mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,588
- 11,668
Tunisia 10 wanafuzu kucheza AFCON 2021 baada ya sare ya 1-1 dhidi ya Tanzania [emoji1241].
Equatorial Guinea [emoji1095] wanashika nafasi ya pili kwenye Kundi J kwa pointi 6, Tanzania nafasi ya 3 na pointi 4, Libya pointi 3. TZ wamebakiza mechi 2 za kutafuta nafasi.
Equatorial Guinea [emoji1095] wanashika nafasi ya pili kwenye Kundi J kwa pointi 6, Tanzania nafasi ya 3 na pointi 4, Libya pointi 3. TZ wamebakiza mechi 2 za kutafuta nafasi.