Tungekomaa na Ujamaa bila kuikumbatia SAP labda sasa hivi tungekuwa mbali

Tungekomaa na Ujamaa bila kuikumbatia SAP labda sasa hivi tungekuwa mbali

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Kosa kubwa tulilofanya kama nchi ni kuzikumbatia sera za kipuuzi na angamivu za SAP hizi ndo zilikua kaburi kwa nchi yetu

Labda tungekomaa na ule ujamaa wa nyerere bila kupinda popote labda leo tungekua tumepiga hatua

Wenzetu China walikomaa na ujamaa na walivyopata matokeo na kufikia mahali pazuri sasa wakaruhusu ubepari sisi tulianguka mapema sana

Sasa hivi hata hatujui tupo kwenye dira gani nashindwa kujua mwelekeo wa nchi yetu kiuchumi ni aibu sana hadi leo tunategemea misaada

Sera za kishenzi za SAP ndo zimetufikisha hapa, alaaniwe aliyeasisi SAP huu ulikua ndo mwisho wa uchumi wa nchi yetu

Imagine ndo anakuambia ushushe thamani ya hela yako ambayo ilikua sawa na dola ya marekani leo hii hiyo dola ndo tunatumia kuagiza bidhaa nje yaani wanatupiga mara 2305 kwa dola moja daaah

Hii nchi sijui kama itakaa iendelee
 
Nchi hii ili fail na hata Nyerere alijua hilo, ujamaa was and still is our downfall, mpaka sasa tumeukumbatia kidogo tazama mambo yanavoenda "mupe yule ugaidi huyu muluke,weka yule ndani huyu muluke", nk hii yote ni mifumo ya kijamaa,
 
nchi hii ili fail na hata Nyerere alijua hilo, ujamaa was and still is our downfall, mpaka sasa tumeukumbatia kidogo tazama mambo yanavoenda
"mupe yule ugaidi huyu muluke,weka yule ndani huyu muluke", nk hii yote ni mifumo ya kijamaa,
Hamna kitu km hicho
 
Azimio la Arusha liliposhindwa ilikuwa ni kwa sababu ya SAP.Hivi China ni nchi ya kijamaa au ni taifa lenye chama kimoja tu kinachoendesha nchi kitemi.

Hakuna mtu aliyemuwekea kamba shingoni mwenzake kwamba ikubali SAP.Ukweli ni kwamba ni uzembe wa Nyerere kushindwa kujua maigizo ya siasa za kidunia ndio anguko letu.Kwani sisi si ndo wale tunadai tulipambania uhuru wetu 1961.Kama ndio, huo uhuru ulikuwa ukimanisha nini na SAP inakuwaje iwe shida kwa watu walio huru?Anyway,hakuna chochote cha maana tulifanya ata huo uhuru ni chenga tu hakuna cha Bibi Titi wala Mwalimu, ni muda tu ulikuwa upande wetu na mahesabu mabovu ya wakoloni basi.
 
Azimio la Arusha liliposhindwa ilikuwa ni kwa sababu ya SAP.Hivi China ni nchi ya kijamaa au ni taifa lenye chama kimoja tu kinachoendesha nchi kitemi.

Hakuna mtu aliyemuwekea kamba shingoni mwenzake kwamba ikubali SAP.Ukweli ni kwamba ni uzembe wa Nyerere kushindwa kujua maigizo ya siasa za kidunia ndio anguko letu.Kwani sisi si ndo wale tunadai tulipambania uhuru wetu 1961.Kama ndio, huo uhuru ulikuwa ukimanisha nini na SAP inakuwaje iwe shida kwa watu walio huru?Anyway,hakuna chochote cha maana tulifanya ata huo uhuru ni chenga tu hakuna cha Bibi Titi wala Mwalimu, ni muda tu ulikuwa upande wetu na mahesabu mabovu ya wakoloni basi.
Hayakua mahesabu mabovu ya wakoloni,Bali waliamua kupunguza gharama za uendeshaji makoloni na migongano na raia wa makoloni hayo,wakaamua kuondoka lakini wakiendelea kupata malighafi zilizowaleta,pamba,katani,kahawa,chai,tumbaku,Bei wanapanga wao
 
Azimio la Arusha liliposhindwa ilikuwa ni kwa sababu ya SAP.Hivi China ni nchi ya kijamaa au ni taifa lenye chama kimoja tu kinachoendesha nchi kitemi.

Hakuna mtu aliyemuwekea kamba shingoni mwenzake kwamba ikubali SAP.Ukweli ni kwamba ni uzembe wa Nyerere kushindwa kujua maigizo ya siasa za kidunia ndio anguko letu.Kwani sisi si ndo wale tunadai tulipambania uhuru wetu 1961.Kama ndio, huo uhuru ulikuwa ukimanisha nini na SAP inakuwaje iwe shida kwa watu walio huru?Anyway,hakuna chochote cha maana tulifanya ata huo uhuru ni chenga tu hakuna cha Bibi Titi wala Mwalimu, ni muda tu ulikuwa upande wetu na mahesabu mabovu ya wakoloni basi.
Kweli kabisa mkuu yaani viongozi wa Afrika wanaifuata SAP wenyewe alafu wanaanza kulalamika as if wanashikiwa bunduki kukubali ukweli utabaki pale pale baada ya nchi nyingi za Afrika kupata uhuru miaka ya 1960s viongozi wengi waligeuka kuwa watawala sio viongozi moja ya watu walio haribu taifa hili ni Mwalimu licha ya kuwa na mazuri yake pia.
 
Kweli kabisa mkuu yaani viongozi wa Afrika wanaifuata SAP wenyewe alafu wanaanza kulalamika as if wanashikiwa bunduki kukubali ukweli utabaki pale pale baada ya nchi nyingi za Afrika kupata uhuru miaka ya 1960s viongozi wengi waligeuka kuwa watawala sio viongozi moja ya watu walio haribu taifa hili ni Mwalimu licha ya kuwa na mazuri yake pia.
Kwangu Mimi Jambo zuri la mwalimu ni sera ya ardhi tu
 
Kosa kubwa tulilofanya kama nchi ni kuzikumbatia sera za kipuuzi na angamivu za SAP hizi ndo zilikua kaburi kwa nchi yetu

Labda tungekomaa na ule ujamaa wa nyerere bila kupinda popote labda leo tungekua tumepiga hatua

Wenzetu China walikomaa na ujamaa na walivyopata matokeo na kufikia mahali pazuri sasa wakaruhusu ubepari sisi tulianguka mapema sana

Sasa hivi hata hatujui tupo kwenye dira gani nashindwa kujua mwelekeo wa nchi yetu kiuchumi ni aibu sana hadi leo tunategemea misaada

Sera za kishenzi za SAP ndo zimetufikisha hapa, alaaniwe aliyeasisi SAP huu ulikua ndo mwisho wa uchumi wa nchi yetu

Imagine ndo anakuambia ushushe thamani ya hela yako ambayo ilikua sawa na dola ya marekani leo hii hiyo dola ndo tunatumia kuagiza bidhaa nje yaani wanatupiga mara 2305 kwa dola moja daaah

Hii nchi sijui kama itakaa iendelee

Hata ujui😂😂 china imeanza kuendelea kwa kasi baada ya kuingia wto na kuruhusu kampuni za nje kuingia kule kampuni nyingi sio za china . Ukiwa na dikteta haina maana mfumo wako ni wa kijamaa! Bila china kufanya mfumo huru wa biashara wangekuwa vilevile hiyo hijui unalo ongea. Ujamaa kweli upo North Korea.
 
Kosa kubwa tulilofanya kama nchi ni kuzikumbatia sera za kipuuzi na angamivu za SAP hizi ndo zilikua kaburi kwa nchi yetu

Labda tungekomaa na ule ujamaa wa nyerere bila kupinda popote labda leo tungekua tumepiga hatua
Mwinyi?
 
Kosa kubwa tulilofanya kama nchi ni kuzikumbatia sera za kipuuzi na angamivu za SAP hizi ndo zilikua kaburi kwa nchi yetu

Labda tungekomaa na ule ujamaa wa nyerere bila kupinda popote labda leo tungekua tumepiga hatua
Fafanua sap ndio nini wengine atuijui
 
Back
Top Bottom