko hivi ?Endeleeni kuzurula wakati CCM ikiwa tayari imeshajisimika katika mioyo ya wana nyanda za juu kusini.
Anakuja na ndege maalumWapi Tundu Antipas Lisu?
Neno " kuzurula" limeshika kasi sana hivi karibuni why? 😂😂Endeleeni kuzurula wakati CCM ikiwa tayari imeshajisimika katika mioyo ya wana nyanda za juu kusini.
jibu tuhuma bibi.sheria haina mkubwa wala mdogoJoined last Sunday , ndio maana huna adabu
Umesahau kuweka number yako ya simu.Endeleeni kuzurula wakati CCM ikiwa tayari imeshajisimika katika mioyo ya wana nyanda za juu kusini.
Miamba iko kaziniKama tulivyoahidi hapo Awali , kwamba tutawaletea kila kinachojiri kwenye Uzinduzi huu , na hivi ndivyo tunavyofanya .
Baada ya kuwasili kwenye Kanda hiyo , Mwamba mwenyewe Ustaadh Aboubakar Mbowe aliweka Saini kwenye Kitabu cha Wageni kwenye ofisi ya Kanda hiyo , Kabla ya kukinukisha Mjini Tunduma .
View attachment 2788260View attachment 2788262
Usiondoke JF kwa vile kuna Makubwa yanakuja .
========
Dpw wamekimbia.....vijana wanaendelea na majukum mengine.Mwambukusi, Mdude wako wapi?
Huyu anajulikana hadi mtaa na kijijiUmesahau kuweka number yako ya simu.
Anapambana Metropolitan huko......ukikaa nchale ukichimama nchale.....Wapi Tundu Antipas Lisu?
Bandika banduaHadi kieleweke...
Acha uwongo wa kusini wapiEndeleeni kuzurula wakati CCM ikiwa tayari imeshajisimika katika mioyo ya wana nyanda za juu kusini.
Huo ndio ukweli wenyewe ndugu yangu mtanzaniaAcha uwongo wa kusini wapi
Kusini kule MaDED wamefukuzwa kwa wanaccm kuchoma makadi ya chama na kuyatupaAcha uwongo wa kusini wapi