Mkuu wa mkoa alitoa taarifa kuwa Giza limeingia hivyo tunasitisha uokoaji
Vp kwanikhaaa makubwa haya
Hii sentesi au ngonjera.Giza limeingia simanzi zimezidia,taharuki imezidia hofu zimejazia,wananchi wanalilia serikali inafuatilia,washukiwa kuwafuatilia hatiani kuwatia.
Kwa sababu giza limeingia...Vp kwani
Shairi hilo mkuu,nimejikuta linakuja tu mpaka nikashindwa kutunga sentensi likaja ShairiHii sentesi au ngonjera.
[emoji23][emoji23]poa mkuuShairi hilo mkuu,nimejikuta linakuja tu mpaka nikashindwa kutunga sentensi likaja Shairi
UkionA hvyo basi kuna kitukiko moyoni wako!wewe huenda sio mdhalendo halisiaππππShairi hilo mkuu,nimejikuta linakuja tu mpaka nikashindwa kutunga sentensi likaja Shairi