Dah! Nimecheka sana...Ila kipindi cha pili wamejitahidi bwana...accuracy ndo tatizo tungeweza kushindaTaifa Starz hawana team work kabisa.. ni kikundi cha watu wenye Jersey ya Blue uwanjani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] msalimie HabibKuna jamaa nilikuwa naangalia nae hii mechi akaniambia bora leo wameleta upinzani walau, sio kama mechi iliyopita.
Nimemuuliza, Nchi yenyewe haina upinzani hii, huo upinzani wa kwenye mpira utatoka wapi?
Tumeshajijengea mindset ya kinyonge... mwenye nguvu muache, ndivyo itakavyokuwa kwenye mambo yanayohitaji ushindani.
Kwani hii si ilikuwa mechi ya 4 kati ya 6. Bado tuna mechi mbiliTunisia 10 wanafuzu kucheza AFCON 2021 baada ya sare ya 1-1 dhidi ya Tanzania [emoji1241].
Equatorial Guinea [emoji1095] wanashika nafasi ya pili kwenye Kundi J kwa pointi 6, Tanzania nafasi ya 3 na pointi 4, Libya pointi 3. TZ wamebakiza mechi 2 za kutafuta nafasi.
Tutashinda Malabo 1-0,tutashinda Daresalaam 2-0🙁🙁.Kumbe Amunikealikuwa Mwanaume bana.Kundi jepesi tumelifanya limekuwa gumu sana.Kwani hii si ilikuwa mechi ya 4 kati ya 6. Bado tuna mechi mbili
March 22: Equatorial Guinea vs Tanzania
March 30: Tanzania vs Libya
Hizi mechi ilitakiwa zipigwe June 2020 zikaahirishwa
Vile hairuhusiwi kutumia mapolisi.... tungeshinda walahi!Tunisia 10 wanafuzu kucheza AFCON 2021 baada ya sare ya 1-1 dhidi ya Tanzania [emoji1241].
Equatorial Guinea [emoji1095] wanashika nafasi ya pili kwenye Kundi J kwa pointi 6, Tanzania nafasi ya 3 na pointi 4, Libya pointi 3. TZ wamebakiza mechi 2 za kutafuta nafasi.
Ulikuwa unajua au ulikurupuka kupost, una uhakika na pointi za Tanzania.Tunisia 10 wanafuzu kucheza AFCON 2021 baada ya sare ya 1-1 dhidi ya Tanzania [emoji1241].
Equatorial Guinea [emoji1095] wanashika nafasi ya pili kwenye Kundi J kwa pointi 6, Tanzania nafasi ya 3 na pointi 4, Libya pointi 3. TZ wamebakiza mechi 2 za kutafuta nafasi.
Achakuleta siasa zako kwenye hili unda timu taifa cdm basi mcheze kwa niaba ya taifa stars mbuzi ni mbuzi mmezaliwa na mindset ya kukejeli kila leo mnakejeri tuVile hairuhusiwi kutumia mapolisi.... tungeshinda walahi!
Tungewaita na maheraa na jecha km mateknishian hakika hata goli 6 zngepatkana.Achakuleta siasa zako kwenye hili unda timu taifa cdm basi mcheze kwa niaba ya taifa stars mbuzi ni mbuzi mmezaliwa na mindset ya kukejeli kila leo mnakejeri tu