Chief Editor
JF-Expert Member
- Feb 18, 2019
- 780
- 2,269
[emoji23][emoji23][emoji23] good
Heeeh[emoji23][emoji23] jamani. Na kyfananishwa na ex tena?Akili zako kama za ex wangu [emoji16] alafu akaniacha [emoji1] (ni utani tu)
Wimbo mzuri,nimeupendaMie namtumia salamu za hii nyimbo
Ex aende salama aseee 😂Haha!
Pre chorus na chorus yenyewe tu me hoiii....
Heeeh[emoji23][emoji23] jamani. Na kyfananishwa na ex tena?
Nimemzidi tena? [emoji28][emoji28] bia ya ngapi hii we ndugu unakunywa hapoSasa si mtu kama wewe au kisa umemzidi ......?
Nimemzidi tena? [emoji28][emoji28] bia ya ngapi hii we ndugu unakunywa hapo