Tunga sentensi kwa ex wako ukianza na neno "alidhani"

Alidhani sina uwezo wa kujiondoa kwake vile nilivomtreat akapata na nguvu ya kuendeleza uchafu wake,now anabweka bweka tu sina habari nakoroma[emoji42]
 
Ma X wangu wote ni innocent people, naomba Mungu awafanyie wepesi tu katika maisha ya mahusiano. Nione wakiolewa ndoa Njema.

Ila wale walionikataa ndio natatizo nao sana, natamani nitoe kijembe kwao 🤣😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…