umenichekesha sana mkuuHii sentesi au ngonjera.
mhhTwende tukachezw kombolela mke wangu giza limeingia
Jf ni full burudani mkuuumenichekesha sana mkuu
Siyo mzalendo kwa nini mkuu,Mimi ni mzalendo bhanaa Wa nchi hiiUkionA hvyo basi kuna kitukiko moyoni wako!wewe huenda sio mdhalendo halisia😉😉😉😉
🙄🙄🙄Mbowe na Sugu tutawasaka hata kama giza limeingia. Ila abiria wa MV Nyerere tutawakuta kesho maana Giza limeingia
Siyo mzalendo kwa nini mkuu,Mimi ni mzalendo bhanaa Wa nchi hii
Kwa mfumo na mihemko ya utawala wa awamu hii ni kama vile "giza limeanza kuingia" kwa kasi ya kutisha nchini mwetu.
Giza limeingia tunasitisha uokoaji mpaka kesho.kwa kutumia kiswahili fasaha, Tunga sentensi nzuri yenye neno " Giza limeingia"
Atakayetunga sentensi yenye like nyingi nimeandaa zawadi ya weekend!!!!