Tunga sentensi kwa ex wako ukianza na neno "alidhani"

Tunga sentensi kwa ex wako ukianza na neno "alidhani"

[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu mimi hapana. Sina uchungu wowote kwahiyo sitamuandikia mtoto wa mtu kijembe. Sitaki makasiriko. Apambane na hali yake yeye kama yeye huko aliko. Zaidi wametu upgrade kwa kutupa mafunzk zaidi
 
Jifanye mzungu
Mwenzio huko anaandika gazeti ..
Hahah
[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan haya mambo ya vijembe jaman hapana na huu umri. Kumuandikia kijembe ni kama bado ninamuenvy. Kujipa stress tu. Maana ukianza muandikia kijembe ndo anaujaza moyo wako. Kama ni adhabu anakutana nazo basi apambane nazo ila sitaki kujihusisha. Aandike vijembe tu ila me nachekagaaaa balaa.
 
Back
Top Bottom