beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Rais wa Tunisia, Kais Saied ameendeleza nia yake ya kujiimarishia Mamlaka baada ya kutoa amri ya kubadilisha Wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi na kuwaweka watu 7 wapya aliowateua mwenyewe
Tume hiyo ni miongoni mwa Vyombo huru vya mwisho Nchini #Tunisia, na kubadilisha wanachama wake kwa amri ya Rais kunatarajiwa kuchochea upinzani zaidi dhidi ya Utawala wake
=======
Tunisian President Kais Saied issued a decree on Friday replacing members of the Independent Electoral Commission with seven new people appointed by himself, in his latest move to impose one-man rule after he dissolved parliament last month.
The Commission is one of the last independent bodies in Tunisia, and changing its members by presidential decree is almost certain to create controversy over the credibility of any subsequent elections.
Source: Reuters
Tume hiyo ni miongoni mwa Vyombo huru vya mwisho Nchini #Tunisia, na kubadilisha wanachama wake kwa amri ya Rais kunatarajiwa kuchochea upinzani zaidi dhidi ya Utawala wake
=======
Tunisian President Kais Saied issued a decree on Friday replacing members of the Independent Electoral Commission with seven new people appointed by himself, in his latest move to impose one-man rule after he dissolved parliament last month.
The Commission is one of the last independent bodies in Tunisia, and changing its members by presidential decree is almost certain to create controversy over the credibility of any subsequent elections.
Source: Reuters