Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Jifanye mzungu[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu mimi hapana. Sina uchungu wowote kwahiyo sitamuandikia mtoto wa mtu kijembe. Sitaki makasiriko. Apambane na hali yake yeye kama yeye huko aliko. Zaidi wametu upgrade kwa kutupa mafunzk zaidi
Dah aseeh kweli penye miti pana wajenziTunaruhusiwa kutumia wingi?
[emoji23][emoji23][emoji23]Jifanye mzungu
Mwenzio huko anaandika gazeti ..
Hahah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakika wewe ni recycle bin[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Tunaruhusiwa kutumia wingi?
***** umekunywa nini mzee kaka?Alidhani akadhan akadhaniwa wakadhaniana wamendhaniwa....
Mwamba mwenyewe umerudiMie namtumia salamu za hii nyimbo
Nimerudi kutoka wapi?Mwamba mwenyewe umerudi
Hahahahh
Naona imeshakuwa vita .Nimerudi kutoka wapi?
kwanini?Dah aseeh kweli penye miti pana wajenzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakika wewe ni recycle bin[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23]kwanini?
Nawewe ni user wa hiyo recycle bin [emoji276]
[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan akili zako dah. Umewahifadhi kwenye bin ili vikikutibuka uamshe popo
Haha!Mie namtumia salamu za hii nyimbo
Maji tu Mkuu***** umekunywa nini mzee kaka?
Hhahaha
[emoji23][emoji23][emoji23] good[emoji23] akili zangu kama zako tu hatutofautian sana